Son of Alaska
JF-Expert Member
- Jun 2, 2008
- 2,812
- 1,055
kwa niaba ya watu wengine,kujiepusha na huu mstakabali,tungeomba hii CHAIN ya mpakanjia ianikwe jamvini
Ukisoma hii thread utagundua kwanini HIV AIDS itatumaliza watanzania/waafrika. YAANI tunavyofanya hivi hatusaidii lolote katika kupambana na huu ugonjwa zaidi ya kufanya stigmatization dhidi ya wale wenye huu ugonjwa..Its not fair kabisa...we might pretend kwamba we aint judgemental kwa kuogopa kuliongelea..lakini tufike mahali tukubali..kwamba HIV is killing our loved ones..than anything!. JAMANI hii vita tutaishinda kweli? Yaani na kampeni zote na pesa zote sijui za akina Global Fund na Bush..bado watu hata kuuongelea huu ugonjwa tunaona taabu? sasa huyu adui tutamshinda vipi? Tuwaige akina Kaunda na Mandela..waliosema kabisa kwamba watoto wao walikufa kwa ajili ya hili gonjwa..na wapo at the fore kupambana na huu ugonjwa. Ni lini tutaamka tuikubali hali halisi?
Ukimwi upo..Thats a reality check and we are dying because of it.......kikubwa ni kujifunza kwamba ukimwi siyo lazima uupate kwenye ngono. Sasa mtu akiongelea ukimwi anaonekana kama mwenye nao alikuwa ni muhuni..kitu ambacho si kweli. Wengine wanaupata kwa kuletewa na wapenzi au wenza wao. Jamani tujifunze kwamba hili gonjwa ni adui wa wote..walioko kwenye ndoa na walio single. Anybody can get it.
Lets be open, frank and genuine if at all we want to attempt to fight this killer disease. Inawezekana hayati Mpakanjia alikuwa na huu ugonjwa..lakini maadam keshatutoka..basi tuangalie alikosea wapi na sisi tusipitie huo mkumbo. Kama Maane alivyosema..tuwe wawazi na tubadilike kitabia. It MIGHT help.
Kinachosikitisha zaidi..hata viongozi wetu na wasomi wanaomanage hiyo miradi ya kupambana na ukimwi ndo hao..hata kuandika sentensi inyohusu huu ugonjwa wanaogopa kwamba watanyoshewa vidole!
In all, mimi sijui ugonjwa uliomuondoa Huyu Mtanzania mwenzetu lakini kama ni HIV..basi tujilinde..kama alikuwa na watu aliotembea nao..wasiambukize wengine..Kila mtu amchunge mwenzake. Kusema kwamba fulani kafariki kwa Ukimwi siyo kosa jamani..kwanza ni vizuri kusudi watu wawe makini na alikopitia....
Its only through openness and transparency that we can win this battle.
Otherwise juhudi zetu ni kama kutwanga maji kwenye kinu. Yaani na ndugu zetu wote ambao wamepoteza maisha kwa hili gonjwa, bado tunaogopa hata kuutaja hadharani???????? Inasikitisha sana.
RIP Mpakanjia.
Masanja
Tutaushindaje ugonjwa ambao hakuna anaekufa nao? Inabidi tumuige Mandiba alivyofanya alipofiwa na mwanae. Hakujificha nyuma ya numonia, kisukari, whatever bali aliuambia umma kuwa mwanae alikuwa mwathirika. Mpaka tutakapofika mahali pa kutouonea aibu ugonjwa huu, utatumaliza.
RIP marehemu na poleni wafiwa.
Amandla...........
Ukisoma hii thread utagundua kwanini HIV AIDS itatumaliza watanzania/waafrika. YAANI tunavyofanya hivi hatusaidii lolote katika kupambana na huu ugonjwa zaidi ya kufanya stigmatization dhidi ya wale wenye huu ugonjwa..Its not fair kabisa...we might pretend kwamba we aint judgemental kwa kuogopa kuliongelea..lakini tufike mahali tukubali..kwamba HIV is killing our loved ones..than anything!. JAMANI hii vita tutaishinda kweli? Yaani na kampeni zote na pesa zote sijui za akina Global Fund na Bush..bado watu hata kuuongelea huu ugonjwa tunaona taabu? sasa huyu adui tutamshinda vipi? Tuwaige akina Kaunda na Mandela..waliosema kabisa kwamba watoto wao walikufa kwa ajili ya hili gonjwa..na wapo at the fore kupambana na huu ugonjwa. Ni lini tutaamka tuikubali hali halisi?
Ukimwi upo..Thats a reality check and we are dying because of it.......kikubwa ni kujifunza kwamba ukimwi siyo lazima uupate kwenye ngono. Sasa mtu akiongelea ukimwi anaonekana kama mwenye nao alikuwa ni muhuni..kitu ambacho si kweli. Wengine wanaupata kwa kuletewa na wapenzi au wenza wao. Jamani tujifunze kwamba hili gonjwa ni adui wa wote..walioko kwenye ndoa na walio single. Anybody can get it.
Lets be open, frank and genuine if at all we want to attempt to fight this killer disease. Inawezekana hayati Mpakanjia alikuwa na huu ugonjwa..lakini maadam keshatutoka..basi tuangalie alikosea wapi na sisi tusipitie huo mkumbo. Kama Maane alivyosema..tuwe wawazi na tubadilike kitabia. It MIGHT help.
Kinachosikitisha zaidi..hata viongozi wetu na wasomi wanaomanage hiyo miradi ya kupambana na ukimwi ndo hao..hata kuandika sentensi inyohusu huu ugonjwa wanaogopa kwamba watanyoshewa vidole!
In all, mimi sijui ugonjwa uliomuondoa Huyu Mtanzania mwenzetu lakini kama ni HIV..basi tujilinde..kama alikuwa na watu aliotembea nao..wasiambukize wengine..Kila mtu amchunge mwenzake. Kusema kwamba fulani kafariki kwa Ukimwi siyo kosa jamani..kwanza ni vizuri kusudi watu wawe makini na alikopitia....
Its only through openness and transparency that we can win this battle.
Otherwise juhudi zetu ni kama kutwanga maji kwenye kinu. Yaani na ndugu zetu wote ambao wamepoteza maisha kwa hili gonjwa, bado tunaogopa hata kuutaja hadharani???????? Inasikitisha sana.
RIP Mpakanjia.
Masanja
Yeah ni kweli amefariki dunia katika hospitali ya Lugalo wanadai Rimonia ndo imemmaliza.
Poleni sana wafiwa
R.I.P Mpakanjia.
Najua ugonjwa ni siri ya mhusika mwenyewe na Daktari wake, lakini sasa kunapokuwa kuna tetesi kuwa Pneumonia imemuondoa mwenzetu tena jijini Dar inabidi public ipewe mwongozo na tahadhari jinsi ya ku-beat huu ugonjwa kwenye sehemu zenye joto kama DAR.
R.I.P Mpakanjia.
Maane: Be positive, sasa Dr. Nchimbi kaingiaje hapa? You just needed to say R.I.P Med. If you have someting specific btn Dr. Nchimbi and Med family give out as a separate topic. Wanajamii sisi wote ni watu na tuonyeshe ukomavu wetu kwa kuandika vitu vinavyoendana na mada.Ina maana naye ameuga Neumonia kama mkewe Amina??? Poleni ndugu, jamaa na marafiki hasa watch dog wake Dr. Nchimbi aliyekuwa anampatia habari za mkewe Marehemu Amina akiwa Bungeni.
Siku zote duniani tunapita, hata kwa utajiri mkubwa kiasi gani tunao lakini siku moja tutauacha na kuzikwa kwenye udongo usiozidi mita 2.5 ukiachilia wale ambao Mungu amewajalia urefu zaidi. Tujiandae kwa kuishi vizuri kwa kuwa na mahusiano mazuri na kila mtu. R.I.P Med Mpakanjia. Your legacy will remain!!!
R.I.P Mohamed Mpakanjia
Inanisikitisha sana tunavyomnyooshea marehemu kidole wakati vilivyobakia vinatupoint sisi wenyewe. ni kama tunashangilia kwa yeye kufariki kwa UKIMWI kutokana na matendo yake lakini tukumbuke pia hata sisi tunao uwezekano wa kuupata kwa sababu njia ya kuambukizwa ni nyingi. Leo unashangilia, kesho unapata ajali unaongezewa damu ambayo iko infected. Please tunapaswa kumsikitikia na si kushabikia.