Josh Michael
JF-Expert Member
- Jun 12, 2009
- 2,523
- 77
Duh Jamani Mbona watu wazuri ndio wanafariki tu.. na watu wengine wanapeta. Yote ni ya Mungu
Wanasema na jana aligunga ndoa! Kama ni kweli Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
Wanasema na jana aligunga ndoa! Kama ni kweli Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani
unamaana alifunga?
Yeah ni kweli amefariki dunia katika hospitali ya Lugalo wanadai Rimonia ndo imemmaliza.
Poleni sana wafiwa
R.I.P Mpakanjia.
Nahisi unataka kuandika Pneumonia kaka, au aina ya kichomi?
Pneumonia jamani inatokana na baridi kama sikiosei Dr munisaidie,sasa pneumonia dar wapi na Wapi?au ndo Dr wameshaguess bila kujua nini kimemuua?
Mkuu sijakuelewa hapo kwenye red alifunga/aligonga/alimega?
Maana kule kalazwa toka juzi nasikia.
Basi list ni ndefu sana.. mpaka jamaa nae yumo..duh kazi sana...RIP MpakanjiaHuyu alikuwa mgonjwa muda mrefu! RIP
Pneumonia jamani inatokana na baridi kama sikiosei Dr munisaidie,sasa pneumonia dar wapi na Wapi?au ndo Dr wameshaguess bila kujua nini kimemuua?
Basi list ni ndefu sana.. mpaka jamaa nae yumo..duh kazi sana...RIP Mpakanjia
Ndugu yangu wacha tu....msiba mkubwa huu....hana tofauti na mambo ya Liyumba!
Wanasema na jana alifunga ndoa! Kama ni kweli Mungu aiweke roho yake mahali pema peponi na Mwezi Mtukufu wa Ramadhani