Mlipuko watokea Darajani Zanzibar. Mmoja auawa

Mlipuko watokea Darajani Zanzibar. Mmoja auawa

Status
Not open for further replies.
Al Shabab? Boko Haram? Al Qaeda, Uamsho?

Sijasikia yote hayo, kulikoni?
 
Kuna mengi nyuma ya pazia!
Kazenji kalivyo kadogo na hilo tukio limetokea katikati ya mji sitaki kuamini kama hako kagari kasiko na nö za usajili katashindwa kukamatwa na wahalifu kuchukuliwa sheria!

Poor Tanzania!
 
Kuna awamu tatu za uongozi zimeshapita lakini awamu hii ya sasa ina matukio ya ajabu sijawahi ona sijui kwa nini.
 
Nafikir polis wmeshindwa kuthubit masuala haya ya mabomu.

Wanasuburi hadi taarifa za kiinterejisia zipatikane ndo wachukue hatua wkt huo wanachi tumeshalipuliwa na kufa.

Huo umilikiji wa mabomu peke yake unanitia hofu! Hawa CCM wanacheza mchezo mbaya!
 
Alshabab! Boko Haram! Al Qaeda! Uamsho!

Mbona sisikii yote hayo, kulikoni?
 
Kuna awamu tatu za uongozi zimeshapita lakini awamu hii ya sasa ina matukio ya ajabu sijawahi ona sijui kwa nini.

Nna uhakika haukuwepo tarehe 20, tarehe maarufu sana kwetu wenye umri mkubwa. Nyerere ilipombidi atoroshwe na baibui. Basi hata hujasikia?
 
Kama wenzie wanamhisi kuwa kawasaliti kwa kupokea fedha kutoka kwa wayahudi ndio maana msimamo wake laini ni dhahili kuwa hao hao wenzie ndio wanaotaka kumuondoa na haiwezekani wakawa watu wengine. Tusitafute mchawi kutoka mbali yumo humo humo msikitini!!!
 
Yale ya Mombasa hata hapa yatashamiri bila shaka!


Na haya ndiyo matunda ya serikali legelege tuliuonayo!
 
Kuna awamu tatu za uongozi zimeshapita lakini awamu hii ya sasa ina matukio ya ajabu sijawahi ona sijui kwa nini.

Huwezi jua matukio ya awamu zilizopita kwa kuwa umri wako na elimu yako ni ndogo.
Laiti ungekuwa na umri mkubwa na elimu kubwa ungejua kama awamu ya kwanza kina Kasim Hanga na weziwe waliuwawa na hata Rais wa znz aliuwawa Bank kuu ilichomwa moto wizara ya mambo ndani nayo ilichomwa moto nk..
KUWA UYAONE
 
Nna uhakika haukuwepo tarehe 20, tarehe maarufu sana kwetu wenye umri mkubwa. Nyerere ilipombidi atoroshwe na baibui. Basi hata hujasikia?

Wewe ka**ba mzee bila kumtaja Mwl Nyerere inaonekana menopause yako haiendi sawa eeeh...

Nyerere aliwakomesha nyie wahujumu uchumi ukakimbia nchi nchi na sasa unaleta kisasi chako kutoka huko mafichoni ughaibuni, watanganyika hatudanganyiki, bakia na ukibaraka wako huko huko Canada
 
Sasa hapa sjui niwaweke fungu gani
Jihad wenyewe kwa wenyewe!???
 
Kwenda huko kila mtu anajua mombasa masheikh wanauliwa na serikali ya kenyata na wakristo
Na hawa wa znz ni wakristo tu wa bara hakuna lolote jengine

Waislam mnashindwa kutatua matatizo yenu kwa kuwa mara zote huwa mnatumia cheap idea za vijiweni kufikia conclusion. Kila kitu mnasema ni fulani, Al shaabab mnasema ya Mmarekani, Al queda mnasema ni Mmarekani, Boko haram ni Mmarekani. Zanzibar mnasema ni wakrstu. Tunashuhudia Msuni anavaa bomu na kwenda kuripukia kwenye msikiti wa Mshia. Hao nao ni Marekani au wakristu?. Endeleeni kukimbia kivuli chenu mpaka mwisho wa dunia
 
Wewe ka**ba mzee bila kumtaja Mwl Nyerere inaonekana menopause yako haiendi sawa eeeh...

Nyerere aliwakomesha nyie wahujumu uchumi ukakimbia nchi nchi na sasa unaleta kisasi chako kutoka huko mafichoni ughaibuni, watanganyika hatudanganyiki, bakia na ukibaraka wako huko huko Canada

Mkuu huyu haishi Canada, aliwapiga fix, Canada sasa hivi wamelala, lakini huyu anashinda kwenye key board masaa 16 ya kitanzania
 
Poleni sana lakini tuwe makini zaidi misikitini na makanisani. Wawepo askari kanzu na vijana werevu wa kuhakikisha amani ipo katika mazingira hayo wakati wote sio wakati wa ibada tu!
 
Barikiwa sana mtumishi !!
Nimefurahi hapo kwenye ilm !
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom