There you go, ni kweli mkuu kulikuwa na mtu alikuwa na jina kama lako Zanaki, aliyesema kuwa Mungai ndiye next pm, anyways unajua fumbo huwa tunafumbia mjinga maana werevu hunga'mua,
Heshima mbele kwa elimu yako nzito, tuendelee kukata ishus mkuu, taifa liko njia panda!
Wangemrushia na mawe.....
Hivi mkapa naye bado anatembea na msafara
Nyani Ngabu,
Kwanini Wamrushie Mawe,Kwa kosa gani??hakuna aliye juu ya sheria,kama watanzania tunaona ana kosa basi ttumpeleke Mahakamai ili asurubiwe na sio kumuita Mtu fisadi.
Nyani Ngabu,
Kwanini Wamrushie Mawe,Kwa kosa gani??hakuna aliye juu ya sheria,kama watanzania tunaona ana kosa basi ttumpeleke Mahakamai ili asurubiwe na sio kumuita Mtu fisadi.
Mi mbona sijaelewa, sassa hapo hao vijana kosa lao nini,
kama yeye si fisadi kwanini apate shida???
kama yeye si fisadi kwanini asikanushe hizo tuhuma kwenye vyombo vya habari(kama haviamini aende pale MAELEZO)
na hii inaonyesha ni jinsi gani polisi iko kwa kwaajili ya WEZI