Kyokola
JF-Expert Member
- Sep 5, 2014
- 1,402
- 1,894
Naam wanawake wa kichaga uchumi wa kilimanjaro wanamiliki kwa 40% manake kule ma biashara makubwa unakuta Pia yanamilikiwa na wanawake
Mfano maghorofa nk
Pia makampuni ya magari yapo mengi tu ya wanawake jambo ambalo ni geni sana kwa makabila mengine hasa wahaya
Wanawake wa kihaya wengi ni wapiga majungu/wavivu
Kwani wanawake wa kihaya tulikukosea nini? Iloko






