bm21
JF-Expert Member
- May 12, 2008
- 774
- 33
siku zote magufuli amekuwa akifanya kazi nzuri lazima apongezwe. Hata ile kashfa ya nyumba za serikali ilishinikizwa na mkapa na sumaye na yeye akaona achukue japo nyumba moja.
Nikweli anafanya kazi nzuri lakini ni fisadi mzuri tuu hasa katika swal la nyumba, na pale alipokuwa miundombinu. Magufuri aliforce mradi wabarabara kupita kijijini kwake japo kuwa upembuzi yakinifu ulikuwa hauruhusu kiwango hicho katika barabara hiyo. Of course kuna mengi, though kiutendaji nimchapakazi kama Mkapa