Moshi yakataliwa kuwa jiji

Moshi yakataliwa kuwa jiji

Only Mwz na dar. Arusha kama waliihurumia tu
Na umaskini wote wa mwanza ule
The only thing mwanza walipewa jiji ni wingi wao wa kuzaliana
But the only place panadeserve kuwa city ni dar na Arusha
 
Na umaskini wote wa mwanza ule
The only thing mwanza walipewa jiji ni wingi wao wa kuzaliana
But the only place panadeserve kuwa city ni dar na Arusha
Acha ushabiki wa kichuga chuga hapa....

Ukweli ndo huu mwanza iko mbali Sana kuliko Arusha
 
Acha Domokaya we simbilisi jike..Mbeya Jiji Lina wakaazi takribani 600,000 na Lina mapato wastani wa bil.15 kwa mwaka mbele ya Mwanza Jiji.

Tanga Jiji Lina mapato wastani wa bil.12 kwa mwaka na wakaazi wanaokadiriwa zaidi ya 450,000 ..

Sasa.wewe unataka miji iwe kama London ndio ujue ni Jiji au?
We naye Mwanza Jiji unapolizungumzia uelewe kuwa hujamlisha Ilemela Manspaa amvayo bdio size ya Mbeya. Sasa hiyo Mbeya yenye barabara moja tu ya maana unasema kwamba hilo ni jiji kweli kama siyo choko tu ?
 
Mwanza watu hawaijui! Mwanza ndo sehemu pekee mitaa mingi ina nyumba kali! Hata hiyo njiro ya arusha kwa mwanza imapigwa gepu na mitaa mingi tu!
Sure kabisa

Kuna sehemu inaitwa busweru na nyamadoke ..Yan Kuna nyumba mpya mpaka panakera
 
Hawaendelei kivipi.? Leo hii unawafananisha wasukuma na wachaga 😂😂
Simple tuu ndo mana unaambiwa kama eneo ulipo hakuna wachaga hama hapo jangwani.
Mimi nikuulizehuko kahama,geita, katoro wachaga hata hawajulikani wanafanya nini huko ni wasukuma na waha tu! Hata hapo mwanza wa wachaga sio wengi kama zamani hardware nyingi ni wasukuma na wakurya hata lumumba ni wasukuma watupu yaani nyinyi mna matatizo sana! Acheni sifa!
 
M ona husemi wilaya ya Chato inaidadi wa watu 365,127 Ina km za mraba 3,572 ,mnaipigania usiku na mchana kuwa mkoa, huku mkiiacha kuzigawanya Morogoro na Tabora zenye km za mraba zaidi ya 168,000 ?
Ndugu yangu Tabora hakuna kitu, maeneo mengi ni mapori tu ! Leo uiondoe Igunga na Nzega, Tabora ibaki na nini sasa ? Hata huo mkoa mpya nao itakuwa ni shida tu ni kama Kuifanya Katavi iwe mkoa had leo ni mazingaombwe tu, wala hata haifanani.
 
Arusha ipo vizuri zaidi kuliko Mwanza.
Hakuna kitu Arusha migomba hadi mjini hapo sanawari. Jiji la Mwanza lina wilaya mbili Nyamagana na Ilemela. Hiyo Arusha yako ina wilaya ngapi za mjini ? Kumbuka muda wowote kuna wilaya ya tatu inatarajiwa kuzaliwa jijini Mwanza ambayo ni Kisesa. Leo unakuja na stori za Arusha hapa. Usiwe unalinganisha Mwanza na hicho kijiji mnachokiita ki arusha.
 
Mimi nikuulizehuko kahama,geita, katoro wachaga hata hawajulikani wanafanya nini huko ni wasukuma na waha tu! Hata hapo mwanza wa wachaga sio wengi kama zamani hardware nyingi ni wasukuma na wakurya hata lumumba ni wasukuma watupu yaani nyinyi mna matatizo sana! Acheni sifa!
Wanaishi kwa kukariri, hana habari kwamba hata Tai five hotel ya mchagga ilishanunuliwa na msukuma tena kwa mnada baada ya mangi kuishiwa. Huku kanda ya Ziwa wafanyabiashara wakubwa ni Wakurya, wasukuma na waha. Wachagga ni wachuuzi tu.
 
Watu wanapiga kelele kuhusu majiji fulani kutokuwa na hadhi na mengine kunyimwa sifa. Sio suala la kuona mji una ghorofa ngapi ili upewe hadhi ya kuwa jiji. Tanzania tuna kanuni zetu za kuufanya mji kuwa jiji - mbili kuu ni idadi ya watu na pato. Lakini zipo nyingine. Kama hatupendi mji fulani kutofanywa jiji au mji fulani kufanywa jiji inapaswa tuzirudie sifa tulizojiwekea wenyewe na kuzirekebisha.

Bahati mbaya sana ukiacha Mwanza na Arusha, majiji mengine yalipopata hadhi ya kuwa jiji hayakupata pesa za kutengeneza miundo mbinu. Mwanza ilipewa pesa nyingi sana za kujenga miundo mbinu. Kipindi kile ilipata hadhi peke yake baada ya Dar es Salaam.

Nje ya mada, wewe binafsi umefanya nini hapo ulipo hadi uone mji wako ni mzuri au mbaya. Usije ukawa kuchwa nzima wasifia au wachukia kazi za mikono ya wenzako. Kazi yako imeung'arisha mji uliopo?
 
Miji inayofaa kuwa au kubaki majiji kwa mkakati maalumu ni
1. Dar Es Salaam
2. Mwanza
3. Mbeya
4. Arusha
5. Mtwara
6.Kigoma
7.Dodoma
8.Tanga (iongeze bidii kurejesha miundo mbinu iliyokuwa imejengwa na hayati Mwl Nyerere kama bandari, viwanda na kilimo cha mikonge)

Miji ya Kitalii iwe ni
1. Kilimanjaro
2. Arusha
3. Iringa
4. Kagera
5. Morogoro
6. Pwani
7. Lindi
8. Ruvuma
9. Mara
10.Manyara

Mikoa ya kilimo cha mazao ya chakula
1. Songwe
2. Rukwa
3. Katavi
4. Ruvuma
5. Morogoro
6. Iringa
7. Mbeya
8. Njombe

Mkioa ya kilimo cha mzao biashara
1. Mwanza
2. Simiyu
3.Shinyanga
4. Singida
5. Tanga
6. Mtwara
7. Morogoro

Miji ya viwanda
1. Dar Es Salaam
2. Pwani
3. Morogoro
4. Mtwara
5. Tanga
6. Moshi
7. Arusha
8. Mwanza
9. Kigoma
10. Mbeya
11. Dodoma
12. Iringa
una akili sana
 
We naye Mwanza Jiji unapolizungumzia uelewe kuwa hujamlisha Ilemela Manspaa amvayo bdio size ya Mbeya. Sasa hiyo Mbeya yenye barabara moja tu ya maana unasema kwamba hilo ni jiji kweli kama siyo choko tu ?
Hata ukijumlisha hayo mapato hamna kitu
 
Upo sahihi,hata mwanza bado!
Kipindi cha JK ,mama mmoja Tibaijuka alikua UN ,akamtonya JK kuna program ya ujenzi wa miundombinu katika majiji ,kama roads etc toka UN.
Wakachukua fursa kwa kuongeza majiji kadhaa.Mbeya kuna roads zimejengwa kwa program hii.

Tanzania majiji tunajipajipa tu ilitakiwa yawe mawili tu DSM na MWZ kwa sasa hayo mengine bado sana
 
Moshi wapunguze mbege watafikiriwa kuwa jiji!
Kilimanjaro msitegemee kubebwa kama Mwanza, Dodoma, Geita. Kama umeisikiliza hotuba ya Samia utajua kuwa mnaangaliwa kama watu mliopo mbele sana kimaendeleo na hasa pale aliposhangaa Kilimanjaro kulilia miundombinu ya maji ya umwagiliaji wakati mikoa mingine hawana maji ya kunywa.
 
Back
Top Bottom