Mlipuko watokea Darajani Zanzibar. Mmoja auawa

Mlipuko watokea Darajani Zanzibar. Mmoja auawa

Status
Not open for further replies.
Nchi jirani imezoea haya kwa ivyo mue na nguvu manake hiki ni kionjo tu
 
Chimpumu asubuhi bila kula matokeo ndio hayo unatuma city visivyoeleweka
 
tutaunda tume mara moja ya uchunguzi

tumeshatenga bilion moja
 
Hivi Zanzibar kwanini isiwe kama mkoa mwingine tu wa bara.., hii itatuwezesha kuwanyoosha vizuri hawa watu..!

1)Mkuu akemee kadhia hii kwa ukali wa juu
2)Zanzibar iwe mkoa wa kipolisi.Mkuu wa polisi atoke bara.huyu wa sasa mpole mno
3)Ifanyike operation kama ile iliyofanyika mikoa ya mipakani ya kagera,kigoma,
3)Operation ifanywe nyumba kwa nyumba na TPDF
 
Wewe ka**ba mzee bila kumtaja Mwl Nyerere inaonekana menopause yako haiendi sawa eeeh...

Nyerere aliwakomesha nyie wahujumu uchumi ukakimbia nchi nchi na sasa unaleta kisasi chako kutoka huko mafichoni ughaibuni, watanganyika hatudanganyiki, bakia na ukibaraka wako huko huko Canada

Punguza povu, imekugusa kusikia mtakatifu alivishwa babui kuseviwa? hivyo ndivyo ilivyo na huwezi kubadili.

Oscar Kambona nae alikuwa mhujumu uchumi? jiulize!
 
Kwani kenya kuna muungano?na mbona viongozi wa kidini wanauawa kila leo?acha upoyoyo ndugu jadili mada sio kuanza propaganda zako,tunakuelewa.

Hujui kuwa Mombasa si Kenya? nenda uwaulize Wakenya na wamombasa watakufafanulia vizuri... wao ni kama Tanganyika na Zanzibar Wanajiita kwa kujitofautisha kabisa kuwa Wa pwani Mombasa na wakenya huko bara.. na Wa mombasa wanataka kujitenga wawe kivyao
 
Kuna watu wengine siku hizi hata ugomvi wa mgao wa ubwabwa tu hutumia mabomu...

Ukichunguza sana utagundua sababu ya kurusha bomu ni upumbavu tu...
 
Mbona mtu wa pili kutoa ripoti ana lafudhi ya kiswahili cha Mombasa kenya?

Ndugu yangu hilo lisikupe dhiki asilan...kwani tatizo ulionalo ni lipi!?

Kwani ushasahau yakua sisi soote ni ndugu!?...hiyo Mvita na Kuze, si ndo Koani na Maruhubi, au!?

Tafadhali, kwa hivi sasa tuache kutafutana khitilaf za lugha...tujikite katika kuwapa pole wale ndugu na jamaa zetu walopatwa na tafran hiyo ya mlipuko!

Ahsanta sana.
 
Kuna watu wengine siku hizi hata ugomvi wa mgao wa ubwabwa tu hutumia mabomu...

Ukichunguza sana utagundua sababu ya kurusha bomu ni upumbavu tu...

Kwanini huwa hutumii utaratibu wa kuchunguza taarifa, kabla hujaamua kuzitolea hayo matamshi yako ya kebehi!? Daah!

Hii issue ni delicate/sensitive na pia ni complex kinamna fulani, kuliko vile weye unavyojaribu kuidhihaki!?

Tangia lini Wazanzibary wakarembeana mabomu kwa ati kugombania huo uliouita ati ndo "ubwabwa"!? Daah!

Kwa taarifa yako, Wazanzibary hawana chakula kiitwacho ati "ubwabwa"...au ulikusudia wali, sio!?

Acha kutumia akili mbovu kama yule muhehe mwanzio, yaani kilaza yericko nyerere! Eboo!

Ahsanta.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom