Ukiacha Dar, kuna mji mwingine wa kula bata nzuri na machimbo makali kama Moshi?

Kibosho1

JF-Expert Member
Dec 12, 2017
2,491
3,999
Kwakweli mimi sijazunguka mikoa mingi sana ila kwa nilipopita bado sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam

Kwanza nilichopendea hakuna sehemu ya kiwango cha chini zote ni kama VIP ambazo kwa Dar lazma ukute vinywaji vinauzwa bei juu.
Pamoja na kuwapo na wageni wengi lakini bado vitu ni bei za kawaida kabisa.
SIFA KUU NILIZOPENDA ZAIDI
1. Paking kubwa lakini zinajaa
2. Sehemu kali lakini bei elekezi
3. Mademu wakali na wazuri lakini sio ombaomba kama Dar hata kama ni kampani demu sio mzigo au malaya.
4. Kubwa zaidi Hakuna sehemu isiyokuwa na Lipa kwa simu, hata kama ni muuza pepcon ana lipa kwa simu jambo ambalo kwa Dar ni maeneo machache sana wanayo. Yan kiusalama zaidi si lazima uwe na cash ili upate huduma.

Ukienda Moshi hakikisha hutakosa viwanja hivi
1. DID night Pub hii hakuna mtu alienda na msiba asipajue
2. Vegas na moto sana
3. AmuzZ hii sitoisahau kamwe mwaka mpya magari yalikuwa mengi sana mpaka barabarani ikafungwa.
4. Redstone Club hii ni club kubwa Afrika Mashariki, watu wanatoka mbali wanakuja kuinjoy hapa.

Nikisema nitaje zote huu uzi hautoshi. Najua wapo wadau watakuja shuhuda zaidi. Karibuni sana Moshi ila kama unajua chimbo lako kali litupie hapa siku tukija mji husika tufikie hapo.
 
Kwakweli mimi sijazunguka mikoa mingi sana ila kwa nilipopita bado sijaona sehemu nzuri za kula bata kama Moshi. Isipokuwa Dar es Salaam

Kwanza nilichopendea hakuna sehemu ya kiwango cha chini zote ni kama VIP ambazo kwa Dar lazma ukute vinywaji vinauzwa bei juu.
Pamoja na kuwapo na wageni wengi lakini bado vitu ni bei za kawaida kabisa.
SIFA KUU NILIZOPENDA ZAIDI
1. Paking kubwa lakini zinajaa
2. Sehemu kali lakini bei elekezi
3. Mademu wakali na wazuri lakini sio ombaomba kama Dar hata kama ni kampani demu sio mzigo au malaya.
4. Kubwa zaidi Hakuna sehemu isiyokuwa na Lipa kwa simu, hata kama ni muuza pepcon ana lipa kwa simu jambo ambalo kwa Dar ni maeneo machache sana wanayo. Yan kiusalama zaidi si lazima uwe na cash ili upate huduma.

Ukienda Moshi hakikisha hutakosa viwanja hivi
1. DID night Pub hii hakuna mtu alienda na msiba asipajue
2. Vegas na moto sana
3. AmuzZ hii sitoisahau kamwe mwaka mpya magari yalikuwa mengi sana mpaka barabarani ikafungwa.
4. Redstone Club hii ni club kubwa Afrika Mashariki, watu wanatoka mbali wanakuja kuinjoy hapa.

Nikisema nitaje zote huu uzi hautoshi. Najua wapo wadau watakuja shuhuda zaidi. Karibuni sana Moshi ila kama unajua chimbo lako kali litupie hapa siku tukija mji husika tufikie hapo.
Tatizo la Moshi ni wizi na ushamba mwingi
 
Back
Top Bottom