luambo makiadi
JF-Expert Member
- Nov 28, 2017
- 10,709
- 8,918
Mawazo ya kimaskini bhanaShida ni moja hawaoleki sasa wasipofanya kazi watakula kwa jirani amaa..?
Kwahiyo mwanamke akiolewa haruhusiwi kufanya shughuli za kiuchumi ?
Kwa hali hiyo mtazd kubaki maskin wakati sisi kilimanjaro tukizd kupeta kimaendeleo