Omuzaile
Member
- Jan 23, 2019
- 34
- 56
Ulipiga teke debe la dhahabu now ungekuwa US unakula maisha, kwanza kutongozwa na muhaya ni bahati sana, maana sisi hatutongozagi waafrica sisi ni wazungu tuAtakua ishengoma huyo wanaume wa muleba wana matatizo sana, Juzi nilikutana na Kyaruzi ananilazimisha nimpe namba mbele za watu nilijiskia fedheha mno.
Waha nao wana tabia hizo hizo sijui wakoje.