Yesu Anakuja
JF-Expert Member
- Apr 10, 2019
- 9,473
- 19,268
sio bara, bali viongozi wa bara, nao wanang'ang'ania kwa kuogopa, wanahofu hata ya kujadili. ila kama wangekusanya maoni ya wengi, ungeshangaa wananchi ambacho wangekisema.Kiuhalisia bara ndio imeng'ang'ania mungano sana kuliko wazanzibar, kumbuka hata Nyerere ndie alieenda kumbebeleza Mzanzibar tuwe na muungano, ilibidi kumpa vitu vitamu tamu kama hivi viavyolalamikiwa ili muungano uwepo.