Mzee Mwanakijiji
Platinum Member
- Mar 10, 2006
- 33,370
- 39,186
Imeripotiwa hivi karibuni kuwa Mwenyekiti wa CCM wa Taifa Bw. Ben Mkapa kwamba yeye hakubaliani na uamuzi wa Mahakama ulioruhusu uwepo wa wagombea huru.
Binafsi sijafurahishwa kuwa hakuna mwandishi aliyeamua kumhoji Mkapa kwa kina inakuwaje yeye na chama chake wamejiweka kuwa ni walinzi wa sheria zetu na katiba yetu badala ya mahakama? Haya mambo ya kudharau mahakama kwa wazi namna hii yatatufikisha pabaya!
Na tuangalie ni yepi mabaya yaliyotendeka chini ya utawala wa Mkapa sasa!
Binafsi sijafurahishwa kuwa hakuna mwandishi aliyeamua kumhoji Mkapa kwa kina inakuwaje yeye na chama chake wamejiweka kuwa ni walinzi wa sheria zetu na katiba yetu badala ya mahakama? Haya mambo ya kudharau mahakama kwa wazi namna hii yatatufikisha pabaya!
Na tuangalie ni yepi mabaya yaliyotendeka chini ya utawala wa Mkapa sasa!