Mbao za Mawe
JF-Expert Member
- May 11, 2015
- 23,373
- 54,756
Unataka Maneno ya Mungu ayatume kwa njia gani?barua za Paulo ni maneno ya mungu?
Unataka Maneno ya Mungu ayatume kwa njia gani?barua za Paulo ni maneno ya mungu?
Kuna manabii na mitumeUnataka Maneno ya Mungu ayatume kwa njia gani?
Wewe ngoja leo Hizo MB zako zitaisha bila kuzifaidi.Kuna manabii na mitume
swali Paulo alikuwa Nani?.
Na alipewa na Nani hicho cheo?
Hahahahaha...!!!Ndio maana wana Akili nyingi.
Ukiishia kula kashata na urojo unakuwa ngumbaru jike.
Ndio maana wana Akili nyingi.
Ukiishia kula kashata na urojo unakuwa ngumbaru jike.
Kwani maneno ya Mungu tunayatoa wapi?? Na biblia inaundwa na nini kama si hayo maneno unayoyakataa??? Endeleeni kuikataa biblia alafu useme we msafi huo utakuwa ni unafikibarua za Paulo ni maneno ya mungu?
Mungu mwenyewe.Wewe ngoja leo Hizo MB zako zitaisha bila kuzifaidi.
Nani alikuwa anateuwa mitume na Manabii hapo awali?
Kwenye huo uteuzi alikwambia ni nani na nani walikuwa mitume na Manabii?Mungu mwenyewe.
Kwa mitume na manabii. Je Paulo alikuwa Nani?Kwani maneno ya Mungu tunayatoa wapi?? Na biblia inaundwa na nini kama si hayo maneno unayoyakataa??? Endeleeni kuikataa biblia alafu useme we msafi huo utakuwa ni unafiki
Ngoje waje sijui watakuchambaje sasaNdio maana wana Akili nyingi.
Ukiishia kula kashata na urojo unakuwa ngumbaru jike.
Moshi ni mji wa kitalii.Mji ulioanza kuona wazungu hapa Tanzania.
Pombe kali na kitimoto rosti ni wengi sana bila kujali jinsia. Watoto wadogo na vibinti vinakula pombe sana.
Vijiwe maarufu vya kitimoto Moshi mjini ambavyo ni maarufu ni:-
Mbosho
MINJAS Pub Majengo stand
Toroka uje- Kiboroloni
Masikio
Msonge
Pamela Pub - Soweto
Unakuta mtu anashusha konyagi kubwa na kitimoto rosti na ugali.
Moshi raha sana
Mitume na manabii. Ni Kama ruti. Nuhu. Ibrahim. Yakubu. Musa. Yesu. Muhammad wa mwisho. FUNGA DIMBAKwenye huo uteuzi alikwambia ni nani na nani walikuwa mitume na Manabii?
6.kilitime rwamishenye4.mama kababy junction
5 . colping kibeta
Duh..!!Kuna mpango mkubwa wa serikali wa kuanzisha Ranch ya Nguruwe huko Unguja na Pemba
Sasa unaweza kunipa ushahidi wa hizo teuzi kipindi hicho?Mitume na manabii. Ni Kama ruti. Nuhu. Ibrahim. Yakubu. Musa. Yesu. Muhammad wa mwisho. FUNGA DIMBA
Lisiongezwe wala kupunguzwa neno lolote maana kila neno lafaa.... Sasa sijui hiyo mamlaka na ujasili unaitoa wapi????Kwa mitume na manabii. Je Paulo alikuwa Nani?
Ndio maana wana Akili nyingi.
Ukiishia kula kashata na urojo unakuwa ngumbaru jike.
KAMA BIBLIA NI MANENO YA MUNGU.NIAMBIE YAKUBU ALIPIGANA NA MUNGU GANI MPAKA AKAMSHINDA? SOMA AYA YA 28.Lisiongezwe wala kupunguzwa neno lolote maana kila neno lafaa.... Sasa sijui hiyo mamlaka na ujasili unaitoa wapi????