MOSHI: Mji uliosheheni walaji wa 'kitimoto'

MOSHI: Mji uliosheheni walaji wa 'kitimoto'

Aya ya 7 na 8
c1dc60180064940e6a023512f123f603.jpg
Wacha maneno yako wewe
 
Ila tunaambiwa kila neno la biblia lafaa kufundishia
huo mkusanyiko wa vitabu vingi.
Waandishi wengi
Wanaojulikana. Na wasiojulikana.
mpaka kuna vitabu na baadhi ya waandishi mkaamua kuwakataa.
WATU AMBAO SI WANAFUNZI WA YESU. WATU AMBAO HAWAJAWAHI KUMUONA YESU. AKINA MATHAYO, LUKA, PAULO N.K.WALIOHADITHIWA NA WAO WAKAAMUA KUANDIKA. MANENO YAO YATAWAFUNDISHA NINI?
 
Punguzajazba.hatugombani.tunaelimishana.soma AYA ya 42.mmekatazwa kula wanyama wote wanaotembeleatumbo.na wanaotembelea miguu 4
3db89b055a8df75af5f084006e8c6f4f.jpg
Hamna jazba mi nakwambia usitoke povu kwa kitu kisichokuhusu. Sisi tunaruhusiwa kula we shida yako nn? Muhamad na Koran havitoshi hadi unagangaika na Biblia? Kuwa mkristu na wewe ufaidi kitimoto safi na ndizi rosti
 
Cjapata mdudu siku nyingi bei imepanda sana ni elfu 10 kilo
 
Punguzajazba.hatugombani.tunaelimishana.soma AYA ya 42.mmekatazwa kula wanyama wote wanaotembeleatumbo.na wanaotembelea miguu 4
3db89b055a8df75af5f084006e8c6f4f.jpg
Matendo ya mitume 10:12-15.

12:ambayo ndani yake walikuwamo aina zote za wanyama wenye miguu minne,na hao watambaao na ndege wa anga

14: lakini petro akasema, hasha Bwana, kwa maana sijakula kamwe kitu kilicho kichafu au najisi.

15: Sauti ikamjia mara ya pili ukimwambia, vilivyotakaswa na Mungu usiviite wewe najisi.

Soma na agano jipya pia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom