Kuna kitu nashindwa kukielewa sawa ama kupata picha halisi; Mbona sehemu kubwa ya waalikwa ni viongozi wa makanisa?
Kuna kitu nashindwa kukielewa sawa ama kupata picha halisi; Mbona sehemu kubwa ya waalikwa ni viongozi wa makanisa?
Mke wa Lowassa azindua kitabu
.... Lowassa mwenyewe alisema baada ya kupata matatizo nayo, yeye na familia yake waliamua kumgeukia Mungu na kwamba ndio maana wakaamua kwenda Israel kutembelea maeneo takatifu.
Hizo ni jitihada za kujisafisha na ni hatari kumchezea Mungu kiasi hicho.Kama unatubu rudisha mali ulizoiba kwa umma na uwaombe msamaha wote uliowakosea na hufai kwenye siasa shauri ya tamaa na hasira baki uitunze familia yako.
Ni siasa za udini za wanamtandao hizo. Maana JK naye siku hizi kwa maulid hajambo kwi kwi kwi kwi. Lakini lazima wanaJF tuzipige vita.
Akizungumza katika uzinduzi huo, Kardinali Pengo, bila kufafanua, aliwataka Watanzania waache tabia ya kusulubiana. "Yesu alikuja duniani, akasulubiwa na hadi leo watu wanaendelea kusulubiana. Tuache mchezo huo," alisema.
Christopher Mwakasege, ambaye pia alihudhuria hafla hiyo, alisema ni yeye aliyetoa wazo kwa Lowassa na mkewe kutembelea Israel baada ya matatizo yaliyowakuta.
Akizunmgumza katika hafla hiyo, Lowassa mwenyewe alisema baada ya kupata matatizo nayo, yeye na familia yake waliamua kumgeukia Mungu na kwamba ndio maana wakaamua kwenda Israel kutembelea maeneo takatifu.
15-page BOOK! We may need to go back to the definition of a book! What were all these big folks celebrating! A book? Jokes in all walks of life continue...! A dinner would have done better!
Treasure[SIZE="3" said:Fred[/SIZE];422760]Salaam Wana JF
Ninacho shangaa badala ya kumpa KUDO'S huyu mama kwa kuwa mmoja wa waandishi angalau kazi ambayo wasomi wetu pale HILL wameshindwa na kubaki kufuga kuku na kufungua Glosary mitaani watu wanaanza kubeza kuwa mara kijarida,mara kajitabu.
A book,or kitabu can not be defined kwa kuangalia Number of pages alone,but wana JF mm kilichonifanya nichangie hapa hasa ktk mada hii ni DELEGATION, NA UJUMBE HASA WA MUHASHAMU POLLY.
The mesaje waz veri clia huyu mzee kasema na hapa amenikumbusha kumbe huu mtindo wa kusulubiana orijin yake ni mateso alofanyiwa yesu,na a good mesaje hapa ni kuwa HATA YESU ALIPOSULUBIWA HAKUWA NA DHAMBI but as per christian teaching alisulubiwa kwa dhambi za wengine,na hapa tunapata fundisho na kwa Mwenye MACHO,NA MASIKIO ameelewa LOWASA ALISULUBIWA KWA DHAMBI ZA WENGINE.
Whoever aliekuwa anafatilia mchakato kama si ushabiki basi aliliona hilo na dhambi hii haitaisha italitafuna taifa hili mpaka hapo watu watakapo tubu.
- Hata kujadili hii habari tunakuwa hatuna tofauti na hao viongozi wa dini, au? Maana this is lowest we can go!
FMES!
[/I][/COLOR]
Na inaonekana kabisa aliyewavuta viongozi wa kikristo kwenye mtandao ni EL (hii ni assumption yangu). Wanamtandao wameingia na JK anaonekana kama yuko upande wa waislamu zaidi (hilo pia ni assumption yangu-lakini imejengwa kutokana na matamshi mbalimbali yaliyotoka kupinga baadhi ya maamuzi ya serikali ya JK kama vile OIC na mahakama ya Kadhi). Kwa hiyo hicho kimkutano kwangu mimi nakitafsiri kama ni warning kwa JK kuwa kama wewe unaendelea na hao wa dini zako, basi sisi tuliokusupport 2005 kwa sababu ya EL tutaendelea kumsupport EL. Kwa hiyo badala ya kusema sijui Lowasa anajisafisha au nini mimi kwangu nazitafsiri hizi kama ni siasa za udini ambazo zimeletwa na wanamtandao.
Kwangu mimi wito naoutoa kwa wanaJF ni lazima tukatae hizi siasa ambazo zinataka kuenea hapa nchini.
A HOME OF GREAT THINKERS - Let it remain that way.
Habari ya kujisafisha au kusafishwa is actually nonsense here. Pamoja na mapungufu yetu kwenye imani zetu, Polycarp Cardinal Pengo anaweza kuwa Pope wa wakatoliki wote duniani saa yoyote, ndiyo heshima aliyonayo DUNIANI, siyo Tanzania tu, yeye kuamua kutoka ofisini kwake kwenda NYUMBANI kwa Lowassa, ni ujumbe mkubwa sana kwetu, kila mtu autafakari kivyake kwa imani yake. Tusithubutu kutukana na kuvunja heshima ya Cardinal, Mungu atatuadhibu.