Mke wa Lowassa azindua kitabu

Sir Augustine,
Wachangiaji wengi wanamlaumu Lowassa na Pengo, Regina, ni circumstantial victim! lau asingekuwa mke wa fisadi au Polycap angewashambulia mafisadi, yasengemkuta haya!
 
Mazee sidhani kabisa kama nimepotoka, naamini kabisa mtetea mafisadi nae ni fisadi, hawa viongozi wa dini nadhani wanaelewa fika ujambazi na ufisadi wa Lowassa na wao bila ya aibu wakaamua kwenda kubariki uzinduzi wa hiki kitabu na wengine hadi kufikia kukemea mambo ya kusulubiana yanayoendelea nchini akimaanisha kama vile Lowassa ni mtu safi ambaye amechafuliwa na wabaya wake. Sijawadhalilisha kabisa nadhani wenyewe ndio wamejidhalilisha mbele ya jamii ya Watanzania kwa kuamua kwenda kubariki kitabu cha Mke wa Fisadi Lowassa hasa ukichukulia wao ni viongozi wa dini wanaoheshimiwa nchini.

Msimamo wangu wa kupinga wote wanaotetea mafisadi hautobadilika hata huyo mhusika awe Kadinali, Sheikh Mkuu, Mchungaji, Rabbi au Askofu. Fisadi ni Fisadi tu na mnatetea mafisadi nae ni fisadi tu.

HYPOCRISY OF THE HIGHEST ORDER, basi tukana kila kiongozi wa Tanzania kuwa ni fisadi. Badala ya kutumia forum constructively unakuja kutukana watu? Woooooote!

Mke gani wa kiongozi Tanzania ameandika hata kitabu cha pg 2?? Leta evidence moja ya ufisadi wa lowassa, mimi nitakulipia gharama zote mahakamani, tuache huu unafiki wa siasa. Tunabaki kusema kila mtu amenunuliwa, tunalidhalilisha taifa letu, hamna kingine tuna-achieve. Lets discuss issues.

Watu wanthubutu hata kutukana viongozi wa dini, wao wanatujua wote matatizo yetu, na kufanya waliyofanya ni ujumbe wa kutafakari, siyo matusi.
 
Kuna vitu vinachanganywa hapa,ni kama kuna baadhi wanataka kurestrict mjadala ubakie kwa mtunzi wa kitabu na maudhui yake.Wanasahau kuwa thread zina behavior ya ku_evolve.Na katika hili what catches majority attention ni matamko waliyoyatoa hao 'walisha kondoo'.Hapo ndipo palipoanza utata.Na hizo kurasa 15 si ni kama karatasi 8 hivi given that they are printed on both pages!
 
HYPOCRISY OF THE HIGHEST ORDER, basi tukana kila kiongozi wa Tanzania kuwa ni fisadi. Badala ya kutumia forum constructively unakuja kutukana watu? Woooooote!

Mke gani wa kiongozi Tanzania ameandika hata kitabu cha pg 2?? Leta evidence moja ya ufisadi wa lowassa, mimi nitakulipia gharama zote mahakamani, tuache huu unafiki wa siasa. Tunabaki kusema kila mtu amenunuliwa, tunalidhalilisha taifa letu, hamna kingine tuna-achieve. Lets discuss issues.

Watu wanthubutu hata kutukana viongozi wa dini, wao wanatujua wote matatizo yetu, na kufanya waliyofanya ni ujumbe wa kutafakari, siyo matusi.

Mkuu unataka tudiscuss issues zipi? Hii kwako huoni ni issue?
 
JF mnamsulubu Regina kwa "dhambi" ya Edward. Regina ni Mwanakondoo wa Kardinali Pengo. Ni Mkatoliki anayefuata dini yake kwa jitihada kubwa. Mchungaji Mwema huenda kwenye hafla ya mwanakondoo wake, hata kama hafla yenyewe ni ya kuzindua kitabu kidogo sana. Mnamsulubu Pengo kwa kumtembelea Muumini wake?


Mkuu unasahau lile andiko ya kuwa mume na mke ni mwili mmoja..
 
HYPOCRISY OF THE HIGHEST ORDER, basi tukana kila kiongozi wa Tanzania kuwa ni fisadi. Badala ya kutumia forum constructively unakuja kutukana watu? Woooooote!

Mke gani wa kiongozi Tanzania ameandika hata kitabu cha pg 2?? Leta evidence moja ya ufisadi wa lowassa, mimi nitakulipia gharama zote mahakamani, tuache huu unafiki wa siasa. Tunabaki kusema kila mtu amenunuliwa, tunalidhalilisha taifa letu, hamna kingine tuna-achieve. Lets discuss issues.

Watu wanthubutu hata kutukana viongozi wa dini, wao wanatujua wote matatizo yetu, na kufanya waliyofanya ni ujumbe wa kutafakari, siyo matusi.
Kuna viongozi ambao wako safi na si majambazi wala hawafanyi ufisadi lakini wote tunajua kwamba Lowassa ni Jambazi na Fisadi Mkuu nchini Tanzania nadhani hilo hata wewe unajua. Ni bora angeitumia hiyo nafasi ya kwenda nchi takatifu ya Israel kutubu dhambi zake ambapo pia ingehusisha kurudisha mali zote za watanzania ambazo kwa miaka mingi amekuwa akiwaibia ili kushibisha tumbo lake na familia yake. Hatuna shida ya kusoma kitabu chake na mke wake, bali tunachotaka na urudishwaji wa mali zote na rasilimali za Tanzania ambazo amejilimbikizia.

Kauli ya Polycard Pengo ina ujumbe gani wa kutafakari zaidi ya kuhalalisha na kubariki udhalimu unaofanywa na hawa majambazi na mafisadi, hebu tupe maana ya ujumbe wa Polycard Pengo kuhusu watanzania kuacha kusulubiana. Maneno yote yale ni kutaka kumtetea na kumsafisha Jambazi Lowassa.

Majambazi na Mafisadi kama kina Lowassa na wapambe wao wako kila kona nchini mwetu kuanzia magazetini, maofisini, mitandaoni, makanisani na misikitini na tutapambana nao kila eneo.
 
namjua huyo mama ni mcha Mungu.....sana,ila alikuwa hana jinsi kumshauri EL kuachana na ufisadi na kuiba mipesa...hata Richmonduli mama alikwenda kulia kwa tume wamsaidie mumewe ili tume isitoe kila kituu....hadharani.....
 
Kuna vitu vinachanganywa hapa,ni kama kuna baadhi wanataka kurestrict mjadala ubakie kwa mtunzi wa kitabu na maudhui yake.Wanasahau kuwa thread zina behavior ya ku_evolve.Na katika hili what catches majority attention ni matamko waliyoyatoa hao 'walisha kondoo'.Hapo ndipo palipoanza utata.Na hizo kurasa 15 si ni kama karatasi 8 hivi given that they are printed on both pages!

Mama kaandika kitabu chake kwa nia njema, na badala ya kumpongeza wengine wameamua kumsakama. Hiki kitabu kina kurasa 41 zilizochapishwa pande zote, zikiwemo 1.5 ya acknowledgements, 2 za foreword, 2 za preamble na 37 ndiyo zenye maudhui: chapter 1 hadi chapter 6. Mpongezeni kajitahidi. Nahitimisha kwa kuqote vision ya kitabu hiki, kwa maono ya muandishi: "Regina's delight and insipiration is to illuminate desires of readers of this book and hopefully inspire them"
 
jamani hapa tuongee ukweli...kila nyuma ya mwanaume/mke mwenye mafanikio/matatizo kuna mwanaume/mwanamke aliyesimamia mafanikio/matatizo hayo...mama regina yupo nyuma ya hayo yote mema na mabaya ya mmewe...FULL STOP....turudi kwenye hoja nyingine...sasa naanza kuhoji uongozi na mamlaka waliyonayo hawa maaskofu wetu kama kweli vinatoka kwa MUNGU ALIYE HAI....hivi kweli pengo na mwenzie wamekosa hata kituo caha kutembelea watoto yatima na kuwafariji wakaamua kwenda mafisadi?....na hata kama zingekuwa page 1500..nini umuhimu wa hawa viongozi wa dini kuwapo hapo?...na hicho kitabu kama ni cha kiroho kwanini uzinduzi usifanywe kanisani kwao????....hawa viongozi wa dini waige mfano wa desmond tutu...hasa huyu wetu pengo ndio naona yupo na mafisadi utadhani ni masista wa jimboni kwake.....anyway..AM OUT...ila inatia kinyaa kwa viongozi wetu wa dini kuwakumbatia wachafu na kuwasafisha kwa gharama yoyote ile
 
Hivi hii mijizi siku hizi ikishaiba inakimbilia makanisani kujidai kuwa ni wacha Mungu, kwanza alianza Mkapa kujifanya kuwa karudi kwa Mungu wake, na sasa mke wa L.owasa kwa niaba ya mzee mwenyewe....wauze vyote walivyonavyo na watugawie maskini tulio wengi ndio wamfuate Mungu.
 
Kuna haja ya kutohamaki. Gazeti limeandika “…kilikuwa na kurasa 15”. Inawezekana sana kwamba walikosea wakaandika 15 badala ya 150. It would not be the first time. Ni vema kuthibitisha kurasa zake kabla ya kumdharau Mwandishi.

JF mnamsulubu Regina kwa “dhambi” ya Edward. Regina ni Mwanakondoo wa Kardinali Pengo. Ni Mkatoliki anayefuata dini yake kwa jitihada kubwa. Mchungaji Mwema huenda kwenye hafla ya mwanakondoo wake, hata kama hafla yenyewe ni ya kuzindua kitabu kidogo sana. Mnamsulubu Pengo kwa kumtembelea Muumini wake?

Jiulizeni kama aliyeandika dibaji ni mjinga. Lazima kuna kitu kizito sana kwenye hicho kitabu au kijarida.

I would advise caution. Why insult the prelates before knowing anything about what is written in the book, encyclical, poster, letter or whatever? Don’t be quick to throw mud at others

Moshi:

Inapokuja kwenye mambo ya ndoa, watu wanatumia dini kusema kuwa wanandoa wamekuwa mwili mmoja na wasitengane. Kwenye ufisadi, Edward ana mwili wake na Regina ana mwili wake. Ningekubali hivyo iwapo angetembea kwa miguu kutoka Tanzania mpaka Israel. Lakini kwa sababu ametumia kipato ambacho kwa namna fulani kina mashaka, nitamweka katika kundi la yule aliyeambia kuacha utajiri na kufuata Yesu.
 
Mama kaandika kitabu chake kwa nia njema, na badala ya kumpongeza wengine wameamua kumsakama. Hiki kitabu kina kurasa 41 zilizochapishwa pande zote, zikiwemo 1.5 ya acknowledgements, 2 za foreword, 2 za preamble na 37 ndiyo zenye maudhui: chapter 1 hadi chapter 6. Mpongezeni kajitahidi. Nahitimisha kwa kuqote vision ya kitabu hiki, kwa maono ya muandishi: "Regina's delight and insipiration is to illuminate desires of readers of this book and hopefully inspire them"

Tunahamasa ya kukisoma, kinapatikana vipi?
 
Last edited:
..kwani ameandika nini kwenye kitabu chake?

..nadhani tunakuwa na haraka kidogo kuhukumu kabla ya kusoma kitabu chenyewe.

Nimesoma hicho kitabu ni kidogo tu ukurasa 6, page 37 tu. Ni diary yake ya Holy Land alipoenda na mme wake baada ya Mh kujiuzulu. Ni simple kusoma ila angeandika kwa Kiswahili ili wengi wafaidi.
 
It is after all, a forty one page diary. Not bad at all. Why did everybody believe that 15 page yarn! Ni kumsulubisha Regina kwa dhambi ya mwandishi wa habari!

The Lowasas have money other than what Edward may or may not have taken from the people. Is it not possible that they used those funds to visit the Holy Lands?

Kosa la Kardinali Pengo, Askofu Malasusa na viongozi wengine wa dini waliohudhuria hiyo hafla ni lipi hasa? Ni kosa kwa Askofu kuhudhuria sherehe ya muumini wake ya kuzindua kitabu cha dini?

Sidhani kama Kardinali alimaanisha watu wanamsulubu Mheshimiwa Lowasa "kwa dhambi ya wengine" kama baadhi yenu mnavyosema. Alimaanisha kwamba wako watu wanaomsulubu Mama Regina kwa "dhambi" ya wengine (possibly Edward).

Wanandoa ni mwili mmoja lakini sio roho moja. Akitenda dhambi mmoja sio kwamba wote wametenda dhambi. Kwa mfano, mmoja anaweza kuwa mwasherati wakati mwenziye hana hiyo dhambi.

Be humble fellows and apologies for all the nasty things that you have said about this woman of God.
 
Last edited:
The Lowasa's have money other than what Edward may or may not have taken from the people. Is it not possible that they used those funds to visit the Holy Lands?

Kosa la Kardinali Pengo, Askofu Malasusa na viongozi wengine wa dini waliohudhuria hiyo hafla ni lipi hasa? Ni kosa kwa Askofu kuhudhuria sherehe ya muumini wake ya kuzindua kitabu cha dini?

Sidhani kama Kardinali alimaanisha watu wanamsulubu Mheshimiwa Lowasa "kwa dhambi ya wengine" kama baadhi yenu mnavyosema. Alimaanisha kwamba wako watu wanaomsulubu Mama Regina kwa "dhambi" ya wengine (possibly Edward).

Wanandoa ni mwili mmoja lakini sio roho moja. Akitenda dhambi mmoja sio kwamba wote wametenda dhambi. Kwa mfano, mmoja anaweza kuwa mwasherati wakati mwenziye hana hiyo dhambi.

Be humble fellows and apologies for all the nasty things that you have said about this woman of God.

Mawazo kama ya huyu mtu hapo ndio yanafanya Maaskofu wafanye vituko kama hivi. Kina Pengo wanajua wana dili na watu wa aina gani. Sisi tunakaa hapa tunashangaa kuona Maaskofu wanaenda kujumuika kupaka mafuta mambo binafsi ya familia ya kiongozi aliyefukuzika kazi katika skandali la kifisadi kumbe wananchi wenzetu walaaaa, hawaoni tatizo hapo kabisa, japo hao Wachungaji nao hupiga piga kelele kuhusu ufisadi. Nadhani ukiwauliza Watanzania kuhusu tukio hili, majority yao watasema alichosema huyu mchangiaji.

Kuna siku wataamka, public awareness itaongezeka, ila kwa sasa hivi labda tuwaache wafu wazike wafu wao.
 
Jee nikiuliza, kanisa katoliki linataka kusafisha au lina safisha mafisadi ntakosea? au ndio hayo ya kuungama?
 
Dilunga,

Blind hatred serves no purpose. You seem to hate Mrs. Lowasa simply because you hate Mr. Lowasa. That is illogical.

Why, may I ask, is it wrong for a Bishop, indeed for a group of Bishops, to meet and celebrate the publishing of a motivational diary? Does the fact that the author is the wife of a disgraced PM lessen the importance of the diary?

What is Mrs. Lowasa's sin? Is it sinful to be married to a disgraced PM? Do you expect Bishops to refuse to attend book launchings by wives of sinners? If you do, then you do not know the first thing abut Christianity. Bishops, and indeed all Christians, "hate the sin but love the sinner"
 
Mimi hata sielewi.. hicho kitabu kinahusiana vipi na kujiuzulu kwa Lowassa? Je kina habari zozote za jinsi Lowassa alivyofikia uamuzi wa kujiuzulu, mazingira ya nyumbani, alipokeaje n.k.. kwa sababu hii habari ya kujiuzulu kwa Lowassa inaingizwa kwenye stori hii bila msingi wowote. Kitabu kinahusu safari yao ya hija kule Israeli na yale ambayo Bi. Lowassa aliyaona. Hakielezei yaliyotokea Dodoma.
 
Back
Top Bottom