Moshi wanawake wanapambana kuliko midume ya Dsm

Moshi wanawake wanapambana kuliko midume ya Dsm

Hahah ambao hawajahi fika huku ndio wadanganye ila sio mimi niliye huku kitambooo sidanganyikiii. Kampuni nyingi za kitalii wanamiliki waarabu, wazungu na weusi wawili watatu nzuri zaidi na mimi nipo kwenye huo unaita utalii. Acha uongo wewe andika ukweli
Wewe unajikomba na wamarangu kutafuta simpath?
Uchumi wa kilimanjaro Ni 40% wanawake 60% wanaume huo ndio ukweli
Kilimanjaro Ni kawaida mwanamke kumiliki maghorofa, makampuni ya utalii nk uliona wapi sehemu nyingine?
Kilimanjaro Ni developed region zaman kwahiyo maendeleo Ni jadi yetu
Kinehe nkoi
 
Hahah ambao hawajahi fika huku ndio wadanganye ila sio mimi niliye huku kitambooo sidanganyikiii. Kampuni nyingi za kitalii wanamiliki waarabu, wazungu na weusi wawili watatu nzuri zaidi na mimi nipo kwenye huo unaita utalii. Acha uongo wewe andika ukweli


Taja hizo Kampuni. Nenda pale Marangu uone kampuni za Kizawa zilivyozagaa alafu utakuja kufuta kauli
 
Hamna lolote, nioe mchanga umbo namba tisa na ghubu zote hizo, siwezi kosea huku najua wapi kosa nitalikuta..!

Mwanamke mbaya lazima ajifunze kujihudumia tu, mwanamke hana chura nani ajitese kwa mtu wa vile..?
Ila kiukweli vyanamke vya kichaga ulalamishi makelele bila break,yaani kuna kamoja ni ka ps ofcn huwa tunachangia pesa kifungua kinywa na tunampa yeye ndio anasimamia,bc anaweka utaratibu labda kila mtu andazi 2 sasa arudi akute hesabu tofauti atazunguk korido zote kupiga makelele yaani n anania,huyu n wa pili nmekutana nae anapayuka
 
Naam wanawake wa kichaga uchumi wa kilimanjaro wanamiliki kwa 40% manake kule ma biashara makubwa unakuta Pia yanamilikiwa na wanawake
Mfano maghorofa nk
Pia makampuni ya magari yapo mengi tu ya wanawake jambo ambalo ni geni sana kwa makabila mengine hasa wahaya
Wanawake wa kihaya wengi ni wapiga majungu/wavivu
wa BK wana ile product yao special wanajivunia nayo watakuambia kazi ya nini
 
Hamna lolote, nioe mchanga umbo namba tisa na ghubu zote hizo, siwezi kosea huku najua wapi kosa nitalikuta..!

Mwanamke mbaya lazima ajifunze kujihudumia tu, mwanamke hana chura nani ajitese kwa mtu wa vile..?


ahhahaa aisee..kwahyo wenye vyura hawana haja ya kusumbuka
 
Ww ma mtoa mada wote ni wangese ndo nn kuwa dharau watz wa mkoa wa dar hivi mnajua kama dar ndo tz au mnajifanya hamjui tukiamua kujitenga dar iwe nchi nyingine tunaweza na tutakua na maendeleo kuliko mikoa yote sasa hizi dharau zinatoka wapi
Aliye kuambia dar kuna madume ni nani?Kakudanganya mchana kueupe ndio maana uncle ana amia Dodoma
 
Sio sababu ya kutolea mfano wa wanaume wa dar kwa nn asingesema kuliko wanaume wa huko huko au huko kilimanjaro au ajui arusha na moshi hakuna wanaume wote ni wanawake!!??
Naam wanawake wa kichaga uchumi wa kilimanjaro wanamiliki kwa 40% manake kule ma biashara makubwa unakuta Pia yanamilikiwa na wanawake
Mfano maghorofa nk
Pia makampuni ya magari yapo mengi tu ya wanawake jambo ambalo ni geni sana kwa makabila mengine hasa wahaya
Wanawake wa kihaya wengi ni wapiga majungu/wavivu
 
Kabisa kingine haeaoleki kwq sababu hawajui mapenzi watayajulia wapi kila siku wako bize wakat mwanamke ni ua la ndani na hata akiyajua hana shepu wala aura ya kike ndio maana naskia wanaume wa huku wanaoa na kufanga mapenzi na wanawakw wa nchi za jirani mliangakie hili sio jambo zuri wala jema aise.
Shida ni moja hawaoleki sasa wasipofanya kazi watakula kwa jirani amaa..?
 
Mjinha huyo hana jipya mtu wenye matunda ndio unapigwa mawe lazima kila mda mtuzungumzie wanaume wa dar coz tunawazidi kila kitu tunatafuna wanawake wazur na watam pia tuko mkoa unapendwa na kila mtu hata viongozi angalia wanaishi wapi japo inakuta ni kiongoz wa mkoa fulani ila haishi huko anaishi dar huko anakuja kusalimia tu kwa iyo huu ni wivu wa kibwege tu.
Shambulizi jipya kwa wanaume wa Dar
 
Kqma unatania sawa kama hutanii huu ni koro achaga huu upuuzi wa kingese
Sema huwezi kuwaoa, siyo hawaoleki.

Ukiwa na tabia za kidasalama, nakushauri usiwaoe Wachagga, utajuta.

Hwataki wazembe.

Wanaume gani mnamenyewa miwa, mihogo, matango,/mnaogopa vibaka
 
Ww ma mtoa mada wote ni wangese ndo nn kuwa dharau watz wa mkoa wa dar hivi mnajua kama dar ndo tz au mnajifanya hamjui tukiamua kujitenga dar iwe nchi nyingine tunaweza na tutakua na maendeleo kuliko mikoa yote sasa hizi dharau zinatoka wapi
Nonsense fankulo madona
 
Ww ma mtoa mada wote ni wangese ndo nn kuwa dharau watz wa mkoa wa dar hivi mnajua kama dar ndo tz au mnajifanya hamjui tukiamua kujitenga dar iwe nchi nyingine tunaweza na tutakua na maendeleo kuliko mikoa yote sasa hizi dharau zinatoka wapi


Dar ina square kilometers 1,200.

Wilaya ya Moshi ina square kilometers 1,200+.

Kwa hiyo DSM ena eneo sawa na Wilaya ya Moshi.

DSM hakuna mashamba, kwa hiyo chakula kinatoka mikoani ikiwemo Kilimanjaro.

Wilaya ya Moshi kuna mashamba ya kilimo, kwa hiyo chakula cha kutosha.

Sasa hiyo Dar ingewezaje kujitegemea kama nchi wakati haiwezi kujitosheleza kwa chakula?

Kibiashara Dar yenyewe haijitoshelezi, maana watu wa mikoani ndiyo tumewekeza huku.

Ndiyo maana mwisho wa mwaka Dar hakuna foleni, Bali Moshi ndipo kunakuwa na foleni.
 
Mords naombeni muifute hii news kwa sababu mtoa news ametumia picha ya mtu ambaye ni mtoto wa wa tumishi wa Mungu na mm ni miongoni mwa ndg zake hatujapendezwa na kitendo hicho hivyo tafadhali naomba ifutwe haraka iwezekanavyo hii news na picha ya mdogo wetu vinginevyo tutawaripoti kunakohusika.
 
Back
Top Bottom