Mohamed Mpakanjia is no more!

Mohamed Mpakanjia is no more!

AISEE:mbona watu mnasita sita kutaja gonjwa lililomuua huyu mpaka njia?/?

NAWAPA DAKIKA SABA MTAJE GONJWA LA SIVYO MI NALITAJA MWENYEWE:

huyu mtu gani bana kila siku anafungaaaaaaa ndoa hata kama ni uhuni huuu wake umezidiii.
Nikitoka hapa nikirudi sitaki kumwona mtu kabaki ,semeni gonjwa

Kwani wewe ndiyo ugonjwa uliomuua Mpakanjia?, makubwa haya! enhe hebu tuambie jina lako nani hasa wewe ugonjwa?
 
AISEE:mbona watu mnasita sita kutaja gonjwa lililomuua huyu mpaka njia?/?

NAWAPA DAKIKA SABA MTAJE GONJWA LA SIVYO MI NALITAJA MWENYEWE:

huyu mtu gani bana kila siku anafungaaaaaaa ndoa hata kama ni uhuni huuu wake umezidiii.
Nikitoka hapa nikirudi sitaki kumwona mtu kabaki ,semeni gonjwa

DAKIKA SABA ZIMEPITA:

HUYU BWANA KAFA KWA UGONJWA WA Ukosefu Wa Kinga Mwilini

GOT proof><NIANIKE vyote ??
 
Safi kabisa. Amina alikuwa anaingia nyumbani kwa Liyumba makazi xxxxx kama nyumbani kwake!! Na huku akiwa ameolewa na Med!!! Haikuwa siri kwani hata kwenye gari walikuwa wanapanda wote wakati wanatoka huku wakivalia nguo almost same colour with luxury Liyumba's cars. Binafsi sikuweza kuamini kama binti yule mdogo umri sawa na Jennifer Liyumba bado haogopi hata wale mabinti wa Liyumba. This was a shame. Liyumba naye anaugulia keko!!!

Ndiyo maana wakati mwingine huwa napata hasira sana na hawa wanajiita celebrities kwa kufanya uovu tuu huku wakifahamu kuwa hawako salama na ni makusudi. After all na Med same same!! Hivyo walikutana vifaru kwa vifaru. Kisa pesa/utajiri ambao source ni questionable na ulimbwende wa kununua dukani. Pengine wakati ule hatukuwa tumepaa taarifa ya dawa za kuongeza hips, makalio, matiti na ku-firm uso na lots of destructive cosmetics.

Artificial life will be summarized by artificial death!!
Kumbe na Amina naye aliondoka kwa ugonjwa uleeeeee!!! Mie nilifikiri alipigwa kipapai na wanasiasa.
 
fidel80 niwakilishe wakati wa mazishi,
namuombea kheri huko aliko.
pia nisaidieni wale mlioko dar, hivi dar siku hizi kuna barid sana? maana pneumonia imempeleka pedeshee!
 
fidel80 niwakilishe wakati wa mazishi,
namuombea kheri huko aliko.
pia nisaidieni wale mlioko dar, hivi dar siku hizi kuna barid sana? maana pneumonia imempeleka pedeshee!

pigia jibu mstari.
 
RIP mpakanjia, tutakuenzi kwa mema yote mazuri, kuna watu hapa naona wameshaanza kumhukumu, tusisahau kuwa mwenye kuhukumu NI MUNGU PEKE YAKE ambaye hukumu zake zina ni adili. huenda alimpa nafasi ya kutubu nani anajua? njia ile ni nyembamba na ni yetu sote, tuwe makini kuwahukumu wanaotutangulia MUNGU asije akazidisha hasira zake juu yetu
 
DAKIKA SABA ZIMEPITA:

HUYU BWANA KAFA KWA UGONJWA WA Ukosefu Wa Kinga Mwilini

GOT proof><NIANIKE vyote ??

Thanks Bata...

Ila tukumbuke kwamba kila nafsi itayaonja mauti!!
 
DAKIKA SABA ZIMEPITA:

HUYU BWANA KAFA KWA UGONJWA WA Ukosefu Wa Kinga Mwilini

GOT proof><NIANIKE vyote ??
GREAT THINKERS>wazee hapa kafa mtu naomba kwanza tutulize munkari na huu msiba,haya yatajadiliwa tu hapo baadaye lakini subra kwanza,we bata hasira zote za kwenda kurudi nini hasa au nawewe alikutafunia?acheni kwanza wanandugu na jamaa wamalize msiba wao then tutaongea haya,sasa hiki kijiwe kitaonekana cha wahuni kwa mambo haya unadhani mtu aende msibani na kueleza yanayoendelea humu ni vipi?mnaipunguzia hadhi hii sehemu pls kama wewe una hasira sana na ugonjwa uliomuua nenda kawaambie nduguze sisi hatuna faida na hizo habari.R.I.P MPAKANJIA
 
Safi kabisa. Amina alikuwa anaingia nyumbani kwa Liyumba makazi xxxxx kama nyumbani kwake!! Na huku akiwa ameolewa na Med!!! Haikuwa siri kwani hata kwenye gari walikuwa wanapanda wote wakati wanatoka huku wakivalia nguo almost same colour with luxury Liyumba's cars. Binafsi sikuweza kuamini kama binti yule mdogo umri sawa na Jennifer Liyumba bado haogopi hata wale mabinti wa Liyumba. This was a shame. Liyumba naye anaugulia keko!!!

Ndiyo maana wakati mwingine huwa napata hasira sana na hawa wanajiita celebrities kwa kufanya uovu tuu huku wakifahamu kuwa hawako salama na ni makusudi. After all na Med same same!! Hivyo walikutana vifaru kwa vifaru. Kisa pesa/utajiri ambao source ni questionable na ulimbwende wa kununua dukani. Pengine wakati ule hatukuwa tumepaa taarifa ya dawa za kuongeza hips, makalio, matiti na ku-firm uso na lots of destructive cosmetics.

Artificial life will be summarized by artificial death!!


kama kweli lisemwalo lipo kama waswahili wasemavyo basi hali ni mbaya...maana walioshiriki na mkewe ni wengi akiwemo muungwana,mangi etc...jumlisha na ile line ya mzee wa red [lyumba]..basi ..kama kweli lisemwalo lipo na mijini hapatoshi!!!
 
Mungu naye anasoma humu??
Maana naona comment addressed to Mungu kuwa amsamehe
 
kama kweli lisemwalo lipo kama waswahili wasemavyo basi hali ni mbaya...maana walioshiriki na mkewe ni wengi akiwemo muungwana,mangi etc...jumlisha na ile line ya mzee wa red [lyumba]..basi ..kama kweli lisemwalo lipo na mijini hapatoshi!!!
labda walikuwa wanatumia kinga
 
kama kweli lisemwalo lipo kama waswahili wasemavyo basi hali ni mbaya...maana walioshiriki na mkewe ni wengi akiwemo muungwana,mangi etc...jumlisha na ile line ya mzee wa red [lyumba]..basi ..kama kweli lisemwalo lipo na mijini hapatoshi!!!

Mangi? good grief! what is with that geriatric? that's craddle snatching!
 
Philemon Mikael said:
kama kweli lisemwalo lipo kama waswahili wasemavyo basi hali ni mbaya...maana walioshiriki na mkewe ni wengi akiwemo muungwana,mangi etc...jumlisha na ile line ya mzee wa red [lyumba]..basi ..kama kweli lisemwalo lipo na mijini hapatoshi!!!

Mangi? good grief! what is with that geriatric? that's craddle snatching!

Mkuu Nkamagi mbona washangaa??
 
kama kweli lisemwalo lipo kama waswahili wasemavyo basi hali ni mbaya...maana walioshiriki na mkewe ni wengi akiwemo muungwana,mangi etc...jumlisha na ile line ya mzee wa red [lyumba]..basi ..kama kweli lisemwalo lipo na mijini hapatoshi!!!
Sisemi ili kuwapa watu matumaini lakini ukweli unabaki kuwa wengi waliotumia kinga wako katika nafasi ya kuwa salama. Pili, hata kama walikwenda pekupeku bado wana nafasi ndogo kuwa hawakuubeba. Lakini yatupasa tuwe tuzichunguze njia zetu na kuwa waaminifu. Kwani usipopata kwa huyu, basi utabeba kwa yule!
 
R.I.P Meddy......Mkewe alikuwa anapenda sana kumuita Meddy..Jamani tusimshambulie marehemu kiasi hiki maana hai saidii kwa lolote,kama amekufa kwa UKIMWI au malaria N'K tumuashie Mungu hayo,Kuna mtu hapa ambae anajua ata kufa kwa ugonjwa gani? kama hakuna basi sioni sababu ya kumsema mwenzio...
 
Ukisoma hii thread utagundua kwanini HIV AIDS itatumaliza watanzania/waafrika. YAANI tunavyofanya hivi hatusaidii lolote katika kupambana na huu ugonjwa zaidi ya kufanya stigmatization dhidi ya wale wenye huu ugonjwa..Its not fair kabisa...we might pretend kwamba we aint judgemental kwa kuogopa kuliongelea..lakini tufike mahali tukubali..kwamba HIV is killing our loved ones..than anything!. JAMANI hii vita tutaishinda kweli? Yaani na kampeni zote na pesa zote sijui za akina Global Fund na Bush..bado watu hata kuuongelea huu ugonjwa tunaona taabu? sasa huyu adui tutamshinda vipi? Tuwaige akina Kaunda na Mandela..waliosema kabisa kwamba watoto wao walikufa kwa ajili ya hili gonjwa..na wapo at the fore kupambana na huu ugonjwa. Ni lini tutaamka tuikubali hali halisi?

Ukimwi upo..Thats a reality check and we are dying because of it.......kikubwa ni kujifunza kwamba ukimwi siyo lazima uupate kwenye ngono. Sasa mtu akiongelea ukimwi anaonekana kama mwenye nao alikuwa ni muhuni..kitu ambacho si kweli. Wengine wanaupata kwa kuletewa na wapenzi au wenza wao. Jamani tujifunze kwamba hili gonjwa ni adui wa wote..walioko kwenye ndoa na walio single. Anybody can get it.

Lets be open, frank and genuine if at all we want to attempt to fight this killer disease. Inawezekana hayati Mpakanjia alikuwa na huu ugonjwa..lakini maadam keshatutoka..basi tuangalie alikosea wapi na sisi tusipitie huo mkumbo. Kama Maane alivyosema..tuwe wawazi na tubadilike kitabia. It MIGHT help.

Kinachosikitisha zaidi..hata viongozi wetu na wasomi wanaomanage hiyo miradi ya kupambana na ukimwi ndo hao..hata kuandika sentensi inyohusu huu ugonjwa wanaogopa kwamba watanyoshewa vidole!

In all, mimi sijui ugonjwa uliomuondoa Huyu Mtanzania mwenzetu lakini kama ni HIV..basi tujilinde..kama alikuwa na watu aliotembea nao..wasiambukize wengine..Kila mtu amchunge mwenzake. Kusema kwamba fulani kafariki kwa Ukimwi siyo kosa jamani..kwanza ni vizuri kusudi watu wawe makini na alikopitia....

Its only through openness and transparency that we can win this battle.
Otherwise juhudi zetu ni kama kutwanga maji kwenye kinu. Yaani na ndugu zetu wote ambao wamepoteza maisha kwa hili gonjwa, bado tunaogopa hata kuutaja hadharani???????? Inasikitisha sana.

RIP Mpakanjia.

Masanja
 
Ukisoma hii thread utagundua kwanini HIV AIDS itatumaliza watanzania/waafrika. YAANI tunavyofanya hivi hatusaidii lolote katika kupambana na huu ugonjwa zaidi ya kufanya stigmatization dhidi ya wale wenye huu ugonjwa..Its not fair kabisa...we might pretend kwamba we aint judgemental kwa kuogopa kuliongelea..lakini tufike mahali tukubali..kwamba HIV is killing our loved ones..than anything!. JAMANI hii vita tutaishinda kweli? Yaani na kampeni zote na pesa zote sijui za akina Global Fund na Bush..bado watu hata kuuongelea huu ugonjwa tunaona taabu? sasa huyu adui tutamshinda vipi? Tuwaige akina Kaunda na Mandela..waliosema kabisa kwamba watoto wao walikufa kwa ajili ya hili gonjwa..na wapo at the fore kupambana na huu ugonjwa. Ni lini tutaamka tuikubali hali halisi?

Ukimwi upo..Thats a reality check and we are dying because of it.......kikubwa ni kujifunza kwamba ukimwi siyo lazima uupate kwenye ngono. Sasa mtu akiongelea ukimwi anaonekana kama mwenye nao alikuwa ni muhuni..kitu ambacho si kweli. Wengine wanaupata kwa kuletewa na wapenzi au wenza wao. Jamani tujifunze kwamba hili gonjwa ni adui wa wote..walioko kwenye ndoa na walio single. Anybody can get it.

Lets be open, frank and genuine if at all we want to attempt to fight this killer disease. Inawezekana hayati Mpakanjia alikuwa na huu ugonjwa..lakini maadam keshatutoka..basi tuangalie alikosea wapi na sisi tusipitie huo mkumbo. Kama Maane alivyosema..tuwe wawazi na tubadilike kitabia. It MIGHT help.

Kinachosikitisha zaidi..hata viongozi wetu na wasomi wanaomanage hiyo miradi ya kupambana na ukimwi ndo hao..hata kuandika sentensi inyohusu huu ugonjwa wanaogopa kwamba watanyoshewa vidole!

In all, mimi sijui ugonjwa uliomuondoa Huyu Mtanzania mwenzetu lakini kama ni HIV..basi tujilinde..kama alikuwa na watu aliotembea nao..wasiambukize wengine..Kila mtu amchunge mwenzake. Kusema kwamba fulani kafariki kwa Ukimwi siyo kosa jamani..kwanza ni vizuri kusudi watu wawe makini na alikopitia....

Its only through openness and transparency that we can win this battle.
Otherwise juhudi zetu ni kama kutwanga maji kwenye kinu. Yaani na ndugu zetu wote ambao wamepoteza maisha kwa hili gonjwa, bado tunaogopa hata kuutaja hadharani???????? Inasikitisha sana.

RIP Mpakanjia.

Masanja
unaaakili san, ubarikiwe. niko safarini hii habari ni mbaya kuisikia, lakini umeongea ukweli mtupu....RESPECT
 
R.I.P Meddy......Mkewe alikuwa anapenda sana kumuita Meddy..Jamani tusimshambulie marehemu kiasi hiki maana hai saidii kwa lolote,kama amekufa kwa UKIMWI au malaria N'K tumuashie Mungu hayo,Kuna mtu hapa ambae anajua ata kufa kwa ugonjwa gani? kama hakuna basi sioni sababu ya kumsema mwenzio...

Mwenyezi mungu amesema kifo ni mawaidha tosha ya kumfanya mwanadamu arejee maisha katika misingi ya mwenyezimungu.

Kama mtu amekufa kwa ukimwi na kujadiliwa chain zote alizopitia huku tukimuombea mungu amuweke mahali pema, basi nayo ni mawaidha tosha ya kuwafanya watu wabadili tabia hasa katika masuala ya ngono, kwani gonjwa hili halina masikini, tajiri, kiongozi, mtu maarufu. Yeyote yule atakayejisahau basi ajue yupo vulnerable. Sina uhakika kuwa kifo cha huyu bwana kimetokana na ugonjwa huo kwani ni vipimo vya daktari tu vyenye uwezo wa kuthibitisha hayo, ila kutokana na kifo hiki mjadala wa ukimwi unaweza ingia masikioni mwetu.


 
Safi kabisa. Amina alikuwa anaingia nyumbani kwa Liyumba makazi xxxxx kama nyumbani kwake!! Na huku akiwa ameolewa na Med!!! Haikuwa siri kwani hata kwenye gari walikuwa wanapanda wote wakati wanatoka huku wakivalia nguo almost same colour with luxury Liyumba's cars. Binafsi sikuweza kuamini kama binti yule mdogo umri sawa na Jennifer Liyumba bado haogopi hata wale mabinti wa Liyumba. This was a shame. Liyumba naye anaugulia keko!!!

Ndiyo maana wakati mwingine huwa napata hasira sana na hawa wanajiita celebrities kwa kufanya uovu tuu huku wakifahamu kuwa hawako salama na ni makusudi. After all na Med same same!! Hivyo walikutana vifaru kwa vifaru. Kisa pesa/utajiri ambao source ni questionable na ulimbwende wa kununua dukani. Pengine wakati ule hatukuwa tumepaa taarifa ya dawa za kuongeza hips, makalio, matiti na ku-firm uso na lots of destructive cosmetics.

Artificial life will be summarized by artificial death!!

Mkuu maane ni msiba huu....... Hebu tuwapeni wafiwa pole kisha huko baadae ndio tuangalie hivi vibanzi walivyonavyo wakati yawezekana wale wale tunaosema tuna maboriti. Poleni wafiwa
 
Back
Top Bottom