RRONDO
Platinum Member
- Jan 3, 2010
- 57,780
- 129,538
- Thread starter
- #221
Duh hii kali..Mimi kama mwenyekiti wa mabachelor katika kata ndogondogo za jijini, natoa rai kwa wanachama wote wajitokeze kumuombea huyu mwenzetu.
Maana mara nyingi wanaosemaga hivi, huwa wapo karibu kutumbukia kwenye hukohuko kwa ndoa. Karibu atapotea ndugu yetu.
Nawasilisha.
