MOSHI: Mji uliosheheni walaji wa 'kitimoto'

MOSHI: Mji uliosheheni walaji wa 'kitimoto'

Sema pia wanasaka hela maana hao mabinti, vijana wa kiume, wazee wanakula kwa pesa plus pombe kali zilizopimwa ni ghali pia
 
Ngoja niende zangu kwa bonge mchongomani, cheka ung'atwe nikale speed na pua ya noah
 
Hayawi hayawi sasa yashaanza kutimia,mwezi wa wachaga huoo.....
 
Elimu yake itakuwa na Expansion Joints
Hajui faida ya kitimoto huyo eti anaongelea minyooo!! dawa za minyoo mbona ziko kibao tena unakunywa kidonge kimoja tu unapona Jini likikuingia hata hao wasabato hawana tiba za hayo matunda na vitu vyao vya kula natural.Hakuna chakula natural chaweza zuia jini kukuingia au kulitoa.Hiyo ni kazi ya kitimoto .kula sana kitimoto kuepuka majini.Wachaga hufanikiwa popote kibiashara au ofisini nk sababu hawasumbuliwi na majini.Uchawi wa majini haumgusi mchaga mla kitimoto ukimtupia litakurudia kukumaliza uliyelituma
 
huo mkusanyiko wa vitabu vingi.
Waandishi wengi
Wanaojulikana. Na wasiojulikana.
mpaka kuna vitabu na baadhi ya waandishi mkaamua kuwakataa.
WATU AMBAO SI WANAFUNZI WA YESU. WATU AMBAO HAWAJAWAHI KUMUONA YESU. AKINA MATHAYO, LUKA, PAULO N.K.WALIOHADITHIWA NA WAO WAKAAMUA KUANDIKA. MANENO YAO YATAWAFUNDISHA NINI?
Mkuu sijazungumzia mkusanyiko wala waandishi mi naongelea maneno ambayo yapo tayari kwenye biblia yanafaa kutumika??
 
Hamna jazba mi nakwambia usitoke povu kwa kitu kisichokuhusu. Sisi tunaruhusiwa kula we shida yako nn? Muhamad na Koran havitoshi hadi unagangaika na Biblia? Kuwa mkristu na wewe ufaidi kitimoto safi na ndizi rosti
Ugomvi wangu Mimi na ninyi upo hapo.
WAPI MMERUHUSIWA MLE NGURUWWE.
WAKATI WALAWI 11: 7-8 IMEWAKATAZAAAA. TENA KATAJWA NA JINA.
 
Bila shaka unayoyaamini ndo itakuwa pumba, next time soma vizuri kwanza usije kuaibika
Muogopemungu.walawi 11:7-8 ni PUMBA?
c8b5de3d4b13b0bfc61ce73e9a7b8291.jpg
 
Muogopemungu.walawi 11:7-8 ni PUMBA?
c8b5de3d4b13b0bfc61ce73e9a7b8291.jpg
Muogope wewe kwanza kwa kudharau biblia kwamba ni kitabu kimeandikwa na wajanja, kwani biblia ni neno la Mungu iweje maneno yake uyakatae na kusema ni pumba ndan ya mchele
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom