MOSHI: Mji uliosheheni walaji wa 'kitimoto'

MOSHI: Mji uliosheheni walaji wa 'kitimoto'

Hebu kuwa muelewa:

Kwani jamaa hapo amezungumzia BIBLIA waliyoandikiwa wana wa Lawi au AGIZO?
Kwani WALAWI na nyie WAKRISTO wa sasa TOFAUTI YENU nini mpaka. Useme waliambiwa WALAWI na sio WAKRISTO wa sasa?
 
kwanini WALAWI 11: 7-8 HIZO AYA hauzitaki.?
Kwani ukila Nguruwe na yule anaezini kuna tofauti gani na kwani mnashupaza shingo kwenye mlo wa nguruwe?

Hebu msituongezee Frustration kabisaaaa kila mtu ale anachopenda kama ni haramu Mungu hakuwa Mjinga kuviumba wewe hata kama nyama ya mwanadamu ni tamu kwako kula.

Kuzini nako mngekuwa mnakupa nguvu kama Mnavyosemea kitimoto nadhani dunia ingekuwa sawa sana.
 
Moshi ni mji wa kitalii.Mji ulioanza kuona wazungu hapa Tanzania.

Pombe kali na kitimoto rosti ni wengi sana bila kujali jinsia. Watoto wadogo na vibinti vinakula pombe sana.

Vijiwe maarufu vya kitimoto Moshi mjini ambavyo ni maarufu ni:-

Mbosho

MINJAS Pub Majengo stand

Toroka uje- Kiboroloni

Masikio

Msonge

Pamela Pub - Soweto

Unakuta mtu anashusha konyagi kubwa na kitimoto rosti na ugali.

Moshi raha sana
Kula kiti moto kwenye lodges zenu wanaruhusu?
 
Kwani ukila Nguruwe na yule anaezini kuna tofauti gani na kwani mnashupaza shingo kwenye mlo wa nguruwe?

Hebu msituongezee Frustration kabisaaaa kila mtu ale anachopenda kama ni haramu Mungu hakuwa Mjinga kuviumba wewe hata kama nyama ya mwanadamu ni tamu kwako kula.

Kuzini nako mngekuwa mnakupa nguvu kama Mnavyosemea kitimoto nadhani dunia ingekuwa sawa sana.
we kula tu. Lakini jua ushaambiwa.
NGURUWE NI NAJISI KWENU. MSIILE NYAMA YAKE. WALA MZOGA WAKE MSIUKARIBIE.
 
Moshi ni mji wa kitalii.Mji ulioanza kuona wazungu hapa Tanzania.

Pombe kali na kitimoto rosti ni wengi sana bila kujali jinsia. Watoto wadogo na vibinti vinakula pombe sana.

Vijiwe maarufu vya kitimoto Moshi mjini ambavyo ni maarufu ni:-

Mbosho

MINJAS Pub Majengo stand

Toroka uje- Kiboroloni

Masikio

Msonge

Pamela Pub - Soweto

Unakuta mtu anashusha konyagi kubwa na kitimoto rosti na ugali.

Moshi raha sana
Huku bukoba na senene kwa sana kipindi hiki ukishushia na kitimoto
600fa6241380108f135a90a389b89fd7.jpg
 
we kula tu. Lakini jua ushaambiwa.
NGURUWE NI NAJISI KWENU. MSIILE NYAMA YAKE. WALA MZOGA WAKE MSIUKARIBIE.
Nashangaa sana kushupalia nguruwe na kuacha wazi milango mengine ikipitisha dhambi ambazo mnaona hazina nguvu, Kama kutokula kitimoto kutakufanya uende mbinguni basi nakutakia safari njema.

Unakomaa na Nguruwe
! nguruwe! Kwani nikila hata kama ni najisi wewe unaumia nini, mimi kula nguruwe tu unaumia je leo nikikutafuna si utalia machozi.
 
Nashangaa sana kushupalia nguruwe na kuacha wazi milango mengine ikipitisha dhambi ambazo mnaona hazina nguvu, Kama kutokula kitimoto kutakufanya uende mbinguni basi nakutakia safari njema.

Unakomaa na Nguruwe
! nguruwe! Kwani nikila hata kama ni najisi wewe unaumia nini, mimi kula nguruwe tu unaumia je leo nikikutafuna si utalia machozi.
Mimi sijaandika biblia
Kama mkristo wa kweli. FUATA MAFUNDISHO YA BIBLIA.
 
Kitmoto hiyo kitu usiguse ule na nyagi huku ukiwA umeshiba
Umkamate manka mtoto wa kichaga atasali rozali yote inaisha ataanza tena upya kuungama zambi zake zote kwenye dushe
 
Kwani wanaokula wamepata madhara gani mpaka sasa?
Wanyama ambao hawaliwi ni ambao hawakuumbwa tu , waliobaki kama hana sumu ya kukuua au kukudhuru ruksa kula , usipokula wewe watakula wenzio.
BIBLIA haifundishi hivyo vinginevyo useme.
UMEJITOA KUWA MKRISTO.
 
Wasabato bwana huwa wanasimamia agano la kale bila marejeo ya agano jipya. Mbona agano jipya maandiko yanasema KIMWINGIACHO MTU SIO NAJISI BALI KIMTOKACHO. Najiuliza tu kuwa hivi akili ukiifungia chumbani bila kuona nje itakuwa open mind or closed mind
Kuna mfanyakazi mwenzangu aliniuliza kwanini nakula kitimoto wakati maandiko yanakataza , nkampa vifungu vya agano jipya ku justify ulaji wa kitimoto, hakurudi na majibu.

Nadhani bado anasoma.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom