Mwafrika wa Kike
JF-Expert Member
- Jul 5, 2007
- 5,185
- 56
Jakaya tulimwambia kabla ya baraza la juzi kuwa wale wote wanaohisiwa kuwa wala rushwa watupwe nje ya baraza.
Magufuri ni kama Mrema ni mla rushwa na hilo JK analijua.
Magufuri amehusika kwenye ufisadi wa kuuza nyumba na aliomba rushwa ili boti za spidi ziende Mwanza.
kwangu mimi Magufuri kuendelea kuwa waziri ni katika kuyalinda mafisadi.
mliokuja hapa kumpigia debe tuambieni nyumba za serikali alivyafanya kuwa mradi wake binafsi. ktk mawaziri wanaotakiwa kuchunguzwa ni huyu Magufuri ili baraza libaki safi.
ndio maana Chenge akasema hivi ni vijisenti kwani anajua Mramba, Magufuri, Mkapa, Yona na Mungai wana mabilioni ya mapesa.
Kama magufuri ni mla rushwa na JK anajua hili mbona bado anarudi kwenye baraza? hii inanichanganya sana mkuu tafadhali fafanua kidogo hapa