Mkuu hujui kuwa mke ni zaidi ya ndugu kwako, kwanini unahesabu zaidi mali, Mbona ukioa mke anakukabidhi maisha yake. Nahisi maisha ya mke na muda wake vina thamani kuliko mali unazozitaja.
Asante swahiba likewise to you! Have a successful week and rest of the year generally.Nafurahi kusikia u mzima Kakangu
Uzidi kubarikiwa, na wiki yako iwe ya mafanikio
Wow!!!Asante swahiba likewise to you! Have a successful week and rest of the year generally.
