jmushi1
Platinum Member
- Nov 2, 2007
- 24,990
- 22,523
Hicho kitabu cha kurasa 15 kina chapters ngapi? Kwi kwi kwi!
Usikute ni makosa ya mwandishi...Mimi nadhani its more politics,na kimeharakishwa sana kabla ya 2010 na mara tu baada ya resignation ya wadhifa wake wa uwaziri mkuu...Kuandika kitabu huchukuwa muda,na kwasababu muda ni mfupi kutoka time aliyojiuzulu,kwenda Israel na hadi uchaguzi mkuu 2010,basi si ajabu wameamua kuchapisha na ku publish baada ya kurasa 15 tu...Wenye uwezo watuwekee copy hapa ama walau summary maana sidhani kama ni big deal ukizingatia kurasa 15 bila double spacing siyo mbaya.
Usikute ni makosa ya mwandishi...Mimi nadhani its more politics,na kimeharakishwa sana kabla ya 2010 na mara tu baada ya resignation ya wadhifa wake wa uwaziri mkuu...Kuandika kitabu huchukuwa muda,na kwasababu muda ni mfupi kutoka time aliyojiuzulu,kwenda Israel na hadi uchaguzi mkuu 2010,basi si ajabu wameamua kuchapisha na ku publish baada ya kurasa 15 tu...Wenye uwezo watuwekee copy hapa ama walau summary maana sidhani kama ni big deal ukizingatia kurasa 15 bila double spacing siyo mbaya.