Hivi punde
JF-Expert Member
- Apr 1, 2017
- 2,554
- 8,552
Nimekua Moshi kikazi kwa wiki 3 mfululizo. Na mm huwa napenda sana kuzurura mtaani.
Watu wanakula pombe Moshi jamani. Wanamlalamilia JPM lakini hapana. Wanayo mawe.
Nenda Hugos Garden , Q wine bar , Seven 11, East Africa , Minjas Pub , Oriental na Aventure kote huko watu wako fully wanakula vitu muda wote.
Moshi ni mji wa ajabu sana.Starehe haziishagi.
Haya bhana.
Pesa ipo.
Watu wanakula pombe Moshi jamani. Wanamlalamilia JPM lakini hapana. Wanayo mawe.
Nenda Hugos Garden , Q wine bar , Seven 11, East Africa , Minjas Pub , Oriental na Aventure kote huko watu wako fully wanakula vitu muda wote.
Moshi ni mji wa ajabu sana.Starehe haziishagi.
Haya bhana.
Pesa ipo.