MOSHI: Mji uliosheheni walaji wa 'kitimoto'

KAMA BIBLIA NI MANENO YA MUNGU.NIAMBIE YAKUBU ALIPIGANA NA MUNGU GANI MPAKA AKAMSHINDA? SOMA AYA YA 28.
c885f7d72b9aad5a2a1884502b693b14.jpg
Kwan maneno ya Mungu tunayapata wapi???????
 
WEKA NA KAPICHA MKUU YA HYO NYAMA PENDWA, INGAWA WENZETU WANASEMA HAWAITUMII LAKINI CHA AJABU WAKIFUNGA MWEZ WAO ULE MAUZO YANAPOROMOKA KWA KASI YA 5G
 
Kwenye kitimoto uliweka vifungu sasa nipe kifungu ambacho Mungu aliteua hao unaosema, Tatizo lako unataka kuruka ile hali huna mabawa.
Sasa Kama hata mitume na manabii. Hauwajui.
NAKUONA UPO HAPA KIUBISHI ZAIDI.
Unatakiwa uniombe nikufundishe. Usijibizane na Mimi maana hoja huna.
 
Nme pa miss Sana moshi enzi hzo,karanga pr,changbay, Soweto,kiboroloni,magorofani,shant town,majengo.
Mwakani itabd nikatembelee uko
 
Back
Top Bottom