Zogwale
JF-Expert Member
- Jul 10, 2008
- 15,295
- 10,957
Hahahaha mkuu nimekupata ndo nipo katika mikakati kujua wapi vikao vya mazishi vinafanyika maana siku hizi vikao vya msiba tunafanyia bar sasa sijajua bar gani si unajua huyu ni mdosi lazima tunywe kwanza tuanza mikakati lakini najua toka jana mapedeshee tayari walisha kutana leo nyumbani kwake sinza kuna nyomi ya ajabu.
Walitangaza viko Kijitonyama ila hawaja-specify kwake au ndugu. Ila predeshee kama huyu nilitegemea iwe home kwake. Hivi alikuwa anaishi wapi?? I hope sometimes alishakuwa Kinondoni!! Mama yake yuko Temeke!!!
Mazishi ni leo makaburi ya KISUTU.