macho_mdiliko
JF-Expert Member
- Mar 10, 2008
- 21,920
- 39,847
Udhaifu uko kwa mwanamke wako. Mwanamke yeyote anayejitambua hawezi kuwa approached mpaka ikakera bila yeye kutaka. Najua ni kweli wanawake wengi hasa wazuri huwa wana-attract sana ''maombi'' kwa wanaume lakini mwanamke yeyote mwenye kujielewa kama hataki ni rahisi sana ku-react kwa namna ambayo itamfanya mwanaume akomee hapo hapo anapoanza. Ila kama ni hawa wanawake akina ''mbona leo sijasemeshwa nimeamka na mkosi gani'', kama inavyoonekana wa kwako yuko kwenye hilo kundi, watafanya kitu ambacho mwanaume atapata moyo wa kuendeleza mapambano.Yaani hakuna Kitu Mwanamume wa Mkoani Mara hakipendi kama Mwanamke wake Mweupe Kutongozwa hovyo Mitaani.