bolivia
JF-Expert Member
- Mar 3, 2021
- 2,853
- 4,549
Habari ya ijumaa Wana jf,
Najua mko poa sana pole na harakati za hapa na pale,
Twende kwenye Mada,
Nipo likizo kikazi ya siku 28 kama unavyojua makampuni yetu haya Wanatoa siku 28 tu, sasa nikaona sio mbaya likizo hii nikawa mji wa Moshi kutokana na nimebahatika kupata mtoto wa kiume na mwanamke wa kichaga
Nina wiki ya pili sasa nipo hapa Kibosho kuna sehemu inaitwa Boro chini Dar es salaam ni Dar es salaam tu. Nimefika watu wa nashangaa shangaa Mgeni anajulikana tu always.
Siwasifii wachaga lakini kiukweli Wana heshima sana hawez kupishana na wewe bila ya kukusalimia au mkubwa au mdogo Salam zao ni kichaga mimi najibu Kiswahili.
ULEVI
vijana Wana jitahid sana kupiga pombe kiukweli hii ipo wazi 98%. Pombe za kienyeji tupu wachache wa napiga Bia, huku ni mbege tupu.
MAENDELEO
Hawa jamaa wamepiga hatua sana kwenye suala la kujenga kwao, watafutaji sana then wanajenga kwao sio haba.
PISI KALI
wachaga hawana shepu miguu.
Lakini Wana sura nzuri nzuri.
Sio wazuri sana kwenye suala la sex.
Najua mko poa sana pole na harakati za hapa na pale,
Twende kwenye Mada,
Nipo likizo kikazi ya siku 28 kama unavyojua makampuni yetu haya Wanatoa siku 28 tu, sasa nikaona sio mbaya likizo hii nikawa mji wa Moshi kutokana na nimebahatika kupata mtoto wa kiume na mwanamke wa kichaga
Nina wiki ya pili sasa nipo hapa Kibosho kuna sehemu inaitwa Boro chini Dar es salaam ni Dar es salaam tu. Nimefika watu wa nashangaa shangaa Mgeni anajulikana tu always.
Siwasifii wachaga lakini kiukweli Wana heshima sana hawez kupishana na wewe bila ya kukusalimia au mkubwa au mdogo Salam zao ni kichaga mimi najibu Kiswahili.
ULEVI
vijana Wana jitahid sana kupiga pombe kiukweli hii ipo wazi 98%. Pombe za kienyeji tupu wachache wa napiga Bia, huku ni mbege tupu.
MAENDELEO
Hawa jamaa wamepiga hatua sana kwenye suala la kujenga kwao, watafutaji sana then wanajenga kwao sio haba.
PISI KALI
wachaga hawana shepu miguu.
Lakini Wana sura nzuri nzuri.
Sio wazuri sana kwenye suala la sex.