hadi uoane na mtu si lazima muwe mnajuana na mmeridhiana mkaona mnaendana? mfano kama mtu hapendi pombe atatafuta mnywa soda mwenzake maana mnywa pombe atamkera. kila tabia uliyonayo mwenzako atakuwa ameridhika nayo toka mwanzoni .sasa shida itatokea wapi?labda sema hupendi majukumu .maana kitakachoongezeka ni majukumu ,mfano umezoea kulala saa mbili usiku ,inatokea watoto wanalia usiku kucha itabidi usaidie,umezoea umeme wa elf 50 mwezi,familia itaongezeka bill inapanda .
kuhusu uhuru wako sidhani kama kuna mtu anaweza kukudhibiti wewe sema tu itatokea naturaly utabanwa na majukumu ya familia ila hakuna wa kukupangia wewe