NgomaNzito
JF-Expert Member
- Jan 10, 2008
- 559
- 26
Muungwana amteue Mh.Zitto akaweke uzito pale Mahanga nooo ana kaharufu ka ufisadi
Mtanzania,Mkuu Gembe,
Ufisadi wowote unaanzia kwenye mambo binafsi. Ni ngumu kutenganisha masuala ya wanasiasa na mambo binafsi.
zaidi ya asilimia 50 ya wanasiasa waliondolewa madarakani kwa kashfa, matatizo yao yanatokana na mambo binafsi.
Ukiingia kwenye siasa ni kwamba unaruhusu mambo yako binafsi kuanikwa.
Nafikiri unaelewa uhusiano wa money, power and sex. Hivyo vitu vitatu huwezi kuvitenganisha.
Mahanga alirudishwa pale Kwa huruma tu ya Jk,ila hakuwamo katikawale wateule waliotakiwa kuwamo katika barza la mawaziri.Muungwana amteue Mh.Zitto akaweke uzito pale Mahanga nooo ana kaharufu ka ufisadi
Kwa walioko TZ
Hivi yule dada wa UDSM sheria, mwenye RAV4 aliekuwa anakaa MABIBO hostel ameshaolewa na MAGUFULI ? , kwa maana alikwa anajishau kuwa anazimaliza pesa za BARABARA zetu kipindi kile Mh. yuko Miundombinu.
Pamaja na vishutuma vidodgovidogo tunavyoambiwa kuhusu JPM, nafikiri katika awamu zote sijaona jamaa aliyeweza kuchapa kazi katika wizara ya ujenzi zaidi yake. Sijui kama kuna mabadiliko yametokea kifedha ktk ile wizara mpaka ikasababisha ujenzi wa barabara zetu zisimame. The way I see it ni udhaifu wa serikali ya Muungwana. Muunnwana alifikiri hii kazi ni rahisi ndiyo sababu alikuwa anatoa ahadi bila kufikiria na kukumbuka kuwa zile barabara zilikuwa zinajengwa kwa juhudi za watu fulani including Nkapa. Sasa yeye alifikiri akiweka ajikaji wake mambo yataendelea kama zamani. Nafikiri mpaka sasa BWM anampiga JK bao katika ufanisi (1-0). By 2015 itakuwa 5-0, beleave me!!!!
Arudishe kwanza nyumba zetu walizouziana bei poa kwanza ndipo afikiriwe kuwa aliweza pale ama kuweza ni pamoja na kuuza nyumba zetu kwa vigogog na kwa bei poa na sasa wanabomoa na kujenga magorofa huku wafanyakazi wa serikali tukiteseka?
Hafai huyu naye ni fisadi tuu subirini kwenye updated list mtamwona na hakuna atakayekuja tena hapa kumpendekeza.
hilo ni swala la kujiuliza,ila mie sidhani kama Serikali haina Pesa,Pesa ya kuwalipa RDC ilitoka wapi?na Pesa ya Safari za Muungwana Je?au kasma inapewa pesa nyingi kuliko Pesa ya Bajeti ya Wizara ya Barabarara?
I believe Magufuli can make some more Changes,At least Mtu aweze kutoka Mtwara mpaka Mwanza kwa rami.hapo nitafarijika kidogo.Na pia From Dar to Musoma kwa Rami
Mahanga Makongoro atapandishwa
Kwa kulitafakari baraza la mawaziri la JK, kuanzia la kwanza na hili la pili; kuna mwelekeo wa kutoa uwakilishi wa MAENEO au KABILA. Kwa mantiki hiyo kwa kuwa aliyeachia ngazi ni MSUKUMA, basi tutarajie Chapa Ng'ombe mwingine. List ni ndefu, yaweza kuwa MAGUFULI, NGELEJA, MLINGWA etc. Yetu macho na masikio kuanzia leo hii.
Natokea kamnyonge..Sio rami inaitwa LAMI
Nilishangaa sana JK alipomtoa Magufuli Ujenzi. Nchi hii bila miundo mbinu imara hatutaenda kokote.............na tunahitaji mtu kama Magufuli au zaidi yake (ambaye bado sijamuona).
kuondolewa kwa Magufuli Ujenzi.......influence ya Rostam itakuwa imechangia sana.........and guess what.....angalia wote walioingizwa ktk hiyo position baada ya kutolewa Magufuli wakoje.........jiulize and watch!!
Magufuli ni mchapa kazi na kila atakapopelekwa utasikia vitu vyake........kwa kuwa suala la miundombinu ni sensitive kwa uchumi wetu tunahitaji watu wachapakazi na wenye ARI ya kutimiza yaliyokusudiwa.
.....CCM lazima mkubali kuwa kati ya nguzo zenu bora mlizo nazo moja ni Magufuli....hata Upinzani wanalikubali hilo.......na hii ni kutokana na track record yake akiwa Ujenzi.......
Mnyonge mnyongeni lakini haki yake mpeni.....si utani JK mpatie Magufuli Ujenzi uone vumbi lake........na kufikia huko 2010 angalau utakuwa na kitu cha kusemea........kwani mpaka sasa hakuna zaidi ya skandali moja hadi nyingine