Mashine iko vizuri?nina miaka 50 ya kuzaliwa sijawaza kuoa labda hadi nifiki 60 ndio nitaharibu.
Duh kazi ipo...Asante kaka, acha tu, joto la jiwe tunalipata, heri kugawana mali, tatizo ni vituko ndani ya nyumba kuanzia kununiwa, kunyimwa nani hii kwa sababu "zisizojulikana", watoto kufokewa bila sababu, ukipata hela basi huna uhuru nazo tena sababu cha kwanza wamfikiria yeye na watoto wake, ratiba yako wanaanza wao ndio wewe, basi shida tupu, ila tuliyataka wenyewe, si mchezo..
Hongera kwa kuwa singo mkuu, you are not missing anything bro apart from mambo hayo juu..Ni shida..
Acha kabisa...Duh kazi ipo...
Ukikosea kuoa inawezekana.Au huyo huyo mke akuue kisa mali.....!
Unakauchoyo,ubinafsi na roho mbaya,sio kila mwanamke anafuata Mali kwa mumeHabari za Jumapili.
Napenda kutoa pongezi kwa wwanaume wenzangu mliooa. Kuamua kuoa si jambo rahisi hasa ukifikiria unakabidhi UHURU na MALI ZAKO kwa mtu ambae huna undugu nae!!
Mawazo kama haya huwa yananijia Jumapili ambayo ni siku ninayofurahia sana wiki nzima. Jumapili njema jamani mimi nasikiliza Easy Sunday Clouds Fm huku nikisoma kitabu taratibu.
Ni swala la muda tuu, muda ukifika wala hutopata shida kila kitu kitaenda kwa kutiririka.Habari za Jumapili.
Napenda kutoa pongezi kwa wwanaume wenzangu mliooa. Kuamua kuoa si jambo rahisi hasa ukifikiria unakabidhi UHURU na MALI ZAKO kwa mtu ambae huna undugu nae!!
Mawazo kama haya huwa yananijia Jumapili ambayo ni siku ninayofurahia sana wiki nzima. Jumapili njema jamani mimi nasikiliza Easy Sunday Clouds Fm huku nikisoma kitabu taratibu.
Kabisa tena utatamani wa kukubana na kukuongoza kama mtoto hali ya kuwa ni mtu mzima na akili zako,Nitakuwa tayari kuuza uhuru wangu sio?
,the same kwenye happy moment. Kuna feelings ambazo zitakupelekea tuu utamani kuoa na kuona uhuru ni nothing kwako. Nimmekusoma Mrs BrightKabisa tena utatamani wa kukubana na kukuongoza kama mtoto hali ya kuwa ni mtu mzima na akili zako,
Uko na pesa ya kutosha unauwezo wa kula chochote kwa gharama yoyote lakini kuna kitu utamiss tuu.
Kuna muda haupo sawa labda kuna mambo yanakusumbua utatamani awepo mtu wa kushare nae hiyo hali, how do you feel pale unapomwelezea mtu tatizo lako unakuta analia kwa ajili yako,the same kwenye happy moment. Kuna feelings ambazo zitakupelekea tuu utamani kuoa na kuona uhuru ni nothing kwako.
Omba Mungu umpate huyo soul mate wako tofauti na hapo utatamani kuwa single maisha yako yote.
Habari za Jumapili.
Napenda kutoa pongezi kwa wwanaume wenzangu mliooa. Kuamua kuoa si jambo rahisi hasa ukifikiria unakabidhi UHURU na MALI ZAKO kwa mtu ambae huna undugu nae!!
Mawazo kama haya huwa yananijia Jumapili ambayo ni siku ninayofurahia sana wiki nzima. Jumapili njema jamani mimi nasikiliza Easy Sunday Clouds Fm huku nikisoma kitabu taratibu.