Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 34,095
- 43,305
Jee nikiuliza, kanisa katoliki linataka kusafisha au lina safisha mafisadi ntakosea? au ndio hayo ya kuungama?
Utakuwa umeuliza swali tu.
Jee nikiuliza, kanisa katoliki linataka kusafisha au lina safisha mafisadi ntakosea? au ndio hayo ya kuungama?
I beg to differ Mkuu Mwanakijiji,katika mahojiano Mama Lowassa alieleza na kusisitiza kwamba walikwenda Hijja BAADA ya valangati la Richmond ili kushusha pumzi.Hivyo ni wazi safari ya Israel iko related na kashfa ya Richmond kwa maana kwamba yasingetokea ya Richmond wasingekwenda. La pili linalohusisha uzinduzi na kashafa ya Richmond ni pale Baba Askofu aliposisitiza dhana ya KUSAMEHEANA,sasa Baba Askofu alikuwa anataka nani asamehewe Mama au Mzee Lowassa na kusamehewa kwa kosa lipi?Mimi hata sielewi.. hicho kitabu kinahusiana vipi na kujiuzulu kwa Lowassa? Je kina habari zozote za jinsi Lowassa alivyofikia uamuzi wa kujiuzulu, mazingira ya nyumbani, alipokeaje n.k.. kwa sababu hii habari ya kujiuzulu kwa Lowassa inaingizwa kwenye stori hii bila msingi wowote. Kitabu kinahusu safari yao ya hija kule Israeli na yale ambayo Bi. Lowassa aliyaona. Hakielezei yaliyotokea Dodoma.
Mimi hata sielewi.. hicho kitabu kinahusiana vipi na kujiuzulu kwa Lowassa? Je kina habari zozote za jinsi Lowassa alivyofikia uamuzi wa kujiuzulu, mazingira ya nyumbani, alipokeaje n.k.. kwa sababu hii habari ya kujiuzulu kwa Lowassa inaingizwa kwenye stori hii bila msingi wowote. Kitabu kinahusu safari yao ya hija kule Israeli na yale ambayo Bi. Lowassa aliyaona. Hakielezei yaliyotokea Dodoma.
It is after all, a forty one page diary. Not bad at all. Why did everybody believe that 15 page yarn! Ni kumsulubisha Regina kwa dhambi ya mwandishi wa habari!
The Lowasas have money other than what Edward may or may not have taken from the people. Is it not possible that they used those funds to visit the Holy Lands?
Kosa la Kardinali Pengo, Askofu Malasusa na viongozi wengine wa dini waliohudhuria hiyo hafla ni lipi hasa? Ni kosa kwa Askofu kuhudhuria sherehe ya muumini wake ya kuzindua kitabu cha dini?
Sidhani kama Kardinali alimaanisha watu wanamsulubu Mheshimiwa Lowasa kwa dhambi ya wengine kama baadhi yenu mnavyosema. Alimaanisha kwamba wako watu wanaomsulubu Mama Regina kwa dhambi ya wengine (possibly Edward).
Wanandoa ni mwili mmoja lakini sio roho moja. Akitenda dhambi mmoja sio kwamba wote wametenda dhambi. Kwa mfano, mmoja anaweza kuwa mwasherati wakati mwenziye hana hiyo dhambi.
Be humble fellows and apologies for all the nasty things that you have said about this woman of God.
:Pengo na maaskofu wengine wanahitaji kujifikiria kabla ya kupokea mialiko ya namna hii, maana huenda wakawa wanajisulubisha wenyewe!! This is absurd!!!
:
Wao ni watumishi wa Mungu, na wako kuwakusanya kondoo waliopotea hata kama wataalikwa kwa jambazi wao hawana budi kuitikia kwani ni kazi yao ya kuwarudisha kundini waliopotea.
:
Wao ni watumishi wa Mungu, na wako kuwakusanya kondoo waliopotea hata kama wataalikwa kwa jambazi wao hawana budi kuitikia kwani ni kazi yao ya kuwarudisha kundini waliopotea.
Jee nikiuliza, kanisa katoliki linataka kusafisha au lina safisha mafisadi ntakosea? au ndio hayo ya kuungama?
viongozi wa dini wanasimama kwenye neno...."Yesu hakuja kwa ajili ya wasio na dhambi bali alikuja kwa ajili ya wakosaji""".....hata pale alipoenda karamani wakasema "tazama anacheka na kula na makahaba na watoza ushuru...."....tazama alipomwambia zakayo mfupi ..alipopanda mtini kumwangalia.."zakayo shuka mtini ...tazama nitakuwa nyumbani kwako pamoja nawe leo hii...".. walipokuwa wanakula huku waandishi na wanasheria wakishangaa zakayo akasema .."bwana tazama mali yangu yote nawapa maskini..na tazama kama kuna mtu nimemdhulumu nitamrudishia mara dufu....
wakristo viongozi wao hawatendi kadiri ya matakwa ya mataifa au yeyote wanatenda tokana na maandiko..kama walivyo viongozi wote wa dini..,dini ya kikristo haihubiri kisasi wala jino kwa jino...
kwa maana hii viongozi wetu wa dini hawawezi kuwatenga mafisadi...au kwenda kuwatembelea wakosaji kwa siri usiku ...wanaenda mchana kweupeeeeeee......na huwezi juwa kuwa labda lowassa naye alitubu pale na kuwaambia..."Tazama mali yangu yote nawapa maskini na kama kuna chochote cha watanzania nimechukuwa nitawarudishia na ziada"..just thinking aloud..
kwa waliomuelewa pengo kardinali akiongea akijuwa watu watasema alisema ..."nimekubali kwa furaha kuja na nitaendelea kuja na kuja tena"....hilo ni jukumu la kiuchungaji...,
nawapongeza maaskofu malasusa na kardinali pengo!!!!
Hongera familia ya Lowassa kwa kuokoka na kumrudia muumba wenu.ila zile mali zilizokusanywa isivyo halali kwa ujumla wake wapeni maskini na wahitaji ili mungu azidi kuwabariki zaidi
tutakitafuta hichi kijarida cha msiwasulubu watu,tukisome halafu tutatoa mawazo yetu
bwana asifiwe
..kwani ameandika nini kwenye kitabu chake?
..nadhani tunakuwa na haraka kidogo kuhukumu kabla ya kusoma kitabu chenyewe.