Mliooa mnastahili pongezi

Mliooa mnastahili pongezi

Duh...huyu dada kalazimishwa?
Huyo dada anawaza mwanaume anamimba kazi kweli kuishi na vitambi kila siku kuitafuta mboo chini ya nyama nakutafuta style maalumu basi akiwaza tu anapata hasira ndio maana hana raha
 
Asante kaka, acha tu, joto la jiwe tunalipata, heri kugawana mali, tatizo ni vituko ndani ya nyumba kuanzia kununiwa, kunyimwa nani hii kwa sababu "zisizojulikana", watoto kufokewa bila sababu, ukipata hela basi huna uhuru nazo tena sababu cha kwanza wamfikiria yeye na watoto wake, ratiba yako wanaanza wao ndio wewe, basi shida tupu, ila tuliyataka wenyewe, si mchezo..
Hongera kwa kuwa singo mkuu, you are not missing anything bro apart from mambo hayo juu..Ni shida..
"unamfikiria yeye na watoto wake". Kweli wewe bado.
 
Asante kaka, acha tu, joto la jiwe tunalipata, heri kugawana mali, tatizo ni vituko ndani ya nyumba kuanzia kununiwa, kunyimwa nani hii kwa sababu "zisizojulikana", watoto kufokewa bila sababu, ukipata hela basi huna uhuru nazo tena sababu cha kwanza wamfikiria yeye na watoto wake, ratiba yako wanaanza wao ndio wewe, basi shida tupu, ila tuliyataka wenyewe, si mchezo..
Hongera kwa kuwa singo mkuu, you are not missing anything bro apart from mambo hayo juu..Ni shida..
Huyo mkeo ana shida zake, lkn ndoa tamu tu mbona
 
Kumbe mume wa mtu!! Ama kweli wanawake tuna taabu.
 
Kwani wewe hujasikia mwanandoa akiumwa mwenzie ANAMKIMBIA? Sio guarantee eti ukioa ndio utahudumiwa na ukiemuoa katika shida anaweza kukimbia vile vile.
Mali zako will pay for medical attention kuanzia kuogeshwa hadi dawa.
wambie hao mzee baba...mali ndio kila kitu hapa duniani...mwanaume hasifiwi mke mwanaume anasifiwa pesa,mali
90f1af70d2757cbd0d85e44c19ca3705.jpg
ndio maana billgate anajulikana dunia nzima kutokana na mali zake na sio mke
 
Back
Top Bottom