Msolopagaz
JF-Expert Member
- Jan 29, 2014
- 461
- 212
niajabu kuona watetez wakweli wa sharìa ndo wanaonekana maaduì wadini. Mungu awape subra
Al shabaab waue waislamu mkuu?
Hivi Zanzibar kwanini isiwe kama mkoa mwingine tu wa bara.., hii itatuwezesha kuwanyoosha vizuri hawa watu..!
Muungano bado upo, sarakasi; ukivunjika itakuwaje? Na bado. Waumini wa muungano tunasema utadumu tu ili kuwalinda ndugu zetu wazanzibari wasio na hatia. Kina jusa ni wa kupuuzwa.
Ukitengeneza kiota ndege watatua tu... huu ni wakati wa kutotoa...
hivi ikitokea muungano ukavunjika, usalama wa kidini baina ya waislamu na wakristo utakuwaje?
najua tu kwa hypothesis, hili tukio litahisiwa kuhusiana na mauaji ya viongozi wa kikristo na uchomaji wa makanisa.
Ukitengeneza kiota ndege watatua tu... huu ni wakati wa kutotoa...
hivi ikitokea muungano ukavunjika, usalama wa kidini baina ya waislamu na wakristo utakuwaje?
najua tu kwa hypothesis, hili tukio litahisiwa kuhusiana na mauaji ya viongozi wa kikristo na uchomaji wa makanisa.
Hivi Zanzibar kwanini isiwe kama mkoa mwingine tu wa bara.., hii itatuwezesha kuwanyoosha vizuri hawa watu..!