Preta
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 24,323
- 18,793
Arusha
1. Starlight
2.
3.
Aaaah.....mkuu.....njoo hapa Choices Raskazon tule kavu na ndizi......au unapenda rojo.....?
Arusha
1. Starlight
2.
3.
Katika teuzi zote. Hakuna jina la Paulo.Sasa unaweza kunipa ushahidi wa hizo teuzi kipindi hicho?
Si uweke hizo teuzi mbona teuzi zetu hizi zina ushahidi weka hapa tusome tuone walioteuliwa siku hiyo.Katika teuzi zote. Hakuna jina la Paulo.
HAUJIELEWI UNAULIZA NINI.Si uweke hizo teuzi mbona teuzi zetu hizi zina ushahidi weka hapa tusome tuone walioteuliwa siku hiyo.
Kwan maneno ya Mungu tunayapata wapi???????KAMA BIBLIA NI MANENO YA MUNGU.NIAMBIE YAKUBU ALIPIGANA NA MUNGU GANI MPAKA AKAMSHINDA? SOMA AYA YA 28.
Kwenye kitimoto uliweka vifungu sasa nipe kifungu ambacho Mungu aliteua hao unaosema, Tatizo lako unataka kuruka ile hali huna mabawa.HAUJIELEWI UNAULIZA NINI.
Kwa hyo mungu ndo. Amesema. Yakubu alipigana nae.yakubu AKAMSHINDA mungu?Kwan maneno ya Mungu tunayapata wapi???????
Kwani mwenzetu neno la Mungu huwa unalipata wapi???? Najibu kwanza hapoKwa hyo mungu ndo. Amesema. Yakubu alipigana nae.yakubu AKAMSHINDA mungu?
Sasa Kama hata mitume na manabii. Hauwajui.Kwenye kitimoto uliweka vifungu sasa nipe kifungu ambacho Mungu aliteua hao unaosema, Tatizo lako unataka kuruka ile hali huna mabawa.
Kwenye QuranKwani mwenzetu neno la Mungu huwa unalipata wapi???? Najibu kwanza hapo
Ase sitakujaga nikuelewe;Aya ya 7 na 8
Sasa ya kwenye biblia yanakuwasha nini??????Kwenye Quran
Labda imewakataza nyie, ndio maana imani yenu ya kisheria sio ya kirohoHAKUNA MTU ANAYEKATAA KUWA HAYO MAKOSA NI DHAMBI.
TATIZO NINYI HAMTAKI KUKUBALI UKWELI. KUWA BIBLIA IMEKATAZA KULA NGURUWEE
Alikuwa mtume na petro wengine fakeUNALETA BARUA ZA PAULO?
BARUA ZA PAULO NI MANENO YA MUNGU?
Sijawahi ona sehemu kwenye biblia imeandika watu tule Matembele.Kama kuna sehemu. Mmeambiwa mle nguruwe kwenye biblia IWEKE.
Pale unapotaka watu waongee kwa lazimaKuna mpango mkubwa wa serikali wa kuanzisha Ranch ya Nguruwe huko Unguja na Pemba
Sibishani na mtu anaeogopa Nguruwe.Sasa Kama hata mitume na manabii. Hauwajui.
NAKUONA UPO HAPA KIUBISHI ZAIDI.
Unatakiwa uniombe nikufundishe. Usijibizane na Mimi maana hoja huna.
Kwani mudy wenu alipewa utume na nani !Kwa mitume na manabii. Je Paulo alikuwa Nani?