Nampurukano
JF-Expert Member
- Jul 17, 2015
- 1,850
- 2,268
kama wanawake wa moshi watafutaji wa hela kuliko wanaume wa dar mbona dar imeendelea kuliko moshi. Biashara kubwakubwa ziko dar halafu nyingi zinamilikiwa na wanaume!
Hahaha true maana wachaga ndio wawekezaji wakuu wa tzsehemu yoyote ukienda usipokuta mchaga ujue hio sio sehemu ya kuzalisha au haifa kuzalisha
Changia andazi acha kula ya wenzioIla kiukweli vyanamke vya kichaga ulalamishi makelele bila break,yaani kuna kamoja ni ka ps ofcn huwa tunachangia pesa kifungua kinywa na tunampa yeye ndio anasimamia,bc anaweka utaratibu labda kila mtu andazi 2 sasa arudi akute hesabu tofauti atazunguk korido zote kupiga makelele yaani n anania,huyu n wa pili nmekutana nae anapayuka
Wachaga tupo dunia nzma sio dar tuLakini hao wachaga wa Moshi ndio wamejazana hapa Dar
Huyu hajui chochote mkuuTaja hizo Kampuni. Nenda pale Marangu uone kampuni za Kizawa zilivyozagaa alafu utakuja kufuta kauli
Nazidi kukuchora tuHahah ambao hawajahi fika huku ndio wadanganye ila sio mimi niliye huku kitambooo sidanganyikiii. Kampuni nyingi za kitalii wanamiliki waarabu, wazungu na weusi wawili watatu nzuri zaidi na mimi nipo kwenye huo unaita utalii. Acha uongo wewe andika ukweli
Wanatafuta wote ndio Siri ya mafanikio na maendeleo ya mkoa wetu kilimanjaroMtoa mada mshamba sana ilibidi ueleze baada ya wanawake was kichaga wakihangaika kutafuta hela waume zao wanafanya kazi gani sio kuzungumzia wanaume was Dar common sense
Hizo hela za escrow?Nitajie mwanamke yeyote WA moshi anayeweza mfikia Professor Anna Tibaijuka walau hata nusu ya hela zake
Mkuu id Yako imenikumbusha jina la pombe za asili za wahaya zinaitwa shimwaa bila Shaka wwe ni mhayaUnaoa kwa malengo kama ni hayo ya wahaya sawa au ya wachaga sawa tuu wewe na mipango yako tuu
AbsolutelyNi kweli Kilimanjaro ni first world region
Kitakwimu,mkoa wenye gdp kubwa kwa watu wake wa Kwanza Ni dar then kilimanjar kumbuka dar 99% ya Mali Ni za wagemi sio za wenyeji wa darkama wanawake wa moshi watafutaji wa hela kuliko wanaume wa dar mbona dar imeendelea kuliko moshi. Biashara kubwakubwa ziko dar halafu nyingi zinamilikiwa na wanaume!
Kama asipokuelewa inabidi tumpeleke mirembeDar ina square kilometers 1,200.
Wilaya ya Moshi ina square kilometers 1,200+.
Kwa hiyo DSM ena eneo sawa na Wilaya ya Moshi.
DSM hakuna mashamba, kwa hiyo chakula kinatoka mikoani ikiwemo Kilimanjaro.
Wilaya ya Moshi kuna mashamba ya kilimo, kwa hiyo chakula cha kutosha.
Sasa hiyo Dar ingewezaje kujitegemea kama nchi wakati haiwezi kujitosheleza kwa chakula?
Kibiashara Dar yenyewe haijitoshelezi, maana watu wa mikoani ndiyo tumewekeza huku.
Ndiyo maana mwisho wa mwaka Dar hakuna foleni, Bali Moshi ndipo kunakuwa na foleni.
Picha ipi mkuu?Mords naombeni muifute hii news kwa sababu mtoa news ametumia picha ya mtu ambaye ni mtoto wa wa tumishi wa Mungu na mm ni miongoni mwa ndg zake hatujapendezwa na kitendo hicho hivyo tafadhali naomba ifutwe haraka iwezekanavyo hii news na picha ya mdogo wetu vinginevyo tutawaripoti kunakohusika.
Mords naombeni muifute hii news kwa sababu mtoa news ametumia picha ya mtu ambaye ni mtoto wa wa tumishi wa Mungu na mm ni miongoni mwa ndg zake hatujapendezwa na kitendo hicho hivyo tafadhali naomba ifutwe haraka iwezekanavyo hii news na picha ya mdogo wetu vinginevyo tutawaripoti kunakohusika.
Naam wanawake wa kichaga uchumi wa kilimanjaro wanamiliki kwa 40% manake kule ma biashara makubwa unakuta Pia yanamilikiwa na wanawake
Mfano maghorofa nk
Pia makampuni ya magari yapo mengi tu ya wanawake jambo ambalo ni geni sana kwa makabila mengine hasa wahaya
Wanawake wa kihaya wengi ni wapiga majungu/wavivu
Ni ukweli usio na ubishiHahaha true maana wachaga ndio wawekezaji wakuu wa tz
Moshi bhana , raha sana.
Wanawake wanapiga kazi. Wanawake wanahangaika kila mahali , kila sector bila aibu. Si mabinti , si wamama , si wabibi , si masista duu wote wanatafuta pesa usiku na mchana kama ilivyo nchi za watu.
Ukiwa bar mjini Moshi , ni rahisi sana kufanya shopping ya kila kitu cha nyumbani na vinginevyo. Kila kitu kinapita , unafanya negotiation na kununua , then una unavitupia kwenye gari kwenye buti. Hauwazi.
Dsm wanaume laini sana. Wanaogopa mvua.Wanaogopa kuchafuka.Wanaogopa matope.Wanaogopa kula ugali. Wanaogopa panya road. Waoga waoga mno.
Shida sana Dsm , raha ilioje Moshi.
Naam wanawake wa kichaga uchumi wa kilimanjaro wanamiliki kwa 40% manake kule ma biashara makubwa unakuta Pia yanamilikiwa na wanawake
Mfano maghorofa nk
Pia makampuni ya magari yapo mengi tu ya wanawake jambo ambalo ni geni sana kwa makabila mengine hasa wahaya
Wanawake wa kihaya wengi ni wapiga majungu/wavivu
Asante ndugu. Akili yake haina hesabu kwamba wanaume wa kichaga huacha wake zao nyumbani mwezi January eti wanaenda Dar kutafuta na wanarudi December kutia mimba. Wanaume wa Dar anaowasimanga ni wachaga. Wametelekeza wake wao mpaka shape zikaathirika. Wanaume wa Dar rudini Kilimanjaro mkawahudumie wake wenu ndugu yenu amewaaibisha.Mtoa mada mshamba sana ilibidi ueleze baada ya wanawake was kichaga wakihangaika kutafuta hela waume zao wanafanya kazi gani sio kuzungumzia wanaume was Dar common sense