Mlipuko watokea Darajani Zanzibar. Mmoja auawa

Mlipuko watokea Darajani Zanzibar. Mmoja auawa

Status
Not open for further replies.
tuache ujinga, mkuu wa polisi anasema walofanya hivyo ni vijana alokua ndani ya gari aina ya vitz.

hivi zanzibar kuna vitz ngapi ? 100? 500? si usajili wa magari sasa uko comuterised ? si yanajulikana magari yote ya vitz ukienda tra ?
si wayakusanye yote then wayafanyie dna test kama kuna chembe za mabomu ?

polisi wetu masikini wanatumiwa tu.

sasa leo bomu limeua sheikh mbona hatuoni mawaziri wa muungano kwenda znz?
mara ile padre kapigwa kibastola zogoooo kina nchimbi na wenzake kelele oooh ugaidi ugaidi..leo kimya ? mnawajua ?
 
View attachment 164947

Kisonge hii ni maskani kuu ya ccm jee watu kama hawa hawawezi kufanya unyama wa jana pale darajani. hii maskani ndio ilofanya uhalifu wakasingiziwa uamsho.
maskani hii ya ccm wanaweza kuwa katika list ya washukiwa.
hili ni bango lao la leo asubuhi

We mgonjwa kweli,yaani kama Kuku anapapatika kwenye maji.
Damu ya Marehem inaanza kukudhuru sasa.
Maana kila unapoandika hata haueleweki.
Kwani Kisonge kuandika imeanza leo?na hiyo kauli ya iliyoandikwa hapo ni ya muda mrefu sana ipo midomi mwa wana CCM.Utawahadaa hao wasiokuwepo hapa Zanzibar.
Mapinduzi Daima
 
ZANZIBAR KIMENUKA TENA BOMU LALIPUKA MSIKITINI NA KUUA




Mtu 1 amefariki na wengine kujeruhiwa
baada ya kitu kinachosadikiwa kuwa bomu,
kurushwa karibu na msikiti, darajani
Zanzibar.
Kuna taarifa ya kutokea mlipuko na mlio
mkubwa mithili ya bomu umetokea maeneo
ya Darajani karibu na msikiti na kujeruhi
Wahadhiri waliokuwepo katika msikiti wa
Darajani mara baada ya kumalizika Sala ya
Isha.
Mlipuko huo unasemekana umetokea
baada gari ambalo lililopita mbio na
kurusha kitu kinachosadikiwa kuwa ni
bomu kwenye gari ambalo wangelitumia
wahadhiri waliokuwa katika Muhaadhara
ndani ya Msikiti
Kuna taarifa kwamba mtu mmoja mpaka
sasa amepoteza maisha.
 
Zile enzi za upendo zitarudi lini tena? Watu wanauana kama wao wataishi milele.
 
Wenzetu jamani mmechelewa kiasi hicho; hii si habari ya masaa 24 yaliyopita au kuna jingine?
 
Kuna kila sababu ya kufikiria kuwa ni Wakenya wafanyayo haya.
 
Na ndio kwanza tunataka kufunza majeshi ya somalia. Al shaabab watatutembelea upya. Aisee
 
Tuliwaambia na mkabisha, marafiki zenu hao toka uarabuni!

Kama ndio marafiki zetu toka Uarabuni basi wangemuanza kumripua huyu jamaa hapa....
 

Attachments

  • 1402784142060.jpg
    1402784142060.jpg
    14 KB · Views: 237
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom