johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,579
- 141,381
Wanamuita AyattolahAnajulikana kama kiongozi wa chama yani zamani sana kipindi hicho cha akina Mkwawa angejulina kama Mtemi zitto
Wanamuita AyattolahAnajulikana kama kiongozi wa chama yani zamani sana kipindi hicho cha akina Mkwawa angejulina kama Mtemi zitto
Kama wamezuiwa huko waende Lupaso kwa Mkapa.Mkuu wa Mkoa huko Pemba alikozikwa aliyekuwa Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, Maalim Seif amepiga marufuku wananchi kwenda kuchukua mchanga kwenye kaburi la Seif kwa imani za kinabii...
Wanasema Bavicha wamejazana Pemba kuchota mchanga!Kama wamezuiwa huko waende Lupaso kwa Mkapa.
Wamarekani wajanja sana. Makaburi ya watata hao wawili hayajulikani yalipo. Huenda hata Hitler alizikwa lakini wakaficha kaburi lake.Watu na imani zao mdau.
Hapa ndio utagundua huyu jamaa alikua kipenzi haswa wa watu wa Zanzibari.
Huwa najiuliza tu yule Ggadafi Osama wangezikwa sehemu zinazojulikana hali ingekuaje.
Yani ndio mtemi sasa huyo maana Ayatollah ndio kila kitu 😂Wanamuita Ayattolah
Unashangaa nini wakati wewe ndio huwa unakesha kwa Wachawi
Afsaa mauno wao ni wewe na afsaa mauzo wao ni PolepoleHalafu usiku wa jana tulikesha wote huko ila wewe ukaamua uendelee kubaki, vipi unajitengeneza kuwa mkuu wa wachawi!? Au wewe ndio afsa mauzo wao?
Sahihi kabisaWaongeze mchanga