Embu mnaokaa kwenye mambo mengi kuna hili linalotokea sasa Pemba sehemu alipozikwa Al marhoum Maalim Seif Sharif Hamad,inasemekana watu wanakwenda kuchota mchanga wa kaburini na sasa polisi wanalinda lakini hata hivyo bado watu wanavizia na kuuchukua japo kwenye mfuko wa shati.
Clip inayozagaa inamuonyesha mkuu wa Polisi Pemba akionya kuna hatari watu wakamaliza mchanga na kumfukua maiti na kugawana mifupa.ametoa onyo kali.
Clip inayozagaa inamuonyesha mkuu wa Polisi Pemba akionya kuna hatari watu wakamaliza mchanga na kumfukua maiti na kugawana mifupa.ametoa onyo kali.