Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,372
- 55,027
Wewe nae utasema ni mtaalamu wa afya ya wanyama na Binadamu?Ndo maana mafua na minyoo haiwaishi...!
Wewe nae utasema ni mtaalamu wa afya ya wanyama na Binadamu?Ndo maana mafua na minyoo haiwaishi...!
Sasa tatizo liko wapi?kila mtu abaki kwny imani yake ww kula ngamia na wala kitimoto wale man..Ngamia mmekatazwa wakristo. Wa Islam hatujakatazwa.
Kwani mkuu..?Wewe nae utasema ni mtaalamu wa afya ya wanyama na Binadamu?
Sana.Tunampenda sana huyo mjanja mjanja. Unaleta MANENO ya mjanja mjanja. Paulo
MUHARIBU WA DINI.
Anawaambia MTU ASIWAPANGIE KITU CHA KULA. WALA CHA KUNYWA.
INA MAANA NYIE HATA POMBE MNAKUNYWA TU.
Nguruwe ndiye chanzo cha mafua na Minyoo kwa Binadamu?Kwani mkuu..?
NIMESHAKUJIBU ISHU SIO KULA. WALA ISHU SIO KUZINI.Sasa kama unajua hilo unachoshangaa sisi kula nguruwe ni nini kama unajua hivyo.
Na hakuna walaji wazuri wa kitimoto kama nyie sema kuandika ulafi wa mtu jukwaani hapa sio vyema.
Eti muddyHadithi za akina Abuu Sufian na kina Othman ni maneno ya Mtume Muddy wa mecca?

Nafikiri unajua vyema kwann Surat maida ilipatikana.. Unaleta MANENO ya mjanja mjanja. Paulo
MUHARIBU WA DINI.
Anawaambia MTU ASIWAPANGIE KITU CHA KULA. WALA CHA KUNYWA.
INA MAANA NYIE HATA POMBE MNAKUNYWA TU.
NA ILIKUWAJE BARUA ZA PAULO ZIKAINGIZWA KWENYE MANENO YA MUNGU. WAKATI HAKUWA MTUME. WALA MWANAFUNZI WA YESU WALA HAJAWAHI KUMUONA YESU?Sana.Tunampenda sana huyo mjanja mjanja
Naona Nguruwe wanakuuma sana unataka uenyekiti wa Chama cha Kutetea Nguruwe (CHAKUNGU)?NIMESHAKUJIBU ISHU SIO KULA. WALA ISHU SIO KUZINI.
ISHU NI KUKUBALI KUWA NGURUWE NA KUZINI VYOOOOTE TUMEKATAZWA.
TATIZO NINYI MNATAKA KUHALALISHA KITIMOTO. KITU AMBACHO NI KINYUME NA BIBLIA. MNATAKIWA MKUBALI KUWA BIBLIA IMEKATAZA KULA NGURUWE LAKINI NINYI MNAKULA KWA MAPENZI YENU.
Kwenye Quran hakuna BARUA za PAULO.Nafikiri unajua vyema kwann Surat maida ilipatikana.
Pana chezea kiti - fire
TATIZO agano lipya Starling. Ni PAULO.Naona Nguruwe wanakuuma sana unataka uenyekiti wa Chama cha Kutetea Nguruwe (CHAKUNGU)?
Usikomalie andiko moja na kwanini hutaki kukubali pia agano jipya ambalo liliwapa watu ruhusu ya kula chochote kile ili mradi kisiwatoke?
Muulize Paulo mwenyewe.NA ILIKUWAJE BARUA ZA PAULO ZIKAINGIZWA KWENYE MANENO YA MUNGU. WAKATI HAKUWA MTUME. WALA MWANAFUNZI WA YESU WALA HAJAWAHI KUMUONA YESU?
Haikuhusu kaa na islam yako. Kama unaona wivu na wewe kula. Nguruwe wapo wengi sana. China peke yake wapo zaidi ya mil 450.Wapi mmeruhusiwa?
Nitaamini Vipi Maneno ambayo yaliandikwa Miaka 2000 iliyopita? Ile hali hakuna hata ushahidi wa Maandashi? Hebu nisaidieni niamini vipi kuwa tulikatazwa kula Nguruwe unaweza kuweka Video wakati hilo tamko linatolewa enzi hivyo George Maratu!TATIZO agano lipya Starling. Ni PAULO.
Mjanja mjanja Fulani.
Aliyekaa na pen yake na karatasi zake. Akaamua kuwaandikia watu BARUA.
MANENO anayojua yeye.
Wakati HAKUWA MWANAFUNZI wa yesu wala HAJAWAHI hata KUMUONA yesu.
Wala hakuwa nabii wala MTUME.
Mtayaamini vipi maneno yake?
Mi cjasema kuna barua za Paulo ila kuna Surat Maida ambayo ukiamua kuandika humu ukweli utajua uhusiano wa hiyo sura na kiti moto.Kwenye Quran hakuna BARUA za PAULO.
Sisi tumeamua kuyaamini wewe imekuathiri vipi hiyo?TATIZO agano lipya Starling. Ni PAULO.
Mjanja mjanja Fulani.
Aliyekaa na pen yake na karatasi zake. Akaamua kuwaandikia watu BARUA.
MANENO anayojua yeye.
Wakati HAKUWA MWANAFUNZI wa yesu wala HAJAWAHI hata KUMUONA yesu.
Wala hakuwa nabii wala MTUME.
Mtayaamini vipi maneno yake?
Punguzajazba.hatugombani.tunaelimishana.soma AYA ya 42.mmekatazwa kula wanyama wote wanaotembeleatumbo.na wanaotembelea miguu 4Haikuhusu kaa na islam yako. Kama unaona wivu na wewe kula. Nguruwe wapo wengi sana. China peke yake wapo zaidi ya mil 450.