Mliooa mnastahili pongezi

Mliooa mnastahili pongezi

Yaani nikifikiria hii kitu nachoka aiseee.
Navuta pumzi kwanza
 
Mjomba unataka kumkabidhi mtu maisha yako? Wanaume tunakabidhiwaga maisha ya wake zetu na watoto wetu tuyaangalie lakini kamwe mwanaume hatafuti mtu ampe maisha yake alelewe.
kwa hiyo mume ni mfugaji wa binaadam!?
 
Habari za Jumapili.

Napenda kutoa pongezi kwa wwanaume wenzangu mliooa. Kuamua kuoa si jambo rahisi hasa ukifikiria unakabidhi UHURU na MALI ZAKO kwa mtu ambae huna undugu nae!!

Mawazo kama haya huwa yananijia Jumapili ambayo ni siku ninayofurahia sana wiki nzima. Jumapili njema jamani mimi nasikiliza Easy Sunday Clouds Fm huku nikisoma kitabu taratibu.
Asante kwa kutupongeza,ni maandiko ya Mungu ndio yanatuongoza mkuu ,Mwanzo 2:24(Kwahiyo mwanamume atamuacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe,nao watakuwa mwili mmoja),kwahiyo unakuwa huna hofu,chako kinakuwa chake na chake kinakuwa chako..
 
Asante kwa kutupongeza,ni maandiko ya Mungu ndio yanatuongoza mkuu ,Mwanzo 2:24(Kwahiyo mwanamume atamuacha baba yake na mama yake ataambatana na mkewe,nao watakuwa mwili mmoja),kwahiyo unakuwa huna hofu,chako kinakuwa chake na chake kinakuwa chako..
Amen...
 
there is offcourse ila kwanini uache kufanya kitu kwa sababu wengine wameshindwa.wewe sio wao kumbuka
last year my sis alianza ivf procedure kupata mtoto .she is 46 now.story ni nyingi success rate ni ndogo sana .lakini akaniambia mdogo wangu miss lazima nifanye hichi kitu .just imagine alikuwa amebakiwa na mayai matano.yakarutubishwa yote yakabaki matatu then mimba akabaki mtoto mmoja.walipandikizwa wamama 20 wakabeba mimba 8 wakazaa wanne.
our baby is 3 month now very healthy uje umuone.
toka hapo nimejifunza kutoangalia kushindwa kitu kwa wengine aisee.kila mtu ana destiny yake hapa duniani na mipangilio yake.

Congrats to her jamani! Ni kweli kabisa kila Mtu Ana namna yake na njia yake ya kupita ktk safari hii ya maisha,kuangalia wenzio Kwaweza sababisha ukaona Giza totoro mbele na haimaanishi kushindwa Kwa mwenzio ndiyo kushindwa kwako!cha muhimu ni kuamini na kusonga mbele!
 
Mungu ni mwaminifu kwa kweli nimeamka salama tayari kwa mchakamchaka wa wiki nzima!!!!

Vipi wewe hali yako
Basi ni vizuri kama wiki yako imeanza poa, bila shaka kila kilichopangwa kimeenda vizuri.

Hali yangu si mbaya bibie!
 
Mimi kama mwenyekiti wa mabachelor katika kata ndogondogo za jijini, natoa rai kwa wanachama wote wajitokeze kumuombea huyu mwenzetu.
Maana mara nyingi wanaosemaga hivi, huwa wapo karibu kutumbukia kwenye hukohuko kwa ndoa. Karibu atapotea ndugu yetu.
Nawasilisha.
 
Back
Top Bottom