Mohamed Mpakanjia is no more!

kwa niaba ya watu wengine,kujiepusha na huu mstakabali,tungeomba hii CHAIN ya mpakanjia ianikwe jamvini
 
Ukisoma hii thread utagundua kwanini HIV AIDS itatumaliza watanzania/waafrika. YAANI tunavyofanya hivi hatusaidii lolote katika kupambana na huu ugonjwa zaidi ya kufanya stigmatization dhidi ya wale wenye huu ugonjwa..Its not fair kabisa...we might pretend kwamba we aint judgemental kwa kuogopa kuliongelea..lakini tufike mahali tukubali..kwamba HIV is killing our loved ones..than anything!. JAMANI hii vita tutaishinda kweli? Yaani na kampeni zote na pesa zote sijui za akina Global Fund na Bush..bado watu hata kuuongelea huu ugonjwa tunaona taabu? sasa huyu adui tutamshinda vipi? Tuwaige akina Kaunda na Mandela..waliosema kabisa kwamba watoto wao walikufa kwa ajili ya hili gonjwa..na wapo at the fore kupambana na huu ugonjwa. Ni lini tutaamka tuikubali hali halisi?

Ukimwi upo..Thats a reality check and we are dying because of it.......kikubwa ni kujifunza kwamba ukimwi siyo lazima uupate kwenye ngono. Sasa mtu akiongelea ukimwi anaonekana kama mwenye nao alikuwa ni muhuni..kitu ambacho si kweli. Wengine wanaupata kwa kuletewa na wapenzi au wenza wao. Jamani tujifunze kwamba hili gonjwa ni adui wa wote..walioko kwenye ndoa na walio single. Anybody can get it.

Lets be open, frank and genuine if at all we want to attempt to fight this killer disease. Inawezekana hayati Mpakanjia alikuwa na huu ugonjwa..lakini maadam keshatutoka..basi tuangalie alikosea wapi na sisi tusipitie huo mkumbo. Kama Maane alivyosema..tuwe wawazi na tubadilike kitabia. It MIGHT help.

Kinachosikitisha zaidi..hata viongozi wetu na wasomi wanaomanage hiyo miradi ya kupambana na ukimwi ndo hao..hata kuandika sentensi inyohusu huu ugonjwa wanaogopa kwamba watanyoshewa vidole!

In all, mimi sijui ugonjwa uliomuondoa Huyu Mtanzania mwenzetu lakini kama ni HIV..basi tujilinde..kama alikuwa na watu aliotembea nao..wasiambukize wengine..Kila mtu amchunge mwenzake. Kusema kwamba fulani kafariki kwa Ukimwi siyo kosa jamani..kwanza ni vizuri kusudi watu wawe makini na alikopitia....

Its only through openness and transparency that we can win this battle.
Otherwise juhudi zetu ni kama kutwanga maji kwenye kinu. Yaani na ndugu zetu wote ambao wamepoteza maisha kwa hili gonjwa, bado tunaogopa hata kuutaja hadharani???????? Inasikitisha sana.

RIP Mpakanjia.

Masanja

Tutaushindaje ugonjwa ambao hakuna anaekufa nao? Inabidi tumuige Mandiba alivyofanya alipofiwa na mwanae. Hakujificha nyuma ya numonia, kisukari, whatever bali aliuambia umma kuwa mwanae alikuwa mwathirika. Mpaka tutakapofika mahali pa kutouonea aibu ugonjwa huu, utatumaliza.

RIP marehemu na poleni wafiwa.

Amandla...........
 
Tutaushindaje ugonjwa ambao hakuna anaekufa nao? Inabidi tumuige Mandiba alivyofanya alipofiwa na mwanae. Hakujificha nyuma ya numonia, kisukari, whatever bali aliuambia umma kuwa mwanae alikuwa mwathirika. Mpaka tutakapofika mahali pa kutouonea aibu ugonjwa huu, utatumaliza.

RIP marehemu na poleni wafiwa.

Amandla...........

FM:

Numonia kitu gani tena au ndio avereji yenyewe? Anyway, kusema kuwa ugonjwa fulani ndio sababu ya kufa kwa jamaa, hakuna ubaya wowote kwa sababu huko sio kutoa hukumu.
 
Ukisoma hii thread utagundua kwanini HIV AIDS itatumaliza watanzania/waafrika. YAANI tunavyofanya hivi hatusaidii lolote katika kupambana na huu ugonjwa zaidi ya kufanya stigmatization dhidi ya wale wenye huu ugonjwa..Its not fair kabisa...we might pretend kwamba we aint judgemental kwa kuogopa kuliongelea..lakini tufike mahali tukubali..kwamba HIV is killing our loved ones..than anything!. JAMANI hii vita tutaishinda kweli? Yaani na kampeni zote na pesa zote sijui za akina Global Fund na Bush..bado watu hata kuuongelea huu ugonjwa tunaona taabu? sasa huyu adui tutamshinda vipi? Tuwaige akina Kaunda na Mandela..waliosema kabisa kwamba watoto wao walikufa kwa ajili ya hili gonjwa..na wapo at the fore kupambana na huu ugonjwa. Ni lini tutaamka tuikubali hali halisi?

Ukimwi upo..Thats a reality check and we are dying because of it.......kikubwa ni kujifunza kwamba ukimwi siyo lazima uupate kwenye ngono. Sasa mtu akiongelea ukimwi anaonekana kama mwenye nao alikuwa ni muhuni..kitu ambacho si kweli. Wengine wanaupata kwa kuletewa na wapenzi au wenza wao. Jamani tujifunze kwamba hili gonjwa ni adui wa wote..walioko kwenye ndoa na walio single. Anybody can get it.

Lets be open, frank and genuine if at all we want to attempt to fight this killer disease. Inawezekana hayati Mpakanjia alikuwa na huu ugonjwa..lakini maadam keshatutoka..basi tuangalie alikosea wapi na sisi tusipitie huo mkumbo. Kama Maane alivyosema..tuwe wawazi na tubadilike kitabia. It MIGHT help.

Kinachosikitisha zaidi..hata viongozi wetu na wasomi wanaomanage hiyo miradi ya kupambana na ukimwi ndo hao..hata kuandika sentensi inyohusu huu ugonjwa wanaogopa kwamba watanyoshewa vidole!

In all, mimi sijui ugonjwa uliomuondoa Huyu Mtanzania mwenzetu lakini kama ni HIV..basi tujilinde..kama alikuwa na watu aliotembea nao..wasiambukize wengine..Kila mtu amchunge mwenzake. Kusema kwamba fulani kafariki kwa Ukimwi siyo kosa jamani..kwanza ni vizuri kusudi watu wawe makini na alikopitia....

Its only through openness and transparency that we can win this battle.
Otherwise juhudi zetu ni kama kutwanga maji kwenye kinu. Yaani na ndugu zetu wote ambao wamepoteza maisha kwa hili gonjwa, bado tunaogopa hata kuutaja hadharani???????? Inasikitisha sana.

RIP Mpakanjia.

Masanja

Mkuu Masanja,

Tuko pamoja kwa maoni yako mkuu. Watanzania tufike mahali tuseme wazi ni nini kimesababisha kifo cha mtu kuliko hii biashara ya kuficha ficha. Wenzetu wa Uganda ambao hapo awali ugonjwa wa ukimwi uliwashambulia sana, walikuja na sera ya kusema wazi ni kipi kimemuua ndugu na hivyo watu wakawa wanachukua tahadhari ili wasivamie wajane au waume waliofiwa na wake zao. Wakati huo huo mtu alikuwa hawezi kuhama mtaa mmoja kwenda mtaa mwingine bila barua ya serikali kwani wengine akifiwa na mke Temeke kwa Ukimwi anahamia Tandale na huko anaenda kusambaza. Kwa nini na sisi tusiige mtindo huo kama kweli tunataka kukomesha maambukizi ya makusudi ya HIV?

Simjui Mpakanjia kwa karibu na hivyo siwezi kusema amekufa kwa ukimwi lakini yaliyosemwa na waliotangulia na waliokuwa wanamjua kwa karibu yeye na mke wake marehemu Amina wanayo mengi ya kutufumbua macho na kutufunza.

tiba
 
انّا للہ و انّا الیہ راجعون
Inna lillahi wa inna ilayhi raji'un
Surely we belong to Allah and to Him shall we return
Hakika sisi ni wa Mwenyezi Mungu, na kwake Yeye hakika tutarejea.


Nasikia jana alikuwa ameoa...!
 
Khakika ya Binadamu hamna kitu,na Mmungu ametwambia kuwa Kila nafsi itaonya mauti .
 
Niliona kwenye vichwa vya habari vya nipashe ya kesho sikuamia nikafungua JF sasa ndiyo naamini daaaaah..hivi alisha acha biashara za madawa...?
 
Najua ugonjwa ni siri ya mhusika mwenyewe na Daktari wake, lakini sasa kunapokuwa kuna tetesi kuwa Pneumonia imemuondoa mwenzetu tena jijini Dar inabidi public ipewe mwongozo na tahadhari jinsi ya ku-beat huu ugonjwa kwenye sehemu zenye joto kama DAR.

R.I.P Mpakanjia.
 
Najua ugonjwa ni siri ya mhusika mwenyewe na Daktari wake, lakini sasa kunapokuwa kuna tetesi kuwa Pneumonia imemuondoa mwenzetu tena jijini Dar inabidi public ipewe mwongozo na tahadhari jinsi ya ku-beat huu ugonjwa kwenye sehemu zenye joto kama DAR.

R.I.P Mpakanjia.

Sehemu zenye joto ugonjwa huu unaweza kukupata ikiwa una Upungufu wa KInga MWIlini.
 
Ina maana naye ameuga Neumonia kama mkewe Amina??? Poleni ndugu, jamaa na marafiki hasa watch dog wake Dr. Nchimbi aliyekuwa anampatia habari za mkewe Marehemu Amina akiwa Bungeni.

Siku zote duniani tunapita, hata kwa utajiri mkubwa kiasi gani tunao lakini siku moja tutauacha na kuzikwa kwenye udongo usiozidi mita 2.5 ukiachilia wale ambao Mungu amewajalia urefu zaidi. Tujiandae kwa kuishi vizuri kwa kuwa na mahusiano mazuri na kila mtu. R.I.P Med Mpakanjia. Your legacy will remain!!!
Maane: Be positive, sasa Dr. Nchimbi kaingiaje hapa? You just needed to say R.I.P Med. If you have someting specific btn Dr. Nchimbi and Med family give out as a separate topic. Wanajamii sisi wote ni watu na tuonyeshe ukomavu wetu kwa kuandika vitu vinavyoendana na mada.
Mungu uilaze Mahali Pema Peponi Roho ya Mohamed. Mungu Ametoa na Mungu Ametwaa, Jina la Mungu lihimidiwe.
 
Kupata tender na kusupply haiuwi shirika ni tabia ya waendeshaji ndiyo inaua shirika. Do you know kuwa RITES wanakodishia mabehewa n.k. TRL kwa bei ya karibia TZS282million? Na hali Dr. Shukuru anasema is not aware????
 
R.I.P Mohamed Mpakanjia

Inanisikitisha sana tunavyomnyooshea marehemu kidole wakati vilivyobakia vinatupoint sisi wenyewe. ni kama tunashangilia kwa yeye kufariki kwa UKIMWI kutokana na matendo yake lakini tukumbuke pia hata sisi tunao uwezekano wa kuupata kwa sababu njia ya kuambukizwa ni nyingi. Leo unashangilia, kesho unapata ajali unaongezewa damu ambayo iko infected. Please tunapaswa kumsikitikia na si kushabikia.
 
R.I.P Mohamed Mpakanjia

Inanisikitisha sana tunavyomnyooshea marehemu kidole wakati vilivyobakia vinatupoint sisi wenyewe. ni kama tunashangilia kwa yeye kufariki kwa UKIMWI kutokana na matendo yake lakini tukumbuke pia hata sisi tunao uwezekano wa kuupata kwa sababu njia ya kuambukizwa ni nyingi. Leo unashangilia, kesho unapata ajali unaongezewa damu ambayo iko infected. Please tunapaswa kumsikitikia na si kushabikia.

MJ1;

Mimi nadhani umekuwa sensitive sana! ukweli ni kwamba lazima tuuzungumzie ukimwi na kuweka kila kitu hadharani kuwaokoa tunaowapenda. kama unakumbuka vizuri, tangu amina afe pamekuwa na mlolongo wa machapisho kwenye magazeti kuhusu mpakanjia na baadhi ya warembo wa mjini

that chain is long and a few of them wameshakuwa exposed. na hata ukisoma humu kwenye hii thread, it all goes back to Liyumba, sasa hebu fikiria ni watanzania wangapi walikuwa wanajua kwamba liyumba ni umeme live?

Kuna wakati hata rais wetu alirefer issue ya magari mekundu, lakini tulikaa kimya, tukampoteza amina, tukakaa kimya na kupotosha jamii ati kauawa, sasa jamaa naye amekwenda... vipi watu wabaki kimya? kesho ukianza kuona picha za ndoa kazi ya wale walioachwa na meddy na ukakuta mtu wako wa karibu, je utakaa kimya??

Its a high time that we stand up and give each other early warnings ili kusaidia tunaowapenda.

That being said, ni vizuri kupima afya na kujua status, iwapo uko swafi then jitahidi kujitunza na iwapo uko positive, then see medical advice. What if Meddy was negative?

Tanzania bila ukimwi, inawezekana

RIP Meddy
 
Last edited:
Tusihukumu kwani hatujui nasi tutakufaje. Muhimu kama unahisi jamaa alikuwa anaishi maisha ambayo hayapendezi basi jifunze kwake na ubadilike wewe ili uwasaidie watu wanaokuzunguka.

Alale pema Meddy
 
Back
Top Bottom