Jana nimekutana na akina mama kadhaa wametoka nchi jirani wanasema wamekuja TZ mkeshani sikuelewa kama ni event kubwa hiviBwana Yesu asifiwe?
Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo mengine kwa uweza wa Bwana Yesu.
Nimeona nikuwekee tukio hili kwasababu siyo kongamano dogo, uwanja umejaa kabisa. Kongamano hili lipo live kupitia channel ya ARISE AND SHINE TV. Jiungamanishe nawe uvuke na chako.
=========
Mpaka saa 22:42 apostle Mwamposa alikuwa hajapanda kwenye madhabahu yaliyoandaliwa katika uwanja wa mpira wa Benjamin Mkapa, ila kwaya na ahuhuda , sadaka na matangazo ya kawaida yalikuwa yanaendelea
======
23:10 Apostle Mwamposa aliwasili na kuanza ya Mkesha kwa kufugua na sala ya BABA YETU ULIYE MBINGUNI
View attachment 2449383View attachment 2449384View attachment 2449383
View attachment 2449385
Na mama yako wewe ni nani?Mama yako ni shemasi wetu
Akili ya kuingia chumviniAcha up..umbavu wewe..
Mimi nina akili kinoma..siwezi kuchotwa kibwege hivo..
Na ukiona mkeo ameanza kuwasikiliza hawa jamaa kama mali zako uliziandika randomly kwa mtiririko wa kifamilia kaa chini tulia ziandikie vizuri maana muda wowote mnaweza kugawana vitu.
Makadirio ya chini ni 120000000.Hivi wanatoa sadaka? If so, kama level seat ni 60,000 na nilivyoona hapo ni kama Mkapa Stadium ipo full.
Just imagine kila mtu atoe walau 1,000 zidisha kwa watu 60,000...dadeq kweli mwenye nacho hupewa zaidi. A minimum of 60,000,000 Tsh.
Aliye nacho anazidi kuongezewa.
Sio pesa tu.. Atabeba nyota za watu wengi Sana leo... Kweli wajinga ndio waliwao...Jamaa leo atapiga pesa ndefu sana
Kwa hio ambao hatujaenda hatuvuki na wapenzi wetuJana aliniambia atakuwa huko nikamuuliza VUKA NA CHAKO lengo lake ni nini
Akaniambia mfano kuvuka na uzima, kazi, mume, mke, nyumba, mavuno, afya, cheo kazini, ujenzi n.k
Nikaona huyu mwamba kawateka wanawake. Hawa viumbe ni rahisi sana kudanganyika aisee.
Hio Ni pesa ya bwanaMakadirio ya chini ni 120000000.
Mafuta chupa 1. 60000000
Maji chupa 1. 60000000.
Ukitoa gharama za kuendesha kongamano milioni 30. Anabakiwa na milioni 90. Mfukoni
Sio pesa tu.. Atabeba nyota za watu wengi Sana leo... Kweli wajinga ndio waliwao...
Dishi Kama dishiTunapokea Kibali cha Upako hapa mkuu.
Kumtaja kristo sio jambo rahisi.
Utajuaje mtu anayemtaja kristo ni tapeli na mungo?
Dini ni imani mfano yeye akimtaja kristo ,sisi tunaamini hivyo hata kama yeye kichwani anaamini kristo wake wa duniani.
Somo refu Sana... Nakushauri fuatilia masomo ya mtumishi mmoja anaitwa Katekela, yuko U tube alikuwa huko walioko hao.... A najua mambo mengi Sana ya ulimwengu wa roho na tricky wanazotumia kuteka watu wengi wa munguNyota zinabebwaje? Hivi nyota inaweza kuchukuliwa?Na inarudi vipi?
wapo waliyoenda kumrhangaa mwamposa na timu yake ya ukusanyaji pesa na wapo waliyoenda kwa imani .Lijamaa ni billionea haswa si yule shila hafikii hapo.Bwana Yesu asifiwe?
Bila shaka asilimia 70 ya watanzania wamchao Mungu, muda huu wenye tvs watakuwa live kufuatilia kongamano kubwa la VUKA NA CHAKO ikiwa ni maono ya mtumishi Boniphace Mwamposa yenye maudhui ya kuupokea mwaka mpya ukiwa tayari umeshapokea Baraka, uponyaji, Rehema na Mambo mengine kwa uweza wa Bwana Yesu.
Nimeona nikuwekee tukio hili kwasababu siyo kongamano dogo, uwanja umejaa kabisa. Kongamano hili lipo live kupitia channel ya ARISE AND SHINE TV. Jiungamanishe nawe uvuke na chako.
=========
Mpaka saa 22:42 apostle Mwamposa alikuwa hajapanda kwenye madhabahu yaliyoandaliwa katika uwanja wa mpira wa Benjamin Mkapa, ila kwaya na ahuhuda , sadaka na matangazo ya kawaida yalikuwa yanaendelea
======
23:10 Apostle Mwamposa aliwasili na kuanza ya Mkesha kwa kufugua na sala ya BABA YETU ULIYE MBINGUNI
View attachment 2449383View attachment 2449384View attachment 2449383
View attachment 2449385