Mlipuko watokea Darajani Zanzibar. Mmoja auawa

Mlipuko watokea Darajani Zanzibar. Mmoja auawa

Status
Not open for further replies.
hivi ikitokea muungano ukavunjika, usalama wa kidini baina ya waislamu na wakristo utakuwaje?

najua tu kwa hypothesis, hili tukio litahisiwa kuhusiana na mauaji ya viongozi wa kikristo na uchomaji wa makanisa.

Mkuu uwe unasoma habari vizuri kabla hujatoa maoni yako. Mleta hoja amesema mlengwa ni Sheikh anayepinga misimamo mikali na kutukana viongozi.
 
Vijana wa kiislamu wenye tabia hizi ovu Mtume swallah allah alaih wasalam kawaita wapumbavu wa akili.

Mkuu CHAMVIGA,

Hizi khabar yalazim uzijue kiundani na kuzifuatiza kabla ya kutoa comments kama hizi penye public forum/s!?

Hata hivyo umesomeka na tuko pamoja!

Ahsanta sana.
 
MLIPUKO Z'BAR: Vyanzo vyasema 6 waliumia kwenye mlipuko Darajani Ijumaa usiku unaosemekana kumlenga K. Mafuta Khasim anayehubiri amani, mshikamano kwa Waislamu.
 
Mambo ya Nairobi na Mombasa yanaanza kuhamia kwetu taratibu, sisi na mabomu ya kurusha wapi na wapi?
 
Nafikir polis wmeshindwa kuthubit masuala haya ya mabomu.

Wanasuburi hadi taarifa za kiinterejisia zipatikane ndo wachukue hatua wkt huo wanachi tumeshalipuliwa na kufa.

Wako busy na maandamano ya wanasiasa
 
Tayari wanaonekana wanafiki na wakipewa ulinzi watazidi kujiridhisha kuwa hawa Masheikh wa aina hii wanatumiwa na makafiri; watasema "ushahidi gani mnaoutaka wakati mnaona wenyewe watu wenyewe wanapewa ulinzi na makafiri"

Nionavyo mimi njia bora ni kuendelea na daawah kama kawaida iwe kama vile hakuna kilichotokea! atakaeuliwa atakayejeruhiwa, atakayepigwa itakuwa fii sabiyl lllaah inshaallah lakini mwisho wa yote Waislamu wataelewa ukweli na daawah ya haki na Uislamu sahihi utasimama nchini.[/QUOTE
Haki itasimama inshaallah hata kama watafanikiwa kumuua sheikh kassim lakini tayari vijana wameanza kupata ufahamu wa da'wah yake.
 
mkuu ni kweli usemayo lakini laiti wangejaaliwa kumsikia kassim mafuta wale wenye jazba na vurgu za kidini labda wangetulia kwa kuwa ni mmoja wa masheikh wachache hapa Afrika mashariki wanaouelezea uislam katika sura yake halisi, kinyume na wengi wanaohamasisha watu kufanya machafuko.
mwenyeezi mungu amnusuru yeye pamoja na wote waliosimama katika haki inshaallah.

hata nimeshapata kumsikia ni mtu mwenye kupinga fujo.
na katika hili magaidi wa uamsho watakuwa walikuwa wanataka kummaliza
 
Uislam ni janga la dunia
Hapana mkuu, kama una bifu na jirani yako muislam muite muelewane. Janga hapa ni CCM wanaotaka kutugawa kwa misingi ya dini,ukanda na ukabila. CCM ni janga la kitaifa,hawa jamaa ni manyani. Wako tayari hata kuua mtu wao ili wasingizie wapinzani.
 
Ukitengeneza kiota ndege watatua tu... huu ni wakati wa kutotoa...

Unamaanisha nini?



Anamaanisha kwamba jipu halifungwi POP bali hutumbuliwa. Kama hata hapo hujaelewa ni kwamba mafunzo ya kigaidi yaliandaliwa kudhuru Wakristo lakini ndani ya waislam kuna binadamu wema wamekuwa wakipinga na hayo ndiyo malipo wanayolipwa, Mungu awasamehe dhambi zao na azipokee Roho za watetezi hao wa amani katika nchi hii, naomba hayo kwa jina la Yesu Kristo, Amen.
 
Katika waislamu wa msimamo mkali kama Uamsho lazima wawe wamehusika..
Kwa ushahid zaidi ingia FB kwenye page ya uamsho ijulikanayo kama

" Jumuiya Ya Uamsho na
Mihadhara Ya Kiislamu
Zanzibar "

Utakutana na post waliyotuma tarehe 28/4/2014 yenye kuonyesha negative attitude dhidi ya huyo sheikh na msimamo wake wa kupinga JIHAD.
Kwa kifupi ni shehe aliyekuwa hakubariki na wenye mkali wa kiislamu.
 
hivi ikitokea muungano ukavunjika, usalama wa kidini baina ya waislamu na wakristo utakuwaje?

najua tu kwa hypothesis, hili tukio litahisiwa kuhusiana na mauaji ya viongozi wa kikristo na uchomaji wa makanisa.

Ina maana nchi ambazo hazina muungano hakuna amani kati ya wakristo na waislamu? Na kama zipo unazishauri ziungane na nchi gani? Zitaje, sio unaweka kauli mbiu ya chama chako ktk mambo ya umma hapa
 
Muungano ukivunjika Zanzibar itavamiwa na magaidi na kuifanya ni Terrorists HQ, ndiyo maana sisi wa huku bara kamwe hatuna ndoto kuvunja muungano huo.
 
Anamaanisha kwamba jipu halifungwi POP bali hutumbuliwa. Kama hata hapo hujaelewa ni kwamba mafunzo ya kigaidi yaliandaliwa kudhuru Wakristo lakini ndani ya waislam kuna binadamu wema wamekuwa wakipinga na hayo ndiyo malipo wanayolipwa, Mungu awasamehe dhambi zao na azipokee Roho za watetezi hao wa amani katika nchi hii, naomba hayo kwa jina la Yesu Kristo, Amen.

mkuu umemfafanulia vyema sana
 
Muungano bado upo, sarakasi; ukivunjika itakuwaje? Na bado. Waumini wa muungano tunasema utadumu tu ili kuwalinda ndugu zetu wazanzibari wasio na hatia. Kina jusa ni wa kupuuzwa.
Muungano Upo tunapigwa mabomu risasi, uchaguzi kuchukuliwa,kuekewa rais kibaraka wa dodoma, nadhani ukivunjika Haya yote yataisha,ule mfumo wa kuingilia na kutoka zanzibar kwa passport urudishwe,saa hivi majambazi wote na mamafia wa ccm na wale walipewa mafunzo kanisani na lukuvi wako zanzibar ili kuhakikisha kuwa zanzibar inadhibitiwa,na Haya yote ni kuichafua zanzibar ili kuonekana kuwa tuna vita vya kidini,Mbona Haya hayakuwapo kabla mfumo wa vyama vingi?

Nadhiri kwamba ccm ni maadui wa upinZani, ccm ni ma juish,
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom