Mkurugenzi Mkuu NSSF, Masha Mshomba hizo ajira 271 ni kaa la moto kwako, chukua tahadhari

Julian Assange The Whistle Blower,Alishawai kusema kwamba Taifa lolote ambalo halina wapaza sauti KWA maslahi ya wengi basi ni Taifa legelege,

Nimefanikiwa kuipata inside story isiyo na mashaka hata chembe kutoka ndan ya shirika la Taifa la hifadh ya jamii Nssf hakika kweli sikio la kufa haliskii dawa..!Kwan hapo Nssf kuna nini kinachowafanya msitulie na kufanya kazi ya kujenga Taifa,mashirika ya umma yako mengi Sana,why always muwe kwenye headlines za mitandao ya kijamii?

Mkurugenzi Mkuu ndugu Masha,tafadhali kaa chonjo na Director of human resources and admistration Julius Kamuganga,na Manager wa Human resources Leah Mahali,wamechomeka hoja ya kibali Cha ajira takriban 271 za watu ambao wapo hapo Nssf wakifanya temporary Jobs,Hoja hiyo bila shaka iliwepo tokea enzi za William Erio na kuondoka kwake ghafla ndan ya shirika hilo kabla ya kufanikisha KWA mpango huo umewaacha wengi wa watu wao njia panda Sana.

Mkurugenzi huyo wa utawala hivi sasa yupo hapa Dodoma akihaha kwenye corridor za Katibu Mkuu wa utumishi akijaribu kufanya kila awezalo Ili kufanikisha nia hiyo,

Kumbuka william Erio alipofika hapo NSSF alikuja na ajenda kubwa ya kuwaondoa staffs wengi waliopo Nssf na kuwapeleka kwenye halmashauri mbali mbali na taasisi zingine kinyume na utaratibu Ili aweze kupata nafasi ya kuwaweka hao temporary staffs na kuwaleta wengine wengi ambao alitoka nao PPF.

Nia hiyo Ovu ya Kamuganga na Leah Mahali ni ya kupiga vita na kulaaniwa vikali Sana.

Vijana wengi wapo mtaani hawana kazi,na wapo ambao wapo competent kwanin ajira nyingi kama hizo 271 zisitangazwe KWA uwazi na hawa vijana waliopo huku mitaani wakagombania hizo nafasi fairly?

Iweje wanapeleka hoja ya kuwajir watu wengi hivyo kinyemela huku wakijua fika makosa katika maadili ya utumishi wa umma na ajira KWA ujumla?

Nasikia wanafanya vitu vya hovyo sana hapo,wamechukuwa watu ambao wapo temporary kisha wanawapa promotions without confirmation huo ni utaratibu wa wapi wanautumia.

Leah Mahali ameshiriki kuwaondoa mameneja takriban 12 ambao walikuwa ni staffs wa NSSF kinyume na utaratibu na wengine kuwapeleka halmshaur mbali mbali ambako hadi hivi leo yasemekana wanalipwa na payroll ya hapo hapo Nssf.

Taarifa zinasema kwamba anachukua hadi Rushwa Ili aweze kuwapa promotions baadhi ya watu mfano aliekawa muhasibu mwanza amehonga pesa nyingi KWA Leah Mahali then akafanya lobbying na kupewa Kuwa Regional manager Mbeya,mwingine aliekawa senior officer rukwa amehonga pesa KWA njia hizo hizo na kupewa Regional Manager Katavi,ni taarifa zisizo na shaka na ikibid Takukuru waliangalie suala hilo.

Ndug Masha,MKURUGENZI MKUU KWA taarifa zako za utendaji unaonekana ni mtu mwenye weledi mkubwa, mchamungu,usiependa majungu,makundi,Rushwa,dhulma,unyanyasi na upendeleo.

Simama katika misngi yako kama hiyo bila shaka yoyote huwezi kuyumba,umeaminiwa na kupewa nafasi kubwa kama hiyo kutokana na weledi wako,Huyo Mkurugenzi wa utawala Kamuganga na huyo manager wake Leah Mahali wanakuingiza shimoni,tuliza akili yako tafuta team yako ambayo haitaendekeza majungu na migogoro.

Hizo Ajira ambazo wanataka kuzitoa KWA upendeleo tafadhal kama kweli basi zitangazwe KWA uwazi vijana wenye sifa waombe na ufanyike usaili wa haki bila upendeleo wa aina yoyote.

KWA hali ilivyo hao jamaa hutaweza fanya nao kazi hata kidogo,hujamaliza hata mwez nadhan tokea umeteuliwa lakin wameshaanza choko choko za kutaka kukukwamisha na kukutoa kwenye reli,kaa kwa TAHADHARI kubwa sana.

Weka misingi imara na ya haki Ili uweze kuonesha tofauto baina yako na watu failures na wenye Roho Mbaya Mbaya kama william Erio.

William Erio ni homeboy kabisa ni mmakuwa wa hapa jiran masasi,ila namjua Ana roho mbaya sana na namshangaa mtu gani wa kusini Ana kuwa na roho ya kukunja kama yeye,na siku zote mtu mwenye roho mbaya mwisho wake unakuwa ni wa aibu, tafadhal usifuate legacy mbovu kama ya william Erio hapo Nssf,tenda haki Ili uongoze kwa amani.
TAKUKURU NG'ATA....
 
Masha kuwa makini na hawa waletaji taarifa na wanaokuelekeza kazi, wengi wao ni timu Dau wale wasiopenda kazi vilaza na wanaoendeleza majungu , makundi, udini na fitina. Kipindi cha Dau NSSF ajira zilikua ni kwa waislamu pesa za wanachama wa nssf zilikua zinatumika kujenga misikiti nchini kote na Kufadhili taasisi za kiisilamu , kusomesha waisalmu na kufadhili Miradi yote ya waislamu ikiwemo kufadhili safari za hija na ugaidi kule kusini, kuwa makini Masha MSHOMBA hawa wadini Hawakupendi wanataka kukuharibia kazi kwa kukupa maelekezo kila siku ukiwasikiliza utapotea wewe kazi yako unaijua na huitaji maelekezo, OVER
 
Hi show ya sasa hivi anaisimamia mwnyewe Waziri mwenye dhamana ya ajira, yaani Jesista Mhagama. Mkurugenzi pamoja na Meneja wa HR wanatumika tu katika kutekeleza agenda ovu ya "kufagia" watu kibaguzi. Kuna nepotism ya hali ya juu na udini uliotukuka sio tu katika ajira mpya hapo NSSF bali hata kwenye silent reshuffle iliyokua imeasisiwa na Erio
Kumbe show inasimamiwa na waziri mwenyewe ? Daah hapo sasa
 
Masha kuwa makini na hawa waletaji taarifa na wanaokuelekeza kazi, wengi wao ni timu Dau wale wasiopenda kazi vilaza na wanaoendeleza majungu , makundi, udini na fitina. Kipindi cha Dau NSSF ajira zilikua ni kwa waislamu pesa za wanachama wa nssf zilikua zinatumika kujenga misikiti nchini kote na Kufadhili taasisi za kiisilamu , kusomesha waisalmu na kufadhili Miradi yote ya waislamu ikiwemo kufadhili safari za hija na ugaidi kule kusini, kuwa makini Masha MSHOMBA hawa wadini Hawakupendi wanataka kukuharibia kazi kwa kukupa maelekezo kila siku ukiwasikiliza utapotea wewe kazi yako unaijua na huitaji maelekezo, OVER
Wewe ndio umeandika majungu , haingii akilini afanye hivyo
 
Katika mfumo wa ajira unaotambuliwa na Sheria ya Utumishi wa Umma Namba 8 ya mwaka 2002 na Kanuni zake za mwaka 2003, hakuna kipengele cha "kujitolea" katika mchakato wa ajira serikalini au kwenye mashirika ya umma. Kujitolea ni jambo binafsi la anayejitolea na halimlazimishi mwajiri kumuajiri kwa kuwa kajitolea. Instead kuajiri wanaojitolea kunaweza kujaza watu ambao hawana uwezo kwa vile kunakuwa hakuna trasparency ya namna ya kuwapata.
Well said bro
 
Kama hakuna kwanini wanawekwa na wanalipwa?
Anawalipa Kama vibarua, lakini akikutana na Board iliyo makini au CAG akiamua kulizamia linaweza kuipa NSSF Hati yenye mashaka (Qualified Opinion).

Kuwa na vibarua au intern 271 ni weakness kwenye management. Either management haijui ukubwa na mazingira ya kazi zake au ni corruption kwa anayesimamia kasma hiyo.

Isitoshe ni kinyume cha Sheria kuwa na kibarua kwa muda unaozidi miezi 3. Na kibarua anapaswa kulipwa kutwa, kwa hiyo kama unamlipa mwisho wa mwezi ni makosa pia
 
Masha kuwa makini na hawa waletaji taarifa na wanaokuelekeza kazi, wengi wao ni timu Dau wale wasiopenda kazi vilaza na wanaoendeleza majungu , makundi, udini na fitina. Kipindi cha Dau NSSF ajira zilikua ni kwa waislamu pesa za wanachama wa nssf zilikua zinatumika kujenga misikiti nchini kote na Kufadhili taasisi za kiisilamu , kusomesha waisalmu na kufadhili Miradi yote ya waislamu ikiwemo kufadhili safari za hija na ugaidi kule kusini, kuwa makini Masha MSHOMBA hawa wadini Hawakupendi wanataka kukuharibia kazi kwa kukupa maelekezo kila siku ukiwasikiliza utapotea wewe kazi yako unaijua na huitaji maelekezo, OVER

Hatari sana kama una chuki na uislam na waislam ungejaribu kujificha hata KWA kias,

Fedha za shirika zitumike kwenda kujenga misikiti na kufadhili ugaidi Tena,

Hilo ni shirika la umma na kila mwaka kuna wakaguz wa ndan na nje,lin kipind Cha Dau shirika hilo limewahi kupata hayo chafu ya ukaguz na ikaelezea hayo madudu unayoyasema,

Ila shida yenu nyinyi ni islamophobia,mkiona Muislam anaperform hata kama yuko smart na anafanya zake vizur hamuish maneno,

Profesa Assad by that time mlisema ni mjahidina na kageuza Ofc ya CAG kuwa misikiti,hamna jema ndugu zetu,

Haya tunayowaambia ni ukweli japo ni mchungu itabid muupokee
 
Masha kuwa makini na hawa waletaji taarifa na wanaokuelekeza kazi, wengi wao ni timu Dau wale wasiopenda kazi vilaza na wanaoendeleza majungu , makundi, udini na fitina. Kipindi cha Dau NSSF ajira zilikua ni kwa waislamu pesa za wanachama wa nssf zilikua zinatumika kujenga misikiti nchini kote na Kufadhili taasisi za kiisilamu , kusomesha waisalmu na kufadhili Miradi yote ya waislamu ikiwemo kufadhili safari za hija na ugaidi kule kusini, kuwa makini Masha MSHOMBA hawa wadini Hawakupendi wanataka kukuharibia kazi kwa kukupa maelekezo kila siku ukiwasikiliza utapotea wewe kazi yako unaijua na huitaji maelekezo, OVER

wewe ndio mjinga wa mwisho duniani huna hoja hoja zako za kikatolik
 
Watu wamekaa ofisini miaka 2 na zaidi wanajitolea afu uite watu wapya? Gharama zinginr hizi mnazitaka wenyewe. Wanaojitolea ndio waajiriwe hao hao. Hapa ofisini kwetu kuna madogo wa Intern kutoka TAESA yaan wanajituma sana mwaka jana taasisi imeajiri watu wapya kabisa wakati hawa vijana wapo na wanajua kazi, sio haki kabisa. Binafsi ningeanza ma hao wanaojitolea kuwaajiri wote kisha nirudi mtaani, kwanza tayari wanajua kazi, hivyo kupunguza gharama za training na vitu kibao.
Tuwe positive katika mambo mengi kwann alyways tunawawazia wenzetu kuwa wala Rushwa?
Shida hao wanaojitolea wamepata hizo chance kwa connection na ajira zikitokea ivo internal watatokea watu from nowhere nakuwa offered, Ili kuweka uwazi mchakato ufanywe na secretariat ya ajira wapambane hao wanaojitolea na hawa wengine then atakaefaulu anapewa kazi
 
Shida hao wanaojitolea wamepata hizo chance kwa connection na ajira zikitokea ivo internal watatokea watu from nowhere nakuwa offered, Ili kuweka uwazi mchakato ufanywe na secretariat ya ajira wapambane hao wanaojitolea na hawa wengine then atakaefaulu anapewa kazi
Mkuu kufaulu usaili na kupiga kazi kwa weledi vitu viwili tofauti. Kama mtu anajitolea na amefanya vizuri unamchukua tu bila shida yoyote huhitaji usaili. Sema wabongo mnachuki sana kupata kwa wenzenu na lazima muweke lawama za kusema wameingia kwa kujuana.
 
Mkuu kufaulu usaili na kupiga kazi kwa weledi vitu viwili tofauti. Kama mtu anajitolea na amefanya vizuri unamchukua tu bila shida yoyote huhitaji usaili. Sema wabongo mnachuki sana kupata kwa wenzenu na lazima muweke lawama za kusema wameingia kwa kujuana.
Shida ni huo mchakato wa kujitolea umepatikana vipi mimi nilikuwa employed baada ya kumaliza field na kujitolea kwa muda kidogo ila ilikuwa kampuni ya kizungu na palikuwa na uwazi sana sikuwa na connection yoyote pale
 
Shida ni huo mchakato wa kujitolea umepatikana vipi mimi nilikuwa employed baada ya kumaliza field na kujitolea kwa muda kidogo ila ilikuwa kampuni ya kizungu na palikuwa na uwazi sana sikuwa na connection yoyote pale
Watu wamepitia mchakato mgumu kuliko huko UTUMISHI. Kawaangalie vijana wanavyopambana kupata nafasi TAESA ndio utajua wale watoto acheni waajiriwe tu. We unadhani sasa hivi watu wanajitolea tu? Kuna kuwa na usaili mkubwa tu. Vijana wengi wanakuambia ukienda huko TAESA ni bora tu usaili wa UTUMISHI ni rahisi kupita.
Tuwe na utamaduni wa kuwapa nafasi hawa vijana ambao kwao wao maslahi sio kitu bali kufanya kazi katika kujenga taifa lao. Mbona polisi hawaajiri kutoka mtaani? Ni kwa kuwa kuna watu wanajitolea kule JKT basi na huku tuwape kipaumbele wale watoto. ACHENI ROHO ZA KICHAWI WATZ, CHUKI, HUSDA, UKABILA, UDINI NA KUONA WENZETU NI WALA RUSHWA SIO KITU CHEMA KWA HAPA DUNIANI NA HATA KWA MUUMBA WETU.
 
Huo utaratibu wa kuajiri temporary employee ili ni mzuri ingawa mara nyingi umejaa ukabila na undugu.
Maana vibarua wengi ni ndugu wa mabosi kwenye taasisi
Umesema kweli mkuu. Watu ambao hawana connection si rahisi kupata kazi kwa utaratibu huo wa kuajiri watu wanaojitolea.
 
Nili wai kwenda NSSF hapo ilala boma

Hapo kweny office Zao nili pata mshangao kukuta baadhi ya staff Wana uwezo mdogo ki utendaji hata reasoning...very very poor

Nilijiuliza watu kama hao wanapitaje kwenye interview au ndio zile kushikwa mkono...
Yaan nilijiuliza kuna vijana wengi smart na wenye sifa za kua pale ambao nawa fahamu ila wanauza mitumba karume, Tandika,Tandale na Rangi tatu mbagala...This world is not fair

Naungana na prof. Assad kua asilimia 80% ya watumishi uwezo wao mdogo kiutendaji
 
Kama ni wana mikataba ya muda mfupi wapewe mikataba ya kudumu kwani ninavyoelewa hata wenye mikataba ya muda mfupi wana sifa Sawa na wenye mikataba ya muda mrefu
Besides hao hawajitolei inavyosemekana,

Wamepewa temporary contracts za kuzuga na wanalipwa monthly,

Si bora basi kama wangekuwa wanajitolea
 
Back
Top Bottom