johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,023
- 142,067
Askofu Dr Malasusa amesema katika ushuhuda mwingi wa Edward Lowasa ni pamoja na kuwa ni Mtu wa Ibada
" Wengi hawajui Kuwa mama Regina Lowassa ni Mkatoliki kweli kweli hata jana Padre amenipigia Simu kuniomba Wakafanye Ibada nyumbani kwa Lowassa" amesema Askofu Malasusa
Malasusa amesema si vema Watu ambao hawakutaka kuja Kanisani kuletwa Kanisani wakiwa kwenye Majeneza hivyo akampongeza Lowassa kwa kuwa mtu Ibada na akawaomba Wampigie makofi
" Wengi hawajui Kuwa mama Regina Lowassa ni Mkatoliki kweli kweli hata jana Padre amenipigia Simu kuniomba Wakafanye Ibada nyumbani kwa Lowassa" amesema Askofu Malasusa
Malasusa amesema si vema Watu ambao hawakutaka kuja Kanisani kuletwa Kanisani wakiwa kwenye Majeneza hivyo akampongeza Lowassa kwa kuwa mtu Ibada na akawaomba Wampigie makofi