na maisha yangu namkabidhi nani!?..siku hizi hakuna ndoa mapenzi kuna ndoa maliMkuu hujui kuwa mke ni zaidi ya ndugu kwako, kwanini unahesabu zaidi mali, Mbona ukioa mke anakukabidhi maisha yake. Nahisi maisha ya mke na muda wake vina thamani kuliko mali unazozitaja.
Hapo kila MTU na destiny yake tupo pamoja sanathere is offcourse ila kwanini uache kufanya kitu kwa sababu wengine wameshindwa.wewe sio wao kumbuka
last year my sis alianza ivf procedure kupata mtoto .she is 46 now.story ni nyingi success rate ni ndogo sana .lakini akaniambia mdogo wangu miss lazima nifanye hichi kitu .just imagine alikuwa amebakiwa na mayai matano.yakarutubishwa yote yakabaki matatu then mimba akabaki mtoto mmoja.walipandikizwa wamama 20 wakabeba mimba 8 wakazaa wanne.
our baby is 3 month now very healthy uje umuone.
toka hapo nimejifunza kutoangalia kushindwa kitu kwa wengine aisee.kila mtu ana destiny yake hapa duniani na mipangilio yake.
Carbon monoxide.wanawake ni viumbe ambao hawaeleweki wanataka na hawataki nini pamoja na kua mama zetu na dada zetu lakini hamna kitu
nashuhudia matatizo kwenye ndoa nyingi..hasa za makapuku na wazee..aisee!Not every union goes that far...till death do apart
Huyo yupo tayar kwa mwingine sio wewe.Kweli tuko tofauti, mimi natamani kuoa ila tatizo ninaempenda hayupo tayari
Mjomba unataka kumkabidhi mtu maisha yako? Wanaume tunakabidhiwaga maisha ya wake zetu na watoto wetu tuyaangalie lakini kamwe mwanaume hatafuti mtu ampe maisha yake alelewe.na maisha yangu namkabidhi nani!?..siku hizi hakuna ndoa mapenzi kuna ndoa mali
Kweli tena hata sio uongo.
I see meeeeee!Ukiwa mbinafsi huwezi kuoa wala kuolewa.
Umeonaa eeI see meeeeee!
Tayali mkuu.Wewe umeolewa?
Aaah kabisa aisee, ndio dota ananipa darasa taratiiibu ila mwanafunzi mie kichwa ngumu.Huna mpinzani.
Asante mkuu na wewe vua ubinafsi huoHongera kwa kuacha ubinafsi.