Asante CCM
JF-Expert Member
- Jun 22, 2023
- 346
- 1,301
Kikosi cha Zimamoto mkoani Morogoro leo kimeenda kuzima moto kwa ndoo na mikono ikielezwa gari zao zote ni mbovu. Moto huo umeua mzee mmoja aliyeshindwa kujiokoa.
Ikumbukwe, pesa za kina Profesa Zembelwa, Dk Kitenge na Mwanasheria nguli wa sheria za MIKATABA ndugu Hando zipo ila za kuwezesha jeshi la zimamoto litimize majukumu yake bila vikwazo-hakuna.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Credit: ITV
Ikumbukwe, pesa za kina Profesa Zembelwa, Dk Kitenge na Mwanasheria nguli wa sheria za MIKATABA ndugu Hando zipo ila za kuwezesha jeshi la zimamoto litimize majukumu yake bila vikwazo-hakuna.
Kidumu Chama cha Mapinduzi.
Credit: ITV