Mkurugenzi Mkuu NSSF, Masha Mshomba hizo ajira 271 ni kaa la moto kwako, chukua tahadhari

Kwanza jiulize kwa uzalendo wa Mwendazake alishindwaje kuwashtaki hao walionunua Ekari kwa Tsh 800 million? Badala yake akawapa hadhi ya Ubalozi wakamuwakilishe Nje ya nchi?


Kama huna kazi nakupa topic ya research

'…How Covid 19 rescued Tanzanians from Dictotorship…'

Hivi ile ardhi iliyonunuliwa kwa milioni 800 kwa ekari ina manufaa gani?
 
Julian Assange The Whistle Blower,Alishawai kusema kwamba Taifa lolote ambalo halina wapaza sauti KWA maslahi ya wengi basi ni Taifa legelege,

Nimefanikiwa kuipata inside story isiyo na mashaka hata chembe kutoka ndan ya shirika la Taifa la hifadh ya jamii Nssf hakika kweli sikio la kufa haliskii dawa..!Kwan hapo Nssf kuna nini kinachowafanya msitulie na kufanya kazi ya kujenga Taifa,mashirika ya umma yako mengi Sana,why always muwe kwenye headlines za mitandao ya kijamii?

Mkurugenzi Mkuu ndugu Masha,tafadhali kaa chonjo na Director of human resources and admistration Julius Kamuganga,na Manager wa Human resources Leah Mahali,wamechomeka hoja ya kibali Cha ajira takriban 271 za watu ambao wapo hapo Nssf wakifanya temporary Jobs,Hoja hiyo bila shaka iliwepo tokea enzi za William Erio na kuondoka kwake ghafla ndan ya shirika hilo kabla ya kufanikisha KWA mpango huo umewaacha wengi wa watu wao njia panda Sana.

Mkurugenzi huyo wa utawala hivi sasa yupo hapa Dodoma akihaha kwenye corridor za Katibu Mkuu wa utumishi akijaribu kufanya kila awezalo Ili kufanikisha nia hiyo,

Kumbuka william Erio alipofika hapo NSSF alikuja na ajenda kubwa ya kuwaondoa staffs wengi waliopo Nssf na kuwapeleka kwenye halmashauri mbali mbali na taasisi zingine kinyume na utaratibu Ili aweze kupata nafasi ya kuwaweka hao temporary staffs na kuwaleta wengine wengi ambao alitoka nao PPF.

Nia hiyo Ovu ya Kamuganga na Leah Mahali ni ya kupiga vita na kulaaniwa vikali Sana.

Vijana wengi wapo mtaani hawana kazi,na wapo ambao wapo competent kwanin ajira nyingi kama hizo 271 zisitangazwe KWA uwazi na hawa vijana waliopo huku mitaani wakagombania hizo nafasi fairly?

Iweje wanapeleka hoja ya kuwajir watu wengi hivyo kinyemela huku wakijua fika makosa katika maadili ya utumishi wa umma na ajira KWA ujumla?

Nasikia wanafanya vitu vya hovyo sana hapo,wamechukuwa watu ambao wapo temporary kisha wanawapa promotions without confirmation huo ni utaratibu wa wapi wanautumia.

Leah Mahali ameshiriki kuwaondoa mameneja takriban 12 ambao walikuwa ni staffs wa NSSF kinyume na utaratibu na wengine kuwapeleka halmshaur mbali mbali ambako hadi hivi leo yasemekana wanalipwa na payroll ya hapo hapo Nssf.

Taarifa zinasema kwamba anachukua hadi Rushwa Ili aweze kuwapa promotions baadhi ya watu mfano aliekawa muhasibu mwanza amehonga pesa nyingi KWA Leah Mahali then akafanya lobbying na kupewa Kuwa Regional manager Mbeya,mwingine aliekawa senior officer rukwa amehonga pesa KWA njia hizo hizo na kupewa Regional Manager Katavi,ni taarifa zisizo na shaka na ikibid Takukuru waliangalie suala hilo.

Ndug Masha,MKURUGENZI MKUU KWA taarifa zako za utendaji unaonekana ni mtu mwenye weledi mkubwa, mchamungu,usiependa majungu,makundi,Rushwa,dhulma,unyanyasi na upendeleo.

Simama katika misngi yako kama hiyo bila shaka yoyote huwezi kuyumba,umeaminiwa na kupewa nafasi kubwa kama hiyo kutokana na weledi wako,Huyo Mkurugenzi wa utawala Kamuganga na huyo manager wake Leah Mahali wanakuingiza shimoni,tuliza akili yako tafuta team yako ambayo haitaendekeza majungu na migogoro.

Hizo Ajira ambazo wanataka kuzitoa KWA upendeleo tafadhal kama kweli basi zitangazwe KWA uwazi vijana wenye sifa waombe na ufanyike usaili wa haki bila upendeleo wa aina yoyote.

KWA hali ilivyo hao jamaa hutaweza fanya nao kazi hata kidogo,hujamaliza hata mwez nadhan tokea umeteuliwa lakin wameshaanza choko choko za kutaka kukukwamisha na kukutoa kwenye reli,kaa kwa TAHADHARI kubwa sana.

Weka misingi imara na ya haki Ili uweze kuonesha tofauto baina yako na watu failures na wenye Roho Mbaya Mbaya kama william Erio.

William Erio ni homeboy kabisa ni mmakuwa wa hapa jiran masasi,ila namjua Ana roho mbaya sana na namshangaa mtu gani wa kusini Ana kuwa na roho ya kukunja kama yeye,na siku zote mtu mwenye roho mbaya mwisho wake unakuwa ni wa aibu, tafadhal usifuate legacy mbovu kama ya william Erio hapo Nssf,tenda haki Ili uongoze kwa amani.
Kazi ipo
 
Nili wai kwenda NSSF hapo ilala boma

Hapo kweny office Zao nili pata mshangao kukuta baadhi ya staff Wana uwezo mdogo ki utendaji hata reasoning...very very poor

Nilijiuliza watu kama hao wanapitaje kwenye interview au ndio zile kushikwa mkono...
Yaan nilijiuliza kuna vijana wengi smart na wenye sifa za kua pale ambao nawa fahamu ila wanauza mitumba karume, Tandika,Tandale na Rangi tatu mbagala...This world is not fair

Naungana na prof. Assad kua asilimia 80% ya watumishi uwezo wao mdogo kiutendaji
Uwezo wao mdogo pia unatokana na uwezo wa viongozi wao, kuna thread huko inaelezea meneja mmoja temeke alivyo corrupt ila kwa sababu ya kujuana yupo hapo alipo,
Uongozi mpya kata hilo shina haraka sana.
Hiyo thread imeelezea vizuri sana sjui kwanini watu hawatiririki wanaishia kulalama tu.
 
Sio mambo ya chini chini mkuu. Chuki zake anazisema kwenye vikao rasmi kabisa na watendaji wa shirika, yaani hao ma HR akiamini ni watu wa imani moja na yeye. Anatamka wazi kabisa "hizo shungi zifagieni zote pelekeni Halmashauri mnawaacha hapa wanini?".

Bahati nzuri wengine ni watu wa imani na hawapendi uonevu japo una wa favor watu wa imani yao na ndio wanapenyeza habari kumuhusu huyo mama. Kwa ujumla udini wa mama Mhagama umepitiliza na hata kikiundwa chombo kufatilia ni rahisi mno kuthibitisha
Sio mambo ya chini chini mkuu. Chuki zake anazisema kwenye vikao rasmi kabisa na watendaji wa shirika, yaani hao ma HR akiamini ni watu wa imani moja na yeye. Anatamka wazi kabisa "hizo shungi zifagieni zote pelekeni Halmashauri mnawaacha hapa wanini?".

Bahati nzuri wengine ni watu wa imani na hawapendi uonevu japo una wa favor watu wa imani yao na ndio wanapenyeza habari kumuhusu huyo mama. Kwa ujumla udini wa mama Mhagama umepitiliza na hata kikiundwa chombo kufatilia ni rahisi mno kuthibitisha hili
Kwa hiyo anaishi na boss wake kinafki, sababu na boss wake wa sasa anavaa hiyo shungi, ngoja tuone wakati ni ukuta
 
Kuna kitu ameogopa kukitaja ambacho ndio kiini cha Uzi wake,ambacho si kingine bali Udini.
ulichosema ni ukweli udini udini udini ndio tatizo kubwa kwenye hilo shirika la NSSF hoja nyingi wanazoanika apa ni zina masilahi ya dini za watu lakini wanasahau Kuwa dini zilikuja na meli tu
 
Watu wamekaa ofisini miaka 2 na zaidi wanajitolea afu uite watu wapya? Gharama zinginr hizi mnazitaka wenyewe. Wanaojitolea ndio waajiriwe hao hao. Hapa ofisini kwetu kuna madogo wa Intern kutoka TAESA yaan wanajituma sana mwaka jana taasisi imeajiri watu wapya kabisa wakati hawa vijana wapo na wanajua kazi, sio haki kabisa. Binafsi ningeanza ma hao wanaojitolea kuwaajiri wote kisha nirudi mtaani, kwanza tayari wanajua kazi, hivyo kupunguza gharama za training na vitu kibao.
Tuwe positive katika mambo mengi kwann alyways tunawawazia wenzetu kuwa wala Rushwa?
Ajabu komenti hii haina LIKES
 
Julian Assange The Whistle Blower,Alishawai kusema kwamba Taifa lolote ambalo halina wapaza sauti KWA maslahi ya wengi basi ni Taifa legelege,

Nimefanikiwa kuipata inside story isiyo na mashaka hata chembe kutoka ndan ya shirika la Taifa la hifadh ya jamii Nssf hakika kweli sikio la kufa haliskii dawa..!Kwan hapo Nssf kuna nini kinachowafanya msitulie na kufanya kazi ya kujenga Taifa,mashirika ya umma yako mengi Sana,why always muwe kwenye headlines za mitandao ya kijamii?

Mkurugenzi Mkuu ndugu Masha,tafadhali kaa chonjo na Director of human resources and admistration Julius Kamuganga,na Manager wa Human resources Leah Mahali,wamechomeka hoja ya kibali Cha ajira takriban 271 za watu ambao wapo hapo Nssf wakifanya temporary Jobs,Hoja hiyo bila shaka iliwepo tokea enzi za William Erio na kuondoka kwake ghafla ndan ya shirika hilo kabla ya kufanikisha KWA mpango huo umewaacha wengi wa watu wao njia panda Sana.

Mkurugenzi huyo wa utawala hivi sasa yupo hapa Dodoma akihaha kwenye corridor za Katibu Mkuu wa utumishi akijaribu kufanya kila awezalo Ili kufanikisha nia hiyo,

Kumbuka william Erio alipofika hapo NSSF alikuja na ajenda kubwa ya kuwaondoa staffs wengi waliopo Nssf na kuwapeleka kwenye halmashauri mbali mbali na taasisi zingine kinyume na utaratibu Ili aweze kupata nafasi ya kuwaweka hao temporary staffs na kuwaleta wengine wengi ambao alitoka nao PPF.

Nia hiyo Ovu ya Kamuganga na Leah Mahali ni ya kupiga vita na kulaaniwa vikali Sana.

Vijana wengi wapo mtaani hawana kazi,na wapo ambao wapo competent kwanin ajira nyingi kama hizo 271 zisitangazwe KWA uwazi na hawa vijana waliopo huku mitaani wakagombania hizo nafasi fairly?

Iweje wanapeleka hoja ya kuwajir watu wengi hivyo kinyemela huku wakijua fika makosa katika maadili ya utumishi wa umma na ajira KWA ujumla?

Nasikia wanafanya vitu vya hovyo sana hapo,wamechukuwa watu ambao wapo temporary kisha wanawapa promotions without confirmation huo ni utaratibu wa wapi wanautumia.

Leah Mahali ameshiriki kuwaondoa mameneja takriban 12 ambao walikuwa ni staffs wa NSSF kinyume na utaratibu na wengine kuwapeleka halmshaur mbali mbali ambako hadi hivi leo yasemekana wanalipwa na payroll ya hapo hapo Nssf.

Taarifa zinasema kwamba anachukua hadi Rushwa Ili aweze kuwapa promotions baadhi ya watu mfano aliekawa muhasibu mwanza amehonga pesa nyingi KWA Leah Mahali then akafanya lobbying na kupewa Kuwa Regional manager Mbeya,mwingine aliekawa senior officer rukwa amehonga pesa KWA njia hizo hizo na kupewa Regional Manager Katavi,ni taarifa zisizo na shaka na ikibid Takukuru waliangalie suala hilo.

Ndug Masha,MKURUGENZI MKUU KWA taarifa zako za utendaji unaonekana ni mtu mwenye weledi mkubwa, mchamungu,usiependa majungu,makundi,Rushwa,dhulma,unyanyasi na upendeleo.

Simama katika misngi yako kama hiyo bila shaka yoyote huwezi kuyumba,umeaminiwa na kupewa nafasi kubwa kama hiyo kutokana na weledi wako,Huyo Mkurugenzi wa utawala Kamuganga na huyo manager wake Leah Mahali wanakuingiza shimoni,tuliza akili yako tafuta team yako ambayo haitaendekeza majungu na migogoro.

Hizo Ajira ambazo wanataka kuzitoa KWA upendeleo tafadhal kama kweli basi zitangazwe KWA uwazi vijana wenye sifa waombe na ufanyike usaili wa haki bila upendeleo wa aina yoyote.

KWA hali ilivyo hao jamaa hutaweza fanya nao kazi hata kidogo,hujamaliza hata mwez nadhan tokea umeteuliwa lakin wameshaanza choko choko za kutaka kukukwamisha na kukutoa kwenye reli,kaa kwa TAHADHARI kubwa sana.

Weka misingi imara na ya haki Ili uweze kuonesha tofauto baina yako na watu failures na wenye Roho Mbaya Mbaya kama william Erio.

William Erio ni homeboy kabisa ni mmakuwa wa hapa jiran masasi,ila namjua Ana roho mbaya sana na namshangaa mtu gani wa kusini Ana kuwa na roho ya kukunja kama yeye,na siku zote mtu mwenye roho mbaya mwisho wake unakuwa ni wa aibu, tafadhal usifuate legacy mbovu kama ya william Erio hapo Nssf,tenda haki Ili uongoze kwa amani.
Whistle brower ni wazi inaonekana una data za kutosha kuhusu ili, wasiwasi wangu ni kwamba, ikiwa huu mchezo unaanzia HRDPT nachelea kusema kwamba wafate tu proccedure ya kutangaza lakini hakutakuwa na fairnes kwenye ajira. Unless watumie recruitment agencies
 
Whistle brower ni wazi inaonekana una data za kutosha kuhusu ili, wasiwasi wangu ni kwamba, ikiwa huu mchezo unaanzia HRDPT nachelea kusema kwamba wafate tu proccedure ya kutangaza lakini hakutakuwa na fairnes kwenye ajira. Unless watumie recruitment agencies
Hawa majamaa yalotoka ppf yalitaka kuua nssf kama walivypua ppf,
 
Hi show ya sasa hivi anaisimamia mwnyewe Waziri mwenye dhamana ya ajira, yaani Jesista Mhagama. Mkurugenzi pamoja na Meneja wa HR wanatumika tu katika kutekeleza agenda ovu ya "kufagia" watu kibaguzi. Kuna nepotism ya hali ya juu na udini uliotukuka sio tu katika ajira mpya hapo NSSF bali hata kwenye silent reshuffle iliyokua imeasisiwa na Erio
Fafanua hapo kwenye udini...wakati wa Dau udini ulimaanisha upendeleo kwa waisilamu, sasa Dau hayupo udini huu ni upendeleo kwa watu wa dini ipi.....?
 
Watu wamekaa ofisini miaka 2 na zaidi wanajitolea afu uite watu wapya? Gharama zinginr hizi mnazitaka wenyewe. Wanaojitolea ndio waajiriwe hao hao. Hapa ofisini kwetu kuna madogo wa Intern kutoka TAESA yaan wanajituma sana mwaka jana taasisi imeajiri watu wapya kabisa wakati hawa vijana wapo na wanajua kazi, sio haki kabisa. Binafsi ningeanza ma hao wanaojitolea kuwaajiri wote kisha nirudi mtaani, kwanza tayari wanajua kazi, hivyo kupunguza gharama za training na vitu kibao.
Tuwe positive katika mambo mengi kwann alyways tunawawazia wenzetu kuwa wala Rushwa?
Kwani sheria za ajira zinasemaji mkuu.mbona unaleta maoni wkt kunasheria na kanuni.kwanini zisifuatwe.
 
Julian Assange The Whistle Blower,Alishawai kusema kwamba Taifa lolote ambalo halina wapaza sauti KWA maslahi ya wengi basi ni Taifa legelege,

Nimefanikiwa kuipata inside story isiyo na mashaka hata chembe kutoka ndan ya shirika la Taifa la hifadh ya jamii Nssf hakika kweli sikio la kufa haliskii dawa..!Kwan hapo Nssf kuna nini kinachowafanya msitulie na kufanya kazi ya kujenga Taifa,mashirika ya umma yako mengi Sana,why always muwe kwenye headlines za mitandao ya kijamii?

Mkurugenzi Mkuu ndugu Masha,tafadhali kaa chonjo na Director of human resources and admistration Julius Kamuganga,na Manager wa Human resources Leah Mahali,wamechomeka hoja ya kibali Cha ajira takriban 271 za watu ambao wapo hapo Nssf wakifanya temporary Jobs,Hoja hiyo bila shaka iliwepo tokea enzi za William Erio na kuondoka kwake ghafla ndan ya shirika hilo kabla ya kufanikisha KWA mpango huo umewaacha wengi wa watu wao njia panda Sana.

Mkurugenzi huyo wa utawala hivi sasa yupo hapa Dodoma akihaha kwenye corridor za Katibu Mkuu wa utumishi akijaribu kufanya kila awezalo Ili kufanikisha nia hiyo,

Kumbuka william Erio alipofika hapo NSSF alikuja na ajenda kubwa ya kuwaondoa staffs wengi waliopo Nssf na kuwapeleka kwenye halmashauri mbali mbali na taasisi zingine kinyume na utaratibu Ili aweze kupata nafasi ya kuwaweka hao temporary staffs na kuwaleta wengine wengi ambao alitoka nao PPF.

Nia hiyo Ovu ya Kamuganga na Leah Mahali ni ya kupiga vita na kulaaniwa vikali Sana.

Vijana wengi wapo mtaani hawana kazi,na wapo ambao wapo competent kwanin ajira nyingi kama hizo 271 zisitangazwe KWA uwazi na hawa vijana waliopo huku mitaani wakagombania hizo nafasi fairly?

Iweje wanapeleka hoja ya kuwajir watu wengi hivyo kinyemela huku wakijua fika makosa katika maadili ya utumishi wa umma na ajira KWA ujumla?

Nasikia wanafanya vitu vya hovyo sana hapo,wamechukuwa watu ambao wapo temporary kisha wanawapa promotions without confirmation huo ni utaratibu wa wapi wanautumia.

Leah Mahali ameshiriki kuwaondoa mameneja takriban 12 ambao walikuwa ni staffs wa NSSF kinyume na utaratibu na wengine kuwapeleka halmshaur mbali mbali ambako hadi hivi leo yasemekana wanalipwa na payroll ya hapo hapo Nssf.

Taarifa zinasema kwamba anachukua hadi Rushwa Ili aweze kuwapa promotions baadhi ya watu mfano aliekawa muhasibu mwanza amehonga pesa nyingi KWA Leah Mahali then akafanya lobbying na kupewa Kuwa Regional manager Mbeya,mwingine aliekawa senior officer rukwa amehonga pesa KWA njia hizo hizo na kupewa Regional Manager Katavi,ni taarifa zisizo na shaka na ikibid Takukuru waliangalie suala hilo.

Ndug Masha,MKURUGENZI MKUU KWA taarifa zako za utendaji unaonekana ni mtu mwenye weledi mkubwa, mchamungu,usiependa majungu,makundi,Rushwa,dhulma,unyanyasi na upendeleo.

Simama katika misngi yako kama hiyo bila shaka yoyote huwezi kuyumba,umeaminiwa na kupewa nafasi kubwa kama hiyo kutokana na weledi wako,Huyo Mkurugenzi wa utawala Kamuganga na huyo manager wake Leah Mahali wanakuingiza shimoni,tuliza akili yako tafuta team yako ambayo haitaendekeza majungu na migogoro.

Hizo Ajira ambazo wanataka kuzitoa KWA upendeleo tafadhal kama kweli basi zitangazwe KWA uwazi vijana wenye sifa waombe na ufanyike usaili wa haki bila upendeleo wa aina yoyote.

KWA hali ilivyo hao jamaa hutaweza fanya nao kazi hata kidogo,hujamaliza hata mwez nadhan tokea umeteuliwa lakin wameshaanza choko choko za kutaka kukukwamisha na kukutoa kwenye reli,kaa kwa TAHADHARI kubwa sana.

Weka misingi imara na ya haki Ili uweze kuonesha tofauto baina yako na watu failures na wenye Roho Mbaya Mbaya kama william Erio.

William Erio ni homeboy kabisa ni mmakuwa wa hapa jiran masasi,ila namjua Ana roho mbaya sana na namshangaa mtu gani wa kusini Ana kuwa na roho ya kukunja kama yeye,na siku zote mtu mwenye roho mbaya mwisho wake unakuwa ni wa aibu, tafadhal usifuate legacy mbovu kama ya william Erio hapo Nssf,tenda haki Ili uongoze kwa amani.
Mi sina shida na ajira mpya kama ni za halali. Ujinga ni wa yule Erio kutoa watu ambao walikuwa wazuri sana na kuweka ma boyoyo.

Erio hakutaka challenge yoyote na ndio maana aliamini kufanya kazi na watu wake tu na anawowajua hawawezi kuhoji.

Na aliweka watu wenye average ability kwenye serious positions ili atimize malengo yake yakiwemo na upigaji.
 
Masha kuwa makini na hawa waletaji taarifa na wanaokuelekeza kazi, wengi wao ni timu Dau wale wasiopenda kazi vilaza na wanaoendeleza majungu , makundi, udini na fitina. Kipindi cha Dau NSSF ajira zilikua ni kwa waislamu pesa za wanachama wa nssf zilikua zinatumika kujenga misikiti nchini kote na Kufadhili taasisi za kiisilamu , kusomesha waisalmu na kufadhili Miradi yote ya waislamu ikiwemo kufadhili safari za hija na ugaidi kule kusini, kuwa makini Masha MSHOMBA hawa wadini Hawakupendi wanataka kukuharibia kazi kwa kukupa maelekezo kila siku ukiwasikiliza utapotea wewe kazi yako unaijua na huitaji maelekezo, OVER
Dau uwezi kumlinganisha na Erio wewe by any standard.

Hakuna alichokifanya Erio zaidi kafanya shuguli nyingi kusimama na kusababisha hasara.

Ipo siku kuna mtu atarudishwa kujibu.
 
Julian Assange The Whistle Blower,Alishawai kusema kwamba Taifa lolote ambalo halina wapaza sauti KWA maslahi ya wengi basi ni Taifa legelege,

Nimefanikiwa kuipata inside story isiyo na mashaka hata chembe kutoka ndan ya shirika la Taifa la hifadh ya jamii Nssf hakika kweli sikio la kufa haliskii dawa..!Kwan hapo Nssf kuna nini kinachowafanya msitulie na kufanya kazi ya kujenga Taifa,mashirika ya umma yako mengi Sana,why always muwe kwenye headlines za mitandao ya kijamii?

Mkurugenzi Mkuu ndugu Masha,tafadhali kaa chonjo na Director of human resources and admistration Julius Kamuganga,na Manager wa Human resources Leah Mahali,wamechomeka hoja ya kibali Cha ajira takriban 271 za watu ambao wapo hapo Nssf wakifanya temporary Jobs,Hoja hiyo bila shaka iliwepo tokea enzi za William Erio na kuondoka kwake ghafla ndan ya shirika hilo kabla ya kufanikisha KWA mpango huo umewaacha wengi wa watu wao njia panda Sana.

Mkurugenzi huyo wa utawala hivi sasa yupo hapa Dodoma akihaha kwenye corridor za Katibu Mkuu wa utumishi akijaribu kufanya kila awezalo Ili kufanikisha nia hiyo,

Kumbuka william Erio alipofika hapo NSSF alikuja na ajenda kubwa ya kuwaondoa staffs wengi waliopo Nssf na kuwapeleka kwenye halmashauri mbali mbali na taasisi zingine kinyume na utaratibu Ili aweze kupata nafasi ya kuwaweka hao temporary staffs na kuwaleta wengine wengi ambao alitoka nao PPF.

Nia hiyo Ovu ya Kamuganga na Leah Mahali ni ya kupiga vita na kulaaniwa vikali Sana.

Vijana wengi wapo mtaani hawana kazi,na wapo ambao wapo competent kwanin ajira nyingi kama hizo 271 zisitangazwe KWA uwazi na hawa vijana waliopo huku mitaani wakagombania hizo nafasi fairly?

Iweje wanapeleka hoja ya kuwajir watu wengi hivyo kinyemela huku wakijua fika makosa katika maadili ya utumishi wa umma na ajira KWA ujumla?

Nasikia wanafanya vitu vya hovyo sana hapo,wamechukuwa watu ambao wapo temporary kisha wanawapa promotions without confirmation huo ni utaratibu wa wapi wanautumia.

Leah Mahali ameshiriki kuwaondoa mameneja takriban 12 ambao walikuwa ni staffs wa NSSF kinyume na utaratibu na wengine kuwapeleka halmshaur mbali mbali ambako hadi hivi leo yasemekana wanalipwa na payroll ya hapo hapo Nssf.

Taarifa zinasema kwamba anachukua hadi Rushwa Ili aweze kuwapa promotions baadhi ya watu mfano aliekawa muhasibu mwanza amehonga pesa nyingi KWA Leah Mahali then akafanya lobbying na kupewa Kuwa Regional manager Mbeya,mwingine aliekawa senior officer rukwa amehonga pesa KWA njia hizo hizo na kupewa Regional Manager Katavi,ni taarifa zisizo na shaka na ikibid Takukuru waliangalie suala hilo.

Ndug Masha,MKURUGENZI MKUU KWA taarifa zako za utendaji unaonekana ni mtu mwenye weledi mkubwa, mchamungu,usiependa majungu,makundi,Rushwa,dhulma,unyanyasi na upendeleo.

Simama katika misngi yako kama hiyo bila shaka yoyote huwezi kuyumba,umeaminiwa na kupewa nafasi kubwa kama hiyo kutokana na weledi wako,Huyo Mkurugenzi wa utawala Kamuganga na huyo manager wake Leah Mahali wanakuingiza shimoni,tuliza akili yako tafuta team yako ambayo haitaendekeza majungu na migogoro.

Hizo Ajira ambazo wanataka kuzitoa KWA upendeleo tafadhal kama kweli basi zitangazwe KWA uwazi vijana wenye sifa waombe na ufanyike usaili wa haki bila upendeleo wa aina yoyote.

KWA hali ilivyo hao jamaa hutaweza fanya nao kazi hata kidogo,hujamaliza hata mwez nadhan tokea umeteuliwa lakin wameshaanza choko choko za kutaka kukukwamisha na kukutoa kwenye reli,kaa kwa TAHADHARI kubwa sana.

Weka misingi imara na ya haki Ili uweze kuonesha tofauto baina yako na watu failures na wenye Roho Mbaya Mbaya kama william Erio.

William Erio ni homeboy kabisa ni mmakuwa wa hapa jiran masasi,ila namjua Ana roho mbaya sana na namshangaa mtu gani wa kusini Ana kuwa na roho ya kukunja kama yeye,na siku zote mtu mwenye roho mbaya mwisho wake unakuwa ni wa aibu, tafadhal usifuate legacy mbovu kama ya william Erio hapo Nssf,tenda haki Ili uongoze kwa amani.
Mwenye namba za simu za Leah Mahali, Tafadhali nitumie.
 
19 Reactions
Reply
Back
Top Bottom